Mke wangu anachat na li mtu wanaitana "MY"

Mke wangu anachat na li mtu wanaitana "MY"

Hakuna urafiki kati ya mwanamke na mwanaume nakushauri mwambie aache kabisa mawasiliano na huyo mwanaume kabisa.
 
Aisee! Huwa naichunia simu ya mke wangu kwa kuogopa BP na pia namuamini maana ana kautulivu kimuonekano na maisha tulioishi hajawahi kuniletea mazombie mpaka yanitishe na kuhisi sio mwaminifu.

Sasa leo weekend nipo kitandani nimeshika simu yake aisee! Kucheki video za whatsapp nikajikuta nimeingia inbox yake kuna li mtu anachat nalo linaonesha linamcare huku linamuita "My" na yeye anajibu na neno "My".

Hapa nilipo nimeshapanic japokuwa wanasalimiana tu na kutakiana chakula chema ila kimenishangaza hicho kibwagizo chao cha kuitana "My" nataka niuwashe moto maana sijaelewa kabisa hiyo term "My".

Naogopa kuianzisha hii vita kabla sijajua wenzangu hii issue mnaichukuliaje maana nisije itwa Complicator wa term kumbe ni term ya kawaida tu.

NATAKA USHAURI SIO MATUSI.

UANAUME KAZI SANA, WATU WENGINE WALIPASWA WAZALIWE WANAWAKE, HATA HILI LINAKUSHINDA KULISHUGHULIKIA MWENYEWE? MPAKA UJE USHAURIWE? SERIOUSLY? IANZISHE KABLA HAJALIWA (KAMA ATAKUWA AJALIWA BASI)
 
Kwa mantiki ya Chats zao, MY humaanisha WANGU.

Ni neno la kawaida sana kutumika baina ya jinsia ke. Lakini pia linaweza kutumika baina ya jinsia ke na me.
Sasa kuitana huko sijajua wana lengo gani. Ila kwa experience yangu, ke na me wakiashaanza kuitana "my" basi uwezekano wa kukutanisha vikojoleo ni mkubwa.

Cha msingi, we muambie tu aache tabia hiyo. Kama umekuta salamu na wishes za mlo mwema, basi hiyo my yao haijawa Chronic bado. Ipo katika hatua za awali.
Hahaaha kwamba haija mature bado into a secret admirer!
 
Hahahhaha
Mkuu chakufanya usipanik
Competition muhimu kwenye mchakato huu
We pokea mpinzani ila uzur mech unashinda wew
Mke ni wako uwanja wako refa wewe etc
Kizur kwamba wapo stage ya awali na ukianzisha moto na mkeo jua unamfungulia njia zaidi my awe mylove
Mana utajenga zuio na mkeo afu atazidisha moto kwa uyo boya
Cha msing assume kama umefanya inside trading una info zote nawewe zidisha kumjulia hali mkeo mchana unamtembelea upatapo nafasi japo na ka daily milk anapata choclate mara kesho tuua..yan my zako zakumjulia hali ziwe zimezid ujuzi kuliko za huyo muwindaji
Utakuta tu anaaza kupotezea uyo shetani atatafuta wengine wakuwaingilia na vi my vyake

yani ndoa zina windwa sana na shetani mkuu uwe makini sana
 
pole sana my
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
 
Kwa ushauri ili kuepuka ugomvi amabao lazima ajitetee kuwa neno my hajamaanisha ubaya, unachotakiwa kufanya ni kuchukua muda wala usikimbikie kuuliza hautapata jibu ambalo wewe umeliwaza tayari kichwani. Fanya uchunguzi wa kina kwanza upate ukweli wa content ya mawasiliano yao. Hapa unatakiwa uwe smart. Ukiupata ukweli proof beyond doubt ndio waweza kuuliza huku una evidence za kutosha.
 
Vipi ulishapima afya yako na ya Bite?
Bite ni mzima aisee na mimi ni mzima nilichogundua kuwa si kila anaevumishwa kuwa ana ngoma ni kweli.Pia kuchepuka ni ujinga
 
Kuna scenario kama hii ilinipata demu anaitana na msela/wasela MY na mambo kedekede nilipiga chini the very same day!!
Wewe kama ni mchumba/mke wa mtu kwanini uwe na kuitana majina ya kunyegeshana alafu sana mijamaa huko haijali mzigo ukiletwa unapigwa kama kawa!!
Mazoea ya kijinga kama hayo sitaki kabisa Mke/mchumba wa tu.
Hapo hesabia ndani ya mwezi kama hajaliwa huyo wife wako sijui...!! Unajua kabisa wewe ni mke/mchumba wa mtu unaleta mazoea ya kijinga nikikushika sijui uongee lugha gani kunishawishi..otherwise mimi nikipanic haijalishi tuna mtoto/watoto au sijui tuna 4 yrs ya uhusiano. Mimi ni moja ya watu wasiofikiria mara mbilimbili Nikutimua tu.
 
Umeuza hisa brother!! Ukute hata lunch anatolewa...maana makazini wake za watu wanapata vishawishi sana hasa akiwa mzuri sura na umbo!!
Nilifanya kazi sehemu huko Mby, aisee wanaume sie tunawatia majaribuni sana Wanawake.... Lunch, lift, utani, mizaha, mitoko nk yani waume zao wangekuwa wanajua..dah sijui wangeamuaje!!
Mbona humalizii na huwa mnawambato mkuu!
Huwezi niambia mwanamke aende project kikazi mbali na mume kwa miezi 6 mfululizo yuko camp mazingira ya vishawishi halafu asikazwe ikiwa ana entertain huo umandazi!
 
Kuna scenario kama hii ilinipata demu anaitana na msela/wasela MY na mambo kedekede nilipiga chini the very same day!!
Wewe kama ni mchumba/mke wa mtu kwanini uwe na kuitana majina ya kunyegeshana alafu sana mijamaa huko haijali mzigo ukiletwa unapigwa kama kawa!!
Mazoea ya kijinga kama hayo sitaki kabisa Mke/mchumba wa tu.
Hapo hesabia ndani ya mwezi kama hajaliwa huyo wife wako sijui...!! Unajua kabisa wewe ni mke/mchumba wa mtu unaleta mazoea ya kijinga nikikushika sijui uongee lugha gani kunishawishi..otherwise mimi nikipanic haijalishi tuna mtoto/watoto au sijui tuna 4 yrs ya uhusiano. Mimi ni moja ya watu wasiofikiria mara mbilimbili Nikutimua tu.
Hayo ndio yanaitwaga maamuzi magumu!
 
Kama ni umejiridhisha kama ni mwanaume anamuita mkeo MY braza. Jipange utato*bewa soon, mwaka hauishi.
 
Back
Top Bottom