Mke wangu anachat na li mtu wanaitana "MY"

Mke wangu anachat na li mtu wanaitana "MY"

Nilishawahi kuuliza nikaambiwa, my ni sa na kuwa mnachat mtu akakwambia
mf:
Nakuja wangu.
Nitakuja kesho wangu.
My niinunulie soda nk.
So fuatilia mwenendo kwa umakini, punguza jaziba usijeharibu
 
Aisee huwa naichunia simu ya mke wangu kwa kuogopa bp na pia namuamini maana ana kautulivu kimuonekano na maisha tulioishi hajawahi kuniletea mazombie mpaka yanitishe na kuhisi sio mwaminifu sasa leo week end nipo kitandani nimeshika simu yake aisee kucheki video za whatsapp nikajikuta nimeingia inbox yake Kuna li mtu anachat nalo linaonesha linamcare huku linamuita "My" na yeye anajibu na neno "My".HAPA NILIPO NIMESHAPANIC JAPOKUWA WANASALIMIANA TU NA KUTAKIANA CHAKULA CHEMA ILA KIMENISHANGAZA HICHO KIBWAGIZO CHAO CHA KUITANA "MY" Nataka niuwashe moto maana sijaelewa kabisa hiyo term "My".
Naogopa kuianzisha hii vita kabla sijajua wenzangu hii issue mnaichukuliaje maana nisije itwa Complicator wa term kumbe ni term ya kawaida tu.
NATAKA USHAURI SIO MATUSI.
chkua namba hiyo I'll uthibitishe kwanza no jinsia gan nae ni ke mwenzie au me mana wanawake skuiz kuitana my in kawaida ukishajua ni me reta mrejesho nikupe namna sasa ya kudil na vibaka
 
My= Sio wako tena anamilikiwa na mwenzio,mda wako ccm ushaisha ngoja tusubiri kama msajili wa vyama atakutetea kama alivyofanya kwa lipumba.
 
Hahahaaaa mkuu yani hayo ni maandalizi ya kufanya zuia.
 
Chuma huliwa na kutu, mke wa mtu huliwa na mtu na co kutu.
Nipo nakunywa jambo embe dodo
 
POLE SANA NDUGU YANGU. DALILI YA MVUA NI MAWINGU. LABDA NI SHARE NA WEWE TECHNIC ZA KUBAINI NA KUJUA MWENENDO WA MKE WAKO KWENYE WHATSAPP, NI NJIA RAHISI ILA YAHITAJI MOYO. NENDA YOUTUBE SEARCH HOW TO HACK WHATSAPP ACCOUNT FUATA MAELEKEZO THEN TEKELEZA HALAFU UJE ULETE MREJESHO. ZAIDI YA HILI UTAGUNDUA MENGI ZAIDI. NIKUTAKIE UTEKELEZAJI MWEMA ILA NIKUPE ANGALIZO USIJARIBU KAMA UNA MOYO MWEPESI. [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
 
Aisee huwa naichunia simu ya mke wangu kwa kuogopa bp na pia namuamini maana ana kautulivu kimuonekano na maisha tulioishi hajawahi kuniletea mazombie mpaka yanitishe na kuhisi sio mwaminifu sasa leo week end nipo kitandani nimeshika simu yake aisee kucheki video za whatsapp nikajikuta nimeingia inbox yake Kuna li mtu anachat nalo linaonesha linamcare huku linamuita "My" na yeye anajibu na neno "My".HAPA NILIPO NIMESHAPANIC JAPOKUWA WANASALIMIANA TU NA KUTAKIANA CHAKULA CHEMA ILA KIMENISHANGAZA HICHO KIBWAGIZO CHAO CHA KUITANA "MY" Nataka niuwashe moto maana sijaelewa kabisa hiyo term "My".
Naogopa kuianzisha hii vita kabla sijajua wenzangu hii issue mnaichukuliaje maana nisije itwa Complicator wa term kumbe ni term ya kawaida tu.
NATAKA USHAURI SIO MATUSI.
Yaelekea unamuogopa sana mkeo.Unachohofia kumwuliza ni nini?Utaendelea kuumia na mwishowe utajinyonga.Dont trust a woman my friend.
 
Back
Top Bottom