Mlolongo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2019
- 3,483
- 6,257
Uliendekeza ujinga.Siku kataka chips yai nikaleta akadai zinanukia vibaya hataki anataka tu viazi kwaiyo nikalete viazi vya kukaanga na miguu ya kuku full pilipili alafu chips zenge ndio nile mwenyewe [emoji17][emoji17][emoji17]