Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Hehehe!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hehehe!!!
Chapati zinavutia sana
Hao waliokupima hawakukuambia cha kufanya?nifanye nini ili niendelee kuishi na mke wangu,tumejaaliwa kupata watoto7.
nimechanganyikiwa.
Mkuu tumefunga aisee...! Dah.
Inaweza kuwa wewe ulimuambukiza au alipata maambukiz kutoka kwa mtu mwingineWakuu
Wiki iliyopita nilienda kupima ngoma a.k.a umeme mimi pamoja na mke wangu,cha kushangaza mke wangu akagundulika na maambukizi mimi sina.
mke wangu akaanzishiwa ARV mala moja,kisha tukarudi home, ila kuanzia siku hiyo naogopa kufanya nae tendo la ndoa kwani naamini ataniambukiza pia.
nifanye nini ili niendelee kuishi na mke wangu,tumejaaliwa kupata watoto7.
nimechanganyikiwa.
nipo kazini ila sina kazi ya kufanya. Kazi yangu inaniruhusu nikae ofsini kuanzia saa 2 hadi saa 0 na ni kusaini nyaraka za hapa na pale nyaraka za wakuu wa idara maalumu. So muda wangu mwingi huwa nautumia fb,insta,tiktok,X, whatsup na sanasana jfHuna kazi ya kufanya mpaka uandike upupu usio na kichwa wala miguu. Tafuta kazi ya kufanya.
Kwa huu uandishi bora wewe ndio ungeuguamke wangu akaanzishiwa ARV mala moja,kisha tukarudi home, ila kuanzia siku hiyo naogopa kufanya nae tendo la ndoa kwani naamini ataniambukiza pia.
Acha upumbavu katika maisha sasa na hivyo ni vitu vya kuuliza??Mungu anakupenda unaendelea kumdhiaki! Basi endelea kutembelea rimu kwa mkeo upewe shahada!Wakuu
Wiki iliyopita nilienda kupima ngoma a.k.a umeme mimi pamoja na mke wangu,cha kushangaza mke wangu akagundulika na maambukizi mimi sina.
mke wangu akaanzishiwa ARV mala moja,kisha tukarudi home, ila kuanzia siku hiyo naogopa kufanya nae tendo la ndoa kwani naamini ataniambukiza pia.
nifanye nini ili niendelee kuishi na mke wangu,tumejaaliwa kupata watoto7.
nimechanganyikiwa.
Wewe unaweza kuishi kwenye nyumba inayowaka moto mkuu?Wakuu
Wiki iliyopita nilienda kupima ngoma a.k.a umeme mimi pamoja na mke wangu,cha kushangaza mke wangu akagundulika na maambukizi mimi sina.
mke wangu akaanzishiwa ARV mala moja,kisha tukarudi home, ila kuanzia siku hiyo naogopa kufanya nae tendo la ndoa kwani naamini ataniambukiza pia.
nifanye nini ili niendelee kuishi na mke wangu,tumejaaliwa kupata watoto7.
nimechanganyikiwa.
Tena Shahada ya UZAMIVUAcha upumbavu katika maisha sasa na hivyo ni vitu vya kuuliza??Mungu anakupenda unaendelea kumdhiaki! Basi endelea kutembelea rimu kwa mkeo upewe shahada!
Aisee umenikumbusha mbali sana Komredi ili tangazo lilikua Maarufu sana miaka ya 2000 hasa pale ITV hatari sana.