Mke wangu ana ujauzito wa mwezi mmoja tuu lakini nanyooka

Mke wangu ana ujauzito wa mwezi mmoja tuu lakini nanyooka

😀😀😀😀na bado utanyoooka haswaaaa. Mpaka miezi9 ifike hakuna rangi utaacha ona
Ha ha ha ha lazma aombe sub contractor tu hii mambo acheni tu unatolewa mswaki mwaka mzima maana huwezi kula mbunye baada ya mtoto wa kike kushusha engine.
 
Hivi wadau ni sawa kwa mwanamke mwenye mimba ya mwezi mmoja kuanza uvivu na kuumwa umwa!!

Naona mwanamke wangu ananiletea vipengele sana yaani tangu tujue ana mimba basi kazi zote za ndani ndio hawezi tena….hapiki hafui hadeki…vitu vyote hivyo nafanya mimi. Mara ajitapishe mara aseme anasikia kizunguzungu mara agome kula.

Yaani ni kama wiki mbili sasa lakini nimeshanyooka. Game nanyimwa kwa kisingizio kuwa anajisikia vibaya

Ni kweli inakuwa ivi sometimes au ndio nanyooshwa!!?

Anakulengesha, komaa na usimzingatie sana
 
Umeonaee! Na saa ingine waeza dhania anaijifanyisha kumbe walaa.

Hivi vitu ni vya kupita tu hivyo ambavyo mwishowe huwa na furaha ya ajabu. Nadhani huyo Mkuu avumilie tu miezi tisa si mingi.
Mkiyapata mabwege huwa mnafurahi sana naona 😂.

Yaani Mimi kabisa unifanyie huo ujinga!!! Eti anatamani kuku zinazouzwa mbali na nyumbani daah jinga kabisaa atafata mwenyewe !!!
 
Hivi wadau ni sawa kwa mwanamke mwenye mimba ya mwezi mmoja kuanza uvivu na kuumwa umwa!!

Naona mwanamke wangu ananiletea vipengele sana yaani tangu tujue ana mimba basi kazi zote za ndani ndio hawezi tena….hapiki hafui hadeki…vitu vyote hivyo nafanya mimi. Mara ajitapishe mara aseme anasikia kizunguzungu mara agome kula.

Yaani ni kama wiki mbili sasa lakini nimeshanyooka. Game nanyimwa kwa kisingizio kuwa anajisikia vibaya

Ni kweli inakuwa ivi sometimes au ndio nanyooshwa!!?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Huo ni utangulizi tu mkuu, makubwa yapo mbioni.
 
Siku kataka chips yai nikaleta akadai zinanukia vibaya hataki anataka tu viazi kwaiyo nikalete viazi vya kukaanga na miguu ya kuku full pilipili alafu chips zenge ndio nile mwenyewe yeye hawezi kupika usiku [emoji17][emoji17][emoji17]

Nikasema zege mm nikila sitosshiba nikachukua unga nikabandika ugali akadai mboga nitapata wapi apo nimeshafura asira nikamwambia ntajua mwenyewe pa kupata nikasoga ugali umeiva nimenuna akanionea uruma akanipa buku 2 nikanunue paja la kuku nije kurumangia ugali akasisitiza paja la kuku sio kitu kingine mana ni kama nitakuwa nimechokoza ugomvi hataki harufu nyingine.

Nimeenda chukua paja saa tano iyo sasa nakula ananiangalia nimekula nimemaliza nikasema sasa niende kunawa nije kutoa vyombo ile narudi namkuta anakula mifupa niloiacha kaimix na pilipili [emoji16][emoji16] ase nilichoka.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mara nipikie wali ... Umeanza kuiva hiyo harufu siitaki...

Oga basi siogi .. KWA wiki mara moja au inakata kabisa...

Hiyo perfume siitaki ...

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Hapo kwenye kuoga huwa inakuwaje mkuu kama ushawahi kukukuta ya design hiyo
Nilikuwa naambiwa nanuka sana, naamrishwa kuoga.

Hadi akawa analala tumepishana kisa anadai nanuka[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom