Mke wangu ana ujauzito wa mwezi mmoja tuu lakini nanyooka

Tuko pamoja mkuu mimi wangu ina miezi kama 2 lakini nanyooshwa balaaa yani ye mda wote anadai anajiskia vibaya ... ila kuhusu gemu kuna mda anataka mwenyewe nimnyandue kuhusu gemu wangu hana tabu ..
 
Ulifanya tendo pasipo ndomu? Aaaah!
 

[emoji1787]
 

[emoji1787]
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kudadadek
 
Sababu kubwa ni mabadiliko ya hormones na ugeni wa kuwa mjamzito...

Hata hivyo usimuendekeze sana inabidi ajitahidi kufanya shughuli za hapa na pale la sivyo mimba inaweza ikamsumbua...
 
Ndio madhara ya mimba ya mara ya kwanza.
Kuna siku usiku wa manane saa nane hivi atakuambia anataka mirinda nyeusi au zabibu zilizoganda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…