Mke wangu anadai ana ujauzito wangu lakini kwenye kadi la clinic kaweka jina la mtu mwingine!

Mke wangu anadai ana ujauzito wangu lakini kwenye kadi la clinic kaweka jina la mtu mwingine!

Huyu hakutakiwa kukupiga chenga tu alitakiwa akupige na makofi, hivi nyie wavulana akili mnaachaga wapi kabla ya kuandika hizi aibu, ungekua karibu yangu ningekunasa bonge la kofi.
 
Mke? Hivi ndoa zimekua rahisi kiasi hiki? yaan mke wako, unampa ujauzito halafu kliniki anaenda anaandika baba wa mtoto ni mtu mwingine, sijui mjomba, we nilihuni limoja tuu, linatafuta mawazo ya wanajukwaa!

Kama hii si chai, basi unamatatizo sehemu, na mwanamke ameona hufai kuwa baba
 
Mke wangu anadai anaujauzito wangu lakini kwenye kadi la clinic kaweka jina la mtu mwingine!

Ukimuuliza Mama yake mzazi na mke wangu anasema lile jina ni la mjomba wake yeye! Cha Ajabu kila nilipotaka kuliona kadi la Clinic nilikua napigishwa chenga!

Mnanishaurije wadau!?

Hapa Hakuna cha ushauri bro, labda kama una co-habitate nae, mke akifanya upumbavu mpe makavu.
 
Back
Top Bottom