Mke wangu anachat na li mtu wanaitana "MY"

Mke wangu anachat na li mtu wanaitana "MY"

Mimi nina ushauri tofauti kidogo
1.Jiridhishe kwa njia mbali mbali mpaka upate uhakika kwamba kitumbuwa hakijaliwa? Kama kimeliwa there is no way back lkn kama hakijaliwa njoo no 2
2.Unaonekana hutengi muda wa kutosha kukaa na mkeo. Ongeza muda wa kukaa na mkeo.
3.Be friendly kwa mkeo ili mkeo akutumie wewe kama mtu wa kubadilishana nae mawazo kinyume chake atatafuta mtu huyo nje.
4.Wanawake wanapenda sexy chats .....chat na ishi na mkeo kama girlfriend wako. Zungumza nae maneno ya kimapenzi kama mtu anavoongea na girlfriend wake.. Utamaliza hamu yake katika wigo huo.
5.Mnunulie zawadi mkeo mara kwa mara.. Itaongeza mapenzi kwako kutoka kwa mkeo.
6.Ukiwa kazini mpigiye simu kujua anaendeleaje.
Ukifanya hivyo nadhani utamdhibiti vizuri mkeo.... Lakini kutoa talaka kirahisi ndugu yangu utaacha sana.
 
Pole mkuu, wewe share tu whatsapp ya mke wako kwenye laptop yako, mrudishie simu yake umemaliza mchezo
Acha kupotosha whatsapp huweziitumia zaid ya mara moja kwa namba moja ujitumia youwave au bluestack iakupa code kuverify n kuibloch akaunt inayotumika kwenye simu...
 
daaaah ama kweli wewe huwa unachat naye whatsapp? na amekusave kwa jna gani me nliona moja jamaa kaseviwa eti fundi jeneza kumbe anakula mzigo teh teh
 
Acha kupotosha whatsapp huweziitumia zaid ya mara moja kwa namba moja ujitumia youwave au bluestack iakupa code kuverify n kuibloch akaunt inayotumika kwenye simu...
Kama umepanic hivi,
 
My ni wangu, sasa wake katika nini, ktk Kristu, ktk upendo wa kawaida , katika madikodiko hapo sasa!
 
Acha Kupekua Pekua Simu Ya Mke/Mpenzi Wako Otherwise Kama uko kwenye mipango ya Kumuacha hivyo unatafuta sababu ya kuhalalisha uamuzi huo.
 
Angalia vizuri anaweza kuwa ni mdada anachat nae My!!!
 
Hii ndo tabu ya kuoa wanawake wanafaa kuwa wahudumu wa ndege
 
My! Wangu...kaka apo ushaibiwa hapo,anzisha timbwili na mrudishe kwao Leo Leo Hanna namna!
 
Back
Top Bottom