Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chkua namba hiyo I'll uthibitishe kwanza no jinsia gan nae ni ke mwenzie au me mana wanawake skuiz kuitana my in kawaida ukishajua ni me reta mrejesho nikupe namna sasa ya kudil na vibakaAisee huwa naichunia simu ya mke wangu kwa kuogopa bp na pia namuamini maana ana kautulivu kimuonekano na maisha tulioishi hajawahi kuniletea mazombie mpaka yanitishe na kuhisi sio mwaminifu sasa leo week end nipo kitandani nimeshika simu yake aisee kucheki video za whatsapp nikajikuta nimeingia inbox yake Kuna li mtu anachat nalo linaonesha linamcare huku linamuita "My" na yeye anajibu na neno "My".HAPA NILIPO NIMESHAPANIC JAPOKUWA WANASALIMIANA TU NA KUTAKIANA CHAKULA CHEMA ILA KIMENISHANGAZA HICHO KIBWAGIZO CHAO CHA KUITANA "MY" Nataka niuwashe moto maana sijaelewa kabisa hiyo term "My".
Naogopa kuianzisha hii vita kabla sijajua wenzangu hii issue mnaichukuliaje maana nisije itwa Complicator wa term kumbe ni term ya kawaida tu.
NATAKA USHAURI SIO MATUSI.
aulete tu hapa bana Nina shida nao aseenaomba huu ujuzi inbox mkuu...
mkuu naomba huo ujuzi na mm aiseePole mkuu, wewe share tu whatsapp ya mke wako kwenye laptop yako, mrudishie simu yake umemaliza mchezo
In box tena mbona uko waz kila mtu anaujuanaomba huu ujuzi inbox mkuu...
Kula supu ya hii mnyama dushee litosheleze!Mkuu usikubali tandika bakola iyo nke yako adabu haina, itakua inaanza kugegedwa nje. Halafu jichunguze kama unaudhaif kwa bed basi ujue huyo anstaka Dushee mbadala
Mzee wa ramli chonganishiMY means Mali Yangu
Duuuuh!! Sio kwa tafsiri hiyo shemeji.MY means Mali Yangu
Yaelekea unamuogopa sana mkeo.Unachohofia kumwuliza ni nini?Utaendelea kuumia na mwishowe utajinyonga.Dont trust a woman my friend.Aisee huwa naichunia simu ya mke wangu kwa kuogopa bp na pia namuamini maana ana kautulivu kimuonekano na maisha tulioishi hajawahi kuniletea mazombie mpaka yanitishe na kuhisi sio mwaminifu sasa leo week end nipo kitandani nimeshika simu yake aisee kucheki video za whatsapp nikajikuta nimeingia inbox yake Kuna li mtu anachat nalo linaonesha linamcare huku linamuita "My" na yeye anajibu na neno "My".HAPA NILIPO NIMESHAPANIC JAPOKUWA WANASALIMIANA TU NA KUTAKIANA CHAKULA CHEMA ILA KIMENISHANGAZA HICHO KIBWAGIZO CHAO CHA KUITANA "MY" Nataka niuwashe moto maana sijaelewa kabisa hiyo term "My".
Naogopa kuianzisha hii vita kabla sijajua wenzangu hii issue mnaichukuliaje maana nisije itwa Complicator wa term kumbe ni term ya kawaida tu.
NATAKA USHAURI SIO MATUSI.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Duuuuh!! Sio kwa tafsiri hiyo shemeji.
Uchochezi wa kiwango cha PhdMY means Mali Yangu