Okechuku33
Member
- Dec 30, 2015
- 78
- 30
- Thread starter
-
- #161
Ahsate kwa ushauri!Mkuu huyo ni mkeo kweli au demu wa kusuuza rungu?
Anyway ushauri ni hivi ulifanya kosa kubwa kumpa nafasi hyo mwanamke mpka anakuchukulia kiboya hvyo muhmu piga chini tafuta ela
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana sitoi na yeye hajachukua hatua yeyote!
Correction sikua naishi ukweni, nilikua kwangu kabisa! Sema nilikua nje ya mkoa kikazi kwa muda was mwezi mmoja!Mazara ya kuishi ukweni safi sana na inaonesha wewe ni khanithi.
Sahihi!Usikubali
Sawasawa kabisa!
Sahihi kabisa Ahsante kwa ushauri!Mlivutana tu kuishi au ???
Kwaiyo muda wote wa ndoa hujui Mjomba wa mkeo anaitwa nani ??.
Yaan nakwann alikua anakuficha kadi ???
Heri kuoa Mwanamke ulomkuta na mtoto, kuliko kuishi na mwanamke ulomuoa, kisha akabeba mimba ya MTU.
Yaan sio tu kakusaliti, Bali kakubebea na kiumbe kama Alama ya usaliti ?
Kuna MTU atakuja hapa kukuambia, kwani wewe Mkuu Hujawahi saliti? Huu utopolo usikubaliane nao .
KWAUFUPI, HAUTAKAA TENA UWE NA AMANI KTK KIPINDI CHOOOOTE CHA UJAUZITO WAKE, KIPINDI CHOOOOOTE CHA MAISHA YAKO .
Maisha ni uchaguzi !!.
Fukuza uyo Mpuuzi kwa sababu Hamna jibu litakalokupa Imani .
Ni hivi nilimuomba kadi make wangu akawa ananipigisha chenga! Na ukimuuliza anasema ni yangu! Then yeye nafkiri akamwambia mama yake kuhusu hili la kwamba nahitaji kuona kadi mana anadai aliliacha home kwao! Hapo ndo mama mkwe akatoa jibu hilo!Yan unashindwaje kumuuliza mkeo kwa utashi wako uliojaaliwa mpk ukamuulize mama mkwe,uyo mama mkwe amekuona kilaza kweli kweli ndo maana ata anaujasiri wa kukujibu atakavyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sahihi!Kadi la kliniki lina jina la mtu mwingine, wewe bado unasema ni mke wako!?
Ni kwamba definition ya mke imebadilika au? , hapo ushakuwa kaka yake au jirani yake, whichever comes first,
Back to square one , Tafuta mke!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikuenda nae clinic nilikua mkoa!Wanafahamu muhika wa mima ni nani
Jiongeze mkuu nenda nae clinic au haukuitwa kufatana nae? Umemuoa lini?
Sahihi!achana na kuamini hizo kadi, anaweza kufungua hata kadi 2 au zaidi kadiri anavotaka na akakuandika wewe mojawapo...labda muwe kijijini zahanati 1.
Sahihi!Mpeleke kwao mapema
Wapo!Kuna Wanawake wana dharau kiasi ichi kumbe
All In All Thanks kwa ushauri wenu wadau!Mke wangu anadai anaujauzito wangu lakini kwenye kadi la clinic kaweka jina la mtu mwingine!
Ukimuuliza Mama yake mzazi na mke wangu anasema lile jina ni la mjomba wake yeye! Cha Ajabu kila nilipotaka kuliona kadi la Clinic nilikua napigishwa chenga!
Mnanishaurije wadau!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnaishi nyumba moja au yeye yupo kwao? Sasa kwanini usimwambie huyo mwenye jina lake ndiyo awajibiie kwa lolote linalo mtokea, hata hapo kwako kama unaishi naye mwambie aende kwa huyo mjomba wake, nawewe utakuwa hujielewi unadanganywa mchana kweupe pee, nyie ndiyo wanaume ambao bado hamjakomaa halafu unaoa hapo unachunwa tu ni ATM ya chumbani weweMke wangu anadai anaujauzito wangu lakini kwenye kadi la clinic kaweka jina la mtu mwingine!
Ukimuuliza Mama yake mzazi na mke wangu anasema lile jina ni la mjomba wake yeye! Cha Ajabu kila nilipotaka kuliona kadi la Clinic nilikua napigishwa chenga!
Mnanishaurije wadau!?
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna vitu vya kuomba ushauri na vingine vya kufanya maamuzi kamaa kitu kidogo kama hicho unashindwa kufanya maamuzi ina maana hata akili yako haijakomaaKwaninj?
Alimvizia alipoenda chooni ndiyo akafukunyua mkobaMkuu umesema mkeo anadai ana ujauzito wako,,na kadi la clinic limeandikwa jina la mtu mwingine,, na unasema kila ukitaka kuliona hilo card unapigishwa chenga,,,Mimi Nina swali fikirishi kwako....uliposema card imeandikwa jina la mtu mwingine hilo card uliliona vipi? na unaposema kila ukitaka kuliona card wanakupigisha chenga maana yake hilo card hukuwahi kuliona?. sasa ulijuwaje kama kaandikwa mtu mwingine? na card hukuliona,,,Mimi nashangazwa na maelezo yako mkuu..jitafakari..Leo nakwenda kama makachero wa Scotland yard...