Mke Wangu Ana UKIMWI Mimi Sina, Je Nifanye Nini?

Mke Wangu Ana UKIMWI Mimi Sina, Je Nifanye Nini?

holoholo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2023
Posts
1,859
Reaction score
2,986
Wakuu
Wiki iliyopita nilienda kupima ngoma a.k.a umeme mimi pamoja na mke wangu,cha kushangaza mke wangu akagundulika na maambukizi mimi sina.

mke wangu akaanzishiwa ARV mala moja,kisha tukarudi home, ila kuanzia siku hiyo naogopa kufanya nae tendo la ndoa kwani naamini ataniambukiza pia.

nifanye nini ili niendelee kuishi na mke wangu,tumejaaliwa kupata watoto7.

nimechanganyikiwa.
 
p080f53p.jpg
 
Wakuu
Wiki iliyopita nilienda kupima ngoma a.k.a umeme mimi pamoja na mke wangu,cha kushangaza mke wangu akagundulika na maambukizi mimi sina.

mke wangu akaanzishiwa ARV mala moja,kisha tukarudi home, ila kuanzia siku hiyo naogopa kufanya nae tendo la ndoa kwani naamini ataniambukiza pia.

nifanye nini ili niendelee kuishi na mke wangu,tumejaaliwa kupata watoto7.

nimechanganyikiwa.
downloadfile-16.jpg
 
Back
Top Bottom