Mke wangu anachat na li mtu wanaitana "MY"

Mke wangu anachat na li mtu wanaitana "MY"

this is "MY" tayari kuna-possession au sense of ownership.
Yawezekana huyo mke ni WENU sio WAKO.

Kizuri kula na nduguzo blaza, USIPANIC!
 
Ili kupata ukweli, jitahidi cku moja toka na simu yake kwenda hapo mtaani, acha simu yako home kama bahati mbaya hizi, alafu mtext huyo jamaa/shosti sms za ugomvi kama vile Hi my, leo kesho vip, My nimekumiss, My unaendeleaje, My mambo yako, My nipe ramani, My mchakato vip nk. Majibu yake ndo yatakupa majibu MUBASHARA kuwa nini kinaendelea,ukishapata majibu foward kwenye simu yako alafu DELETE zote. Ukirudi huku tutakupa wayfoward
 
Ili kupata ukweli, jitahidi cku moja toka na simu yake kwenda hapo mtaani, acha simu yako home kama bahati mbaya hizi, alafu mtext huyo jamaa/shosti sms za ugomvi kama vile Hi my, leo kesho vip, My nimekumiss, My unaendeleaje, My mambo yako, My nipe ramani, My mchakato vip nk. Majibu yake ndo yatakupa majibu MUBASHARA kuwa nini kinaendelea,ukishapata majibu foward kwenye simu yako alafu DELETE zote. Ukirudi huku tutakupa wayfoward
 
Wameshajitwalia. Sasa unauliza majibu hapa mkubwa?
 
Hapana usipanic hata kidogo cha msingi jaribu kumuulizia vizuri na kwa upole ili uweze kupata mengi zaidi kutoka kwa mkeo na utajua kila kitu hata namba ya simu utajua ni nani alie anza kumpa mwenzake
 
Wanawake wanamtindo wakuitana sana My...nadhani pia wewe ni mhuni Mkubwa sana wakupindukia sana sana ndio maana unamtilia shaka Mke wako...wewe siulifumaniwa na mtoto Wa baba yako Mkubwa anayeitwa Prisila au unakataa
Duuu we mtu vipi?
 
endelea kuumia tu hapa nimemkanyaga mke wa mtu now roho nyeupe
Sio jambo la kujisifia kaka shukuru leo hukukamatwa ila ipo siku aisee mi nikimkamata mgoni wangu nitamnyea mdomoni aisee.
 
Aisee! Huwa naichunia simu ya mke wangu kwa kuogopa BP na pia namuamini maana ana kautulivu kimuonekano na maisha tulioishi hajawahi kuniletea mazombie mpaka yanitishe na kuhisi sio mwaminifu.

Sasa leo weekend nipo kitandani nimeshika simu yake aisee! Kucheki video za whatsapp nikajikuta nimeingia inbox yake kuna li mtu anachat nalo linaonesha linamcare huku linamuita "My" na yeye anajibu na neno "My".

Hapa nilipo nimeshapanic japokuwa wanasalimiana tu na kutakiana chakula chema ila kimenishangaza hicho kibwagizo chao cha kuitana "My" nataka niuwashe moto maana sijaelewa kabisa hiyo term "My".

Naogopa kuianzisha hii vita kabla sijajua wenzangu hii issue mnaichukuliaje maana nisije itwa Complicator wa term kumbe ni term ya kawaida tu.

NATAKA USHAURI SIO MATUSI.
Hapo bhana unakaribia kusaidiwa tu hauna ujanja
 
Hiyo ni one of the best sign your wife anakutanisha kikojoleo chake na huyo "my". Chukua tahadhari!!
 
Aisee! Huwa naichunia simu ya mke wangu kwa kuogopa BP na pia namuamini maana ana kautulivu kimuonekano na maisha tulioishi hajawahi kuniletea mazombie mpaka yanitishe na kuhisi sio mwaminifu.

Sasa leo weekend nipo kitandani nimeshika simu yake aisee! Kucheki video za whatsapp nikajikuta nimeingia inbox yake kuna li mtu anachat nalo linaonesha linamcare huku linamuita "My" na yeye anajibu na neno "My".

Hapa nilipo nimeshapanic japokuwa wanasalimiana tu na kutakiana chakula chema ila kimenishangaza hicho kibwagizo chao cha kuitana "My" nataka niuwashe moto maana sijaelewa kabisa hiyo term "My".

Naogopa kuianzisha hii vita kabla sijajua wenzangu hii issue mnaichukuliaje maana nisije itwa Complicator wa term kumbe ni term ya kawaida tu.

NATAKA USHAURI SIO MATUSI.
Unanakili story za Instagram unazileta hapa
 
Coment zingine..duhh..watu wabaya nyie..kumtia mwenzenu presha vip?!
 
Ili kupata ukweli, jitahidi cku moja toka na simu yake kwenda hapo mtaani, acha simu yako home kama bahati mbaya hizi, alafu mtext huyo jamaa/shosti sms za ugomvi kama vile Hi my, leo kesho vip, My nimekumiss, My unaendeleaje, My mambo yako, My nipe ramani, My mchakato vip nk. Majibu yake ndo yatakupa majibu MUBASHARA kuwa nini kinaendelea,ukishapata majibu foward kwenye simu yako alafu DELETE zote. Ukirudi huku tutakupa wayfoward
Ili iwe nini? Mwambieni mwenzenu afanye kazi aachane na simu ya mkewe
 
Back
Top Bottom