Mke Wangu Ana UKIMWI Mimi Sina, Je Nifanye Nini?

Inaweza kuwa wewe ulimuambukiza au alipata maambukiz kutoka kwa mtu mwingine
 
Huna kazi ya kufanya mpaka uandike upupu usio na kichwa wala miguu. Tafuta kazi ya kufanya.
nipo kazini ila sina kazi ya kufanya. Kazi yangu inaniruhusu nikae ofsini kuanzia saa 2 hadi saa 0 na ni kusaini nyaraka za hapa na pale nyaraka za wakuu wa idara maalumu. So muda wangu mwingi huwa nautumia fb,insta,tiktok,X, whatsup na sanasana jf
 
Acha upumbavu katika maisha sasa na hivyo ni vitu vya kuuliza??Mungu anakupenda unaendelea kumdhiaki! Basi endelea kutembelea rimu kwa mkeo upewe shahada!
 
Wewe unaweza kuishi kwenye nyumba inayowaka moto mkuu?
 
Hongera kwa kuwa na team kamili ya basketball
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…