Mke wangu anachukia tendo la ndoa

Mke wangu anachukia tendo la ndoa

ni kweli dini inakataza, ila kuandaa kuko kwa aina nyingi si lazima hiyo, na kuhusu kupinda, si issue ni maumbile tu, labda kama ni kubwa sana na ndefu sana kiasi kwamba inamuumiza, ni vizuri kumpeleka hospital aangaliwe ndani kulikoni na wewe pia ujijue una inches ngapi, maana wa kwanza hakuumia ukute kinu chake kilikidhi, ila huyu ukute kinu chake ni size tofauti, havifanani kaka!! but ol the best, nawaombea msiachane, tafuteni ufumbuzi ili muifurahie ndoa yenu!

"Fupi Tamu,Ndefu inakera"-Ze Comedy
 
davi sory kama cjakusoma vle,bt thx,b4 nlshakua na m2 tena kanizd mvua kama 5 hv bt alikua anapenda na kufurahia sex bt nliachana nae cz alienda nje ya nch,so nkaamua kuoa na huyu 2mepishana mvua kama 2,mm ndo nmemzd na kiukwe huwa na2mia muda mwng sana kumuandaa bt nkiingia 2 anaanza kulalamka kias kwamba nashndwa kuendelea,hv kupnda kwa uume wangu inaweza kua n 7bu?mbona hko nlpotoka ckuckia malalamko hayo?

pole mkuu, ni mkeo wa Ndoa? I mean siyo gf unamwita mke?
Back 2topic, maumbile ya ndani hutofautiana. Nendeni nae kwa doctor.
 
habar,kiukwel nashndwa kuelew na pia mnishaur,yfe anadai uume wangu unamuumiza cz umepinda,na unamkuna sehemu moja 2,nikimwambia 2badili style pia anakua mgumu,kiukwel nahc 2napoelekea 2tashindwana,so plz naomben msaada...
Natanguliza shukrani.!!
Pole sana Ushauri wangu jaribu kuzungumze nae vizuri na mwenzako na

kumwambia maneno matamu na mubadilishe style ya kufanya mapenzi unaweza wewe kuwa chini yeye akawa

yupo juu au muulize anataka mufanye Style ipi mwenzako? zungumza nae vizuri usimtolee ukali si unajuwa

Mwanamke ni kama mtoto mdogo inahitaji uwe unambembeleza atakubali na kukueleza anataka mufanye kivipi kimapenzi hu ndio ushauri wangu fanya hivyo kisha uje hapa unipe feedback mgunda1990
 
Last edited by a moderator:
wadau nitangulize shukran zangu za dhat kwa wote mlonpa ushrikiano,bt kingine ambacho kinaniuma zaid n kwamba 2po mbali kijiografia lakin hata cku ninayokutana nae huwa namuona kama hayupo kabisa,bado cjawa na mawazo yakumfkiria vbaya cz n m2 wa iman sana ila tangu nmefunga nae ndoa mwez wa6 mwaka huu kwel imekua mtihan saana
 
wadau nitangulize shukran zangu za dhat kwa wote mlonpa ushrikiano,bt kingine ambacho kinaniuma zaid n kwamba 2po mbali kijiografia lakin hata cku ninayokutana nae huwa namuona kama hayupo kabisa,bado cjawa na mawazo yakumfkiria vbaya cz n m2 wa iman sana ila tangu nmefunga nae ndoa mwez wa6 mwaka huu kwel imekua mtihan saana
Ninakupa ufundi jaribu unapokutana nae

kimapenzi mnyonye nyonye sehemu za maziwa, usoni,tumboni,na sehemu zingine unazozijuwa uwe unampapasa papasa papasa

mwilini kwa taratibu huku unamchezea sehemu zake za siri utakuwa unamfurahisha sio tu ukifika chumbani

unataka mechi atakuwa hakupendi jaribu kutafuta nyege zake zipo wapi? ndipo atakupenda usifanye mambo ya

haraka kuingiza na kutoa atakuwa haoni raha jaribu kwenda taratibu utaona atabadilika atakuependa mpe

maneno mazuri mchekeshe wakati mwengine mtanie kitanio cha mapenzi utaona ajabu kwako atakavyo kubali

kufanya mechi na wewe jaribu kama wiki kisha unipe feedback mgunda1990
 
Last edited by a moderator:
aaah,bahati nimeshaikosa,maana wewe dokta,ungenitibu 24/7.nilitaka kukurushia maombi yangu,kumbe nimeshachelewa

nenda tu mama. umuokoe na mateso haya manake atasubiri sana! nikisikia tu jina lake nawaza mavitu ya kutisha.
 
Last edited by a moderator:
kwanza unisamehe kwa kushiriki uchakachuzi wa uzi wako mwaya.
lakini kwa vile binti ni mtu wa dini sasa, assuming hajazoea bado tendo la ndoa na ukizingatia kuwa hamuishi pamoja bado, mpe muda. Usilazimishe, na umuamshe kama alivyoshauri dr MziziMkavu. Baada ya muda utashangaa na kuanza kukimbia nyumba kama Billie
wadau nitangulize shukran zangu za dhat kwa wote mlonpa ushrikiano,bt kingine ambacho kinaniuma zaid n kwamba 2po mbali kijiografia lakin hata cku ninayokutana nae huwa namuona kama hayupo kabisa,bado cjawa na mawazo yakumfkiria vbaya cz n m2 wa iman sana ila tangu nmefunga nae ndoa mwez wa6 mwaka huu kwel imekua mtihan saana
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
samahani sana,nilivyosoma maelezo yako,imenibidi nicheke.jee huwa unamtayarisha vya kutosha?isije ikawa unaparamia tu,bila mihemko yoyote,na yeye mwenyewe amejichokea.na aende hospitali kuchekiwa hana uvimbe wowote kwa ndani ya k yake?unaomfanya ahisi maumivu.kwa ninavyojua mimi,ukimpata wa kukukuna hasa,na uwe una mtu wako ambae unapendana nae sana,huo mchezo ni utamu wa mwisho,haijalishi tajiri au masikini,ni utamu wa kila mtu

Kwenye red na green ni mtu mmoja au wawili tofauti?
 
habar,kiukwel nashndwa kuelew na pia mnishaur,yfe anadai uume wangu unamuumiza cz umepinda,na unamkuna sehemu moja 2,nikimwambia 2badili style pia anakua mgumu,kiukwel nahc 2napoelekea 2tashindwana,so plz naomben msaada...
Natanguliza shukrani.!!
Kwa maelezo yako huyo ni mke wa ndoa. Sasa huo uume ulipinda baada ya kufunga ndoa? Kama ali-enjoy hadi mkafunga ndoa, then atakua muongo, inawezekana kuna wapinzani wamechukua viti vingi vya ubunge na muda si mrefu wataunda serikali na muda si mrefu ataku-vote out, jiandae. Fanya uchunguzi wako usi-rely kwenye maneno anayokwambia.
 
daaah huu sa hv n mwez kama wa3 tangu 2funge ndoa kingine mwenzangu n m2 wa din sana na v2 vng hapend 2fanye like sucking cz vtabu haviruhusu,napata shda kiukwel

vitabu gani haviruhusu?funguka zaidi
 
Back
Top Bottom