Mke wangu anadai ana ujauzito wangu lakini kwenye kadi la clinic kaweka jina la mtu mwingine!

Mke wangu anadai ana ujauzito wangu lakini kwenye kadi la clinic kaweka jina la mtu mwingine!

Mazara ya kuishi ukweni safi sana na inaonesha wewe ni khanithi.
Correction sikua naishi ukweni, nilikua kwangu kabisa! Sema nilikua nje ya mkoa kikazi kwa muda was mwezi mmoja!
Pengine ndo alitumia hio nafasi kwenda kinyume na mimi!

Pili mimi sio Khanithi! Khanithi ni mtu asiesimamisha na asie na uwezo wa kufanya mapenzi au kumuingilia mwanamke.
Mimi uwezo ninao! Sema kuna kuzidiana marifa tu!
 
Mlivutana tu kuishi au ???

Kwaiyo muda wote wa ndoa hujui Mjomba wa mkeo anaitwa nani ??.

Yaan nakwann alikua anakuficha kadi ???

Heri kuoa Mwanamke ulomkuta na mtoto, kuliko kuishi na mwanamke ulomuoa, kisha akabeba mimba ya MTU.

Yaan sio tu kakusaliti, Bali kakubebea na kiumbe kama Alama ya usaliti ?

Kuna MTU atakuja hapa kukuambia, kwani wewe Mkuu Hujawahi saliti? Huu utopolo usikubaliane nao .

KWAUFUPI, HAUTAKAA TENA UWE NA AMANI KTK KIPINDI CHOOOOTE CHA UJAUZITO WAKE, KIPINDI CHOOOOOTE CHA MAISHA YAKO .

Maisha ni uchaguzi !!.

Fukuza uyo Mpuuzi kwa sababu Hamna jibu litakalokupa Imani .
Sahihi kabisa Ahsante kwa ushauri!
 
Yan unashindwaje kumuuliza mkeo kwa utashi wako uliojaaliwa mpk ukamuulize mama mkwe,uyo mama mkwe amekuona kilaza kweli kweli ndo maana ata anaujasiri wa kukujibu atakavyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni hivi nilimuomba kadi make wangu akawa ananipigisha chenga! Na ukimuuliza anasema ni yangu! Then yeye nafkiri akamwambia mama yake kuhusu hili la kwamba nahitaji kuona kadi mana anadai aliliacha home kwao! Hapo ndo mama mkwe akatoa jibu hilo!
 
Mke wangu anadai anaujauzito wangu lakini kwenye kadi la clinic kaweka jina la mtu mwingine!

Ukimuuliza Mama yake mzazi na mke wangu anasema lile jina ni la mjomba wake yeye! Cha Ajabu kila nilipotaka kuliona kadi la Clinic nilikua napigishwa chenga!

Mnanishaurije wadau!?

Sent using Jamii Forums mobile app
All In All Thanks kwa ushauri wenu wadau!
 
Mke wangu anadai anaujauzito wangu lakini kwenye kadi la clinic kaweka jina la mtu mwingine!

Ukimuuliza Mama yake mzazi na mke wangu anasema lile jina ni la mjomba wake yeye! Cha Ajabu kila nilipotaka kuliona kadi la Clinic nilikua napigishwa chenga!

Mnanishaurije wadau!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mnaishi nyumba moja au yeye yupo kwao? Sasa kwanini usimwambie huyo mwenye jina lake ndiyo awajibiie kwa lolote linalo mtokea, hata hapo kwako kama unaishi naye mwambie aende kwa huyo mjomba wake, nawewe utakuwa hujielewi unadanganywa mchana kweupe pee, nyie ndiyo wanaume ambao bado hamjakomaa halafu unaoa hapo unachunwa tu ni ATM ya chumbani wewe

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
Kama kwa hili unaomba ushauri/kusaidiwa ulikuwa na kila sababu ya kusaidiwa kujaziwa mimba mkeo.
 
Mkuu umesema mkeo anadai ana ujauzito wako,,na kadi la clinic limeandikwa jina la mtu mwingine,, na unasema kila ukitaka kuliona hilo card unapigishwa chenga,,,Mimi Nina swali fikirishi kwako....uliposema card imeandikwa jina la mtu mwingine hilo card uliliona vipi? na unaposema kila ukitaka kuliona card wanakupigisha chenga maana yake hilo card hukuwahi kuliona?. sasa ulijuwaje kama kaandikwa mtu mwingine? na card hukuliona,,,Mimi nashangazwa na maelezo yako mkuu..jitafakari..Leo nakwenda kama makachero wa Scotland yard...
 
Mkuu umesema mkeo anadai ana ujauzito wako,,na kadi la clinic limeandikwa jina la mtu mwingine,, na unasema kila ukitaka kuliona hilo card unapigishwa chenga,,,Mimi Nina swali fikirishi kwako....uliposema card imeandikwa jina la mtu mwingine hilo card uliliona vipi? na unaposema kila ukitaka kuliona card wanakupigisha chenga maana yake hilo card hukuwahi kuliona?. sasa ulijuwaje kama kaandikwa mtu mwingine? na card hukuliona,,,Mimi nashangazwa na maelezo yako mkuu..jitafakari..Leo nakwenda kama makachero wa Scotland yard...
Alimvizia alipoenda chooni ndiyo akafukunyua mkoba

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom