makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Sasa kwanin hakutumia kilinge kuadhibu kenge woote walioharibu usingizi wake? [emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hawezi kulala peke yake huyo, nguvu ya kilinge inaweka mambo sawa bila tabu yeyote
😅😅😅😅😅😅😅 hiko kipengele nilispend life kwa baba na mama huku bibie akipambana na mashetani yake ya mimba!Mkiyapata mabwege huwa mnafurahi sana naona 😂.
Yaani Mimi kabisa unifanyie huo ujinga!!! Eti anatamani kuku zinazouzwa mbali na nyumbani daah jinga kabisaa atafata mwenyewe !!!
[emoji23][emoji23][emoji23]dahSiku kataka chips yai nikaleta akadai zinanukia vibaya hataki anataka tu viazi kwaiyo nikalete viazi vya kukaanga na miguu ya kuku full pilipili alafu chips zenge ndio nile mwenyewe yeye hawezi kupika usiku [emoji17][emoji17][emoji17]
Nikasema zege mm nikila sitosshiba nikachukua unga nikabandika ugali akadai mboga nitapata wapi apo nimeshafura asira nikamwambia ntajua mwenyewe pa kupata nikasoga ugali umeiva nimenuna akanionea uruma akanipa buku 2 nikanunue paja la kuku nije kurumangia ugali akasisitiza paja la kuku sio kitu kingine mana ni kama nitakuwa nimechokoza ugomvi hataki harufu nyingine.
Nimeenda chukua paja saa tano iyo sasa nakula ananiangalia nimekula nimemaliza nikasema sasa niende kunawa nije kutoa vyombo ile narudi namkuta anakula mifupa niloiacha kaimix na pilipili [emoji16][emoji16] ase nilichoka.
Hata kama ni wewe utumwe kambale mbichi saa 7 usiku ungeweza kweli😅Wakati mke wako ana mimba ndio muda wake wakudeka deka.
Mtunze vizuri na unatakiwa kujisikia VIZURI kwa hilo badala ya kulalamika.
Mama yake ndio kamtia mimba? Nyie ndio hadi watoto mnalelewa na bibi zao. Irresponsible creatures.Msafirishe kwa mama yake
Muwadekeze wake zenu ili wasitumie mimba vibaya, ila kwa comments hizi inaonekana ndoa nyingi ni darfur[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] hiko kipengele nilispend life kwa baba na mama huku bibie akipambana na mashetani yake ya mimba!
Namchungulia after 3 days kisha nasepa dada ake ndio alikuwa bega kwa bega naye!
Angalau wanaume muongee, muwafundishe haya mafurushi.Wakati mke wako ana mimba ndio muda wake wakudeka deka.
Mtunze vizuri na unatakiwa kujisikia VIZURI kwa hilo badala ya kulalamika.
Ndugu yangu Vumilia tu[emoji23][emoji23][emoji23] Ila Kama vipi mpeleke Kwao Au Kwenu akailee hiyo Miezi mitatu ya MwanzoHivi wadau ni sawa kwa mwanamke mwenye mimba ya mwezi mmoja kuanza uvivu na kuumwa umwa!!
Naona mwanamke wangu ananiletea vipengele sana yaani tangu tujue ana mimba basi kazi zote za ndani ndio hawezi tena….hapiki hafui hadeki…vitu vyote hivyo nafanya mimi. Mara ajitapishe mara aseme anasikia kizunguzungu mara agome kula.
Yaani ni kama wiki mbili sasa lakini nimeshanyooka. Game nanyimwa kwa kisingizio kuwa anajisikia vibaya
Ni kweli inakuwa ivi sometimes au ndio nanyooshwa!!?
Kwahiyo kama Akifanya Hayo Yote . Na Kazini anaenda Sa Ngapi Huyo Bwana AkoAngalau wanaume muongee, muwafundishe haya mafurushi.
Sasa hizo kazi anafanya job ataenda sangapi, usiniambie habari za HG maana kama hataki pia kutoa mzigo anatengeneza bom jingineMama yake ndio kamtia mimba? Nyie ndio hadi watoto mnalelewa na bibi zao. Irresponsible creatures.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]na bado utanyoooka haswaaaa. Mpaka miezi9 ifike hakuna rangi utaacha ona
Jamani kwani mbona huwa tunazifanya na kazini tunaenda?Sasa hizo kazi anafanya job ataenda sangapi, usiniambie habari za HG maana kama hataki pia kutoa mzigo anatengeneza bom jingine
Hivi wadau ni sawa kwa mwanamke mwenye mimba ya mwezi mmoja kuanza uvivu na kuumwa umwa!!
Naona mwanamke wangu ananiletea vipengele sana yaani tangu tujue ana mimba basi kazi zote za ndani ndio hawezi tena….hapiki hafui hadeki…vitu vyote hivyo nafanya mimi. Mara ajitapishe mara aseme anasikia kizunguzungu mara agome kula.
Yaani ni kama wiki mbili sasa lakini nimeshanyooka. Game nanyimwa kwa kisingizio kuwa anajisikia vibaya
Ni kweli inakuwa ivi sometimes au ndio nanyooshwa!!?
Basi utakuwa ni kawaida yako kumdekeza hivyo hakuna jipya, visirani navyo huwa vinaangalia ujue[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nina mke na watoto2 na wanasoma shule nzuri tu wakiwa kwangu na mama yao hakuwa na huo ujinga
Hii aya ya pili ndio inafaa kufuatwa na kila mjamzito.Jamani kwani mbona huwa tunazifanya na kazini tunaenda?
Kutoa mzigo pia huwa inategemea na ukaribu wenu kwa kiasi kikubwa. Ukiona unafanyiwa visa sana wakati wa mimba basi ujue huo ndio muda wake wa kukunyoosha kwa pale unapomnyooshaga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huoni mimba zisizo na wa kuwadekea huwa zina adabu!! Tudekezeni tu miezi tisa si mingi jamani, afterall ni watoto wenu tunabeba.
Ni hormones tu hizo jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii aya ya pili ndio inafaa kufuatwa na kila mjamzito.
Mwingine hadi anadai hapendi harufu mumewe, shenztype ataenda kwao hadi ajifungue, au nitafute mchepuko na kurudi night kali nalala rum yangu mwenyewe, sijuagi kuendekeza.ujinga kabisa aisee