Mke wangu anadai ana ujauzito wangu lakini kwenye kadi la clinic kaweka jina la mtu mwingine!

Mke wangu anadai ana ujauzito wangu lakini kwenye kadi la clinic kaweka jina la mtu mwingine!

Hii ni moja ya mada mbovu kabisa kuwahi kuletwa jamvini….Hata kuandika jinsi ilivyo mbovu ni upotevu wa muda…..Hakika mabwege nao wanazidiana ubora
 
Mke wangu anadai anaujauzito wangu lakini kwenye kadi la clinic kaweka jina la mtu mwingine!

Ukimuuliza Mama yake mzazi na mke wangu anasema lile jina ni la mjomba wake yeye! Cha Ajabu kila nilipotaka kuliona kadi la Clinic nilikua napigishwa chenga!

Mnanishaurije wadau!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huyo ni mkeo kweli au demu wa kusuuza rungu?
Anyway ushauri ni hivi ulifanya kosa kubwa kumpa nafasi hyo mwanamke mpka anakuchukulia kiboya hvyo muhmu piga chini tafuta ela

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema ukweli,unamzungumzia mkeo au danga fulani tu? Kama kweli ni mke wako basi wewe ni zaidi ya bwege.
Hapo unataka tukushauri nini mfano?
 
we pimbi kweli, angefanya mke wako hivyo ungejiskiaje , halafu unasema wanawake wana huruma, huruma my ass, mwanaume mwenzio kaja kuomba ushauri wewe unaongea faken stories hapa,
wanawake wa hivyo unapiga risasi tu, na wanaume ambao mnasapoti ujinga kama wewe ni wa kuchinjwa kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuchinja? huo sio ushauri,tafuta ushauri mwingine huu haufai.
 
Hii ni moja ya mada mbovu kabisa kuwahi kuletwa jamvini….Hata kuandika jinsi ilivyo mbovu ni upotevu wa muda…..Hakika mabwege nao wanazidiana ubora
Huyu ana haki ya kugongewa kabisa. No offense!
 
Mkuu kwanza pole sana
(Jambo hili limenikuta mimi ila si mkewangu ni mtu ambae tulikuw katika mahusiano)
Sasa unaposema ni mkeo kbsa wa halali kidini na kisheria ndimbo hapo nashindwa kuelewa wew unashindw nn kumuelewa ..?
Je umezaa nae watoto wengine?
Unawatoto wangapi..?
Huyo mwanamke ni kabila gani ?

Ila ushauri wangu mpeleke kwao huyo mwanamke na usimuudumie kwa lolote na wala usitoe taraka hadi pale atapo kuthibitishia yeye mwenyew kuw huyo ni mtoto wako au si wako.

Na kama akikuthibitishia ni wako hakiki mtoto anafanafanana na wew , mnapima DNA na document zote za mtoto zipo kwa jina lako kinyume na hapo vunja mkataba wa ndoa .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo nazidi kuona ndoa za saizi zisivyo na staha ...Yani mkuu wewe kama mwanaume umeshindwa kabisa kulitatua hilo au kuomba ushauri hata kwa watu wako wa karibu mpaka uje usemee uku JF..Ivi mfano mkeo akasoma iki ulichoandika unahisi ndoa yako utainusuru au ndo itatumbukia shimoni maana ni wazi hapo hamna mwamuzi wa familia wala kichwa cha familia
 
Mke wangu anadai anaujauzito wangu lakini kwenye kadi la clinic kaweka jina la mtu mwingine!

Ukimuuliza Mama yake mzazi na mke wangu anasema lile jina ni la mjomba wake yeye! Cha Ajabu kila nilipotaka kuliona kadi la Clinic nilikua napigishwa chenga!

Mnanishaurije wadau!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni mke wa mtu sio wako....... Funguka man

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom