Mke wangu anachat na li mtu wanaitana "MY"

Linajamaa limevuka mipaka aisee litakuwa Linamla........
 
Tunaishi Mara moja hapa duniani, angalia usije ukafanya mauaji.....MY..sio neno zuri la kuitana. Pana kaushirika fulani hapo
 
Kaka kweli huo uzi wangu na haiingiliani na tatizo la leo ni huyo huyo mke wangu vipi may be kuna tatizo labda au doubt?
Mada ya kwanza ina-suggest umemkwepa sana kwahiyo ameamua kutafuta my mwingine
 
Mkanye mkeo kuwa hujafurahishwa na hicho anachokifanya na ajue kuwa unafuatilia mienendo yake,endelea kuweka na kuisimamia misimamo yako.
 
My ni wangu, sasa wake katika nini, ktk Kristu, ktk upendo wa kawaida , katika madikodiko hapo sasa!
Hapo na mimi ndipo panaponichanganya.
 
Endelea kusubiri watu wale kilain mzigo wako
 
Unauliza "KUNA KAMARI CASINO"?.
Hili sio KILAZA wala NYUMBU ni LIZUMBUKUKU
 
USIPAMBE LUGHA WEWE
kwa mfano ATI KASTAAFISHWA
kumbe KAFUKUZWA
USIMPE MWENZIO MATUMAINI WALA MATUFIGO.
VP WW MKEO AITWE MY?????
UNAJUA MAANA YAKE AU??UTAJIHISI VP MKEO AKIITWA HIVO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…