Mke wangu ana uvimbe kwenye ovari (ovarian complex cyst)

Sawa kiongozi.

Je kwa kanda ya ziwa ni hospitali ipi nzuri?
 
Hospitali nzuri za haya mambo ya uzazi ni Kairuki Hospital, Jitahd sana uende mapema otherwise kadri unavyochelewa ndo tatizo linazid kuwa kubwa na pengine kupelekea kutopata mtoto kabisa.Jitahd uwezavyo ufanye mapema sana
Je lake zone ni wapi wapo vizuri?
 
TIBA IPO Mkuu.PACHA WANGU ALIPONEA HII NA ALIKUWA NA 67.9 mm.
FANYA HIVI CHEMSHA MCHAICHAI NA MAJANI YA MDALASINI KUNYWA KIKOMBE KIMOJA ASUBUHI KABLA HUJALA KITU NA KIKOMBE KIMOJA JIONI SAA 1 KABLA HUJALA MLO WA JIONI TUMIA KWA SIKU 14 KISHA KAPIME ULTRASOUND KATKA HOSPITALI 2 TOFAUTI UJUE MAENDELEO YA HIYO KITU
 
TIBA IPO CHEMSHA MCHAICHAI NA MAJANI YA MDALASINI KUNYWA KIKOMBE KIMOJA ASUBUHI KABLA HUJALA KITU NA KIKOMBE KIMOJA JIONI SAA 1 KABLA HUJALA MLO WA JIONI TUMIA JWA SIKU 14 KISHA KAPIME ULTRASOUND KATKA HOSOITALI 2 TOFAUTI UJUE MAENDELEO YA HIYO KITU


Majani ya mdalasini yanapatikana wapi?

Je magome ya mdalasini hayafai?

Mdalasini unapatikana kwa urahisi kwa njia ya magome au unga wa magome.
 
Huyu Dr.Mashavu namjua amewahi kumhudumia sister angu.ni kweli ni Dr.Mzuri sana sana
 
Majani ya mdalasini yanapatikana wapi?

Je magome ya mdalasini hayafai?

Mdalasini unapatikana kwa urahisi kwa njia ya magome au unga wa magome.
Mkuu majani ya mdalasini Ni greenish, mchachai kadhalika yanakuwa na ufanisi .Mimi niliyapata kea kuagiza Moshikwa magome mkuu Sina hakika japo nayo hutumika kutibu masundosundo
 
Asante mkuu.

Kwa kanda ya ziwa majani ya mdalasini yanaweza kupatikana?
 
Majani ya mdalasini yanapatikana wapi?

Je magome ya mdalasini hayafai?

Mdalasini unapatikana kwa urahisi kwa njia ya magome au unga wa magome.
Mkuu Ni majani Pacha alipona kwa njia ya kuchemsha mchaichai na majani ya mdalasini na wengi waluokuwa na tatizo hilo wametumia na kuondokana nalo.
ACHA shortcut mkuu
 
Hospitali nzuri za haya mambo ya uzazi ni Kairuki Hospital, Jitahd sana uende mapema otherwise kadri unavyochelewa ndo tatizo linazid kuwa kubwa na pengine kupelekea kutopata mtoto kabisa.Jitahd uwezavyo ufanye mapema sana
Hivi gharama za tiba kama hizi mtu anatakiwa kujipanga kwa pesa kiasi gani hapo kairuki
 
Twashukuru sana
 
Natamani kujua ulienda hospitali gani, mimi kama muhanga wa ovarian cyst na nilishafanyiwa operation kwajili ya hizo ilipelelekea nikatolea yai moja likabaki moja, ila kusema ukweli huwa zinarudi hasa hizo ambazo ni complex
 
Kuna dawa za mitishamba zinaondoa vizuri bila upasuaji.

Sema kuipata inahitajika neema ya Mungu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…