Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mamtu maongo humu.. halafu yanasahau sasaJuzi kakunyima unyumba miaka Leo ukimwi ndoa ina miaka 7 unawatoto saba
rudi shule ukajifunze somo la kiswahili mada ya kusoma kwa ufahamu mkuu. Kama unaifahamu hiyo mada basi rudia kusoma uzi wangu naimani hutachanganya matukio na mikasa niliyowahi kuisimulia humu.Juzi kakunyima unyumba miaka Leo ukimwi ndoa ina miaka 7 unawatoto saba
Hii kampun sijui ilikutana na nini maana hili tangazo lilibamba Sana miaka hiyoAisee umenikumbusha mbali sana Komredi ili tangazo lilikua Maarufu sana miaka ya 2000 hasa pale ITV hatari sana.
Jamaa anao wanawake wengi na kila mmoja ana visa vya ajabu ajabu. Sukari ikizidi kwenye Chai huaribu radha yake na kugeuka kuwa shurubati.Holoholo bhana una mizengwe hupoi mkuu huboi kesho utasema mkewangu kanibaka nifanyeje
hali hii inamtokea yeyote wakati wowote, kama ni chai,waache wenzako watoe ushauri kwa ambao wana hali hii.Jamaa anao wanawake wengi na kila mmoja ana visa vya ajabu ajabu. Sukari ikizidi kwenye Chai huaribu radha yake na kugeuka kuwa shurubati.
Cc Binti Sayuni03Wakuu
Wiki iliyopita nilienda kupima ngoma a.k.a umeme mimi pamoja na mke wangu,cha kushangaza mke wangu akagundulika na maambukizi mimi sina.
mke wangu akaanzishiwa ARV mala moja,kisha tukarudi home, ila kuanzia siku hiyo naogopa kufanya nae tendo la ndoa kwani naamini ataniambukiza pia.
nifanye nini ili niendelee kuishi na mke wangu,tumejaaliwa kupata watoto7.
nimechanganyikiwa.
mle YassWakuu
Wiki iliyopita nilienda kupima ngoma a.k.a umeme mimi pamoja na mke wangu,cha kushangaza mke wangu akagundulika na maambukizi mimi sina.
mke wangu akaanzishiwa ARV mala moja,kisha tukarudi home, ila kuanzia siku hiyo naogopa kufanya nae tendo la ndoa kwani naamini ataniambukiza pia.
nifanye nini ili niendelee kuishi na mke wangu,tumejaaliwa kupata watoto7.
nimechanganyikiwa.
Kwahiyo huoni kuwa hiyo ni chai😁😁
Kumbe mwamba ndo huyu?? Fukuza huyo changudoa.Piga chini na kafile for divorce haraka sana,linakunyima mbususu kumbe linagawa kwa kila rika hadi limepata ukimwi.Narudia fukuza haraka sana na kafungue madai ya Taraka.Usije kulichoma kwa mkaa kama Hamis wa Toangoma
NIpo hapa nafikiria kuchemsha chai nyingine,hii naona imepoaKumbe mwamba ndo huyu?? Fukuza huyo changudoa.Piga chini na kafile for divorce haraka sana,linakunyima mbususu kumbe linagawa kwa kila rika hadi limepata ukimwi.Narudia fukuza haraka sana na kafungue madai ya Taraka.Usije kulichoma kwa mkaa kama Hamis wa Toangoma
Dah unakumbuka kumbe! Huyu jamaa kwa chai Balaa.Kwahiyo huoni kuwa hiyo ni chai😁😁
Watoto saba mchezo😁😁Dah unakumbuka kumbe! Huyu jamaa kwa chai Balaa.
watoto wameshafika 7 😂