Mke wangu anadai niifukuze familia ya kaka nyumbani

Solution, 1. huyo shemeji yako kakae na wazazi wako uko kijijini, watoto wabaki kwako waendelee na shule. 2. Wapangishe vyumba viwili umpe mtaji shemeji yako wawe wanaendelea na Maisha yao. Wakati huo unawalipia watoto school fees, na kutoa msaada wa chakula, pia ndugu zako wengine hata kama wanamatatizo ya pesa watoe misaada ya chakula. Familia nyingi za kiafrica ni Shida sana, ndugu yako yuko jela hata misaada kwa watoto inakuwa ngumu, 3. Hao watoto wagawane kwa ndugu wote Mama yao akae kwao au kwa wazazi wako. Kwa muda wakati jamaa akitoka jela waungane na familia yake. Uwezi jua ya kesho jamaa anaweza toka jela Maisha yake yakawa mazuri sana wewe ukapata ugonjwa au kufukuzwa kazi Maisha yakawa upside down. Huyo mke wako akakukimbia .
 
Mwambie mkeo majukumu anayoyafanya shemeji yako ayachukue yeye yote ya kukuhudumia wewe hasa usiku. Pia shemeji yako kuvaa nightdress huku akikusubilia hapo pana walakini.
 
Acha kumtafuna shemeji yako, mpangishie na umpe mtaji ajitegemee, jitahidi uende kwake ukitoka kazini ikibidi Baki na watoto wake tu Ila yeye mpangishie chumba ili ukienda umtafune bila bugudha.Ushauri huu sijui chanzo chake
 
Unatoa ushauri kwa mtu ambaye ashafariki?
Na hili lidunia lilivyo la kifala unaeza kuta kweli jamaa ameshapita hivi na ma covid haya.. Mara nyingi wale watu ambao ni msaada kwenye jamii ndio hua wanawahi mbele za haki. Sasa jiulize ile familia saiz itakua kwenye hali gani na jamaa bado hajatoka jela..?🙄
 
Huyo shemeji yako kwanini asirudi akaishi kwao na watoto pia unawasomesha au akaishi ukweni na sio kwako

Huu uzi nishawahi comment nahisi [emoji23][emoji23]
 
Ukishamtafuna shemeji leta mrejesho ila mzime taa sio mpaka kila mtu aone
 
Pole sana, mkeo anaoekana hajiamini mbele ya shemeji yako

Solution ni kumpangia shemeji yako mji wake na umfungulie japo kabiashara aweze kujimudu kwa mambo madogo madogo

Kama unavyosema mkeo anaweka chuki mpaka kwa watoto, basi anaweza hata akawadhuru au akamdhuru shemeji yako


Pambana kiume umtafutie huyo shemeji mahala pa kukaa na biashara ya kujikimu,mueleze kwamba hali ya maisha imebadilika na ni lazima ajifunze kuchakarika, itakupunguzia mzigo kwa upande wako haswa wa mambo madogo madogo kama chakula nk.

Nakupa hongera sana kwa kuibeba afamilia ya kaka yako, that is what we call brotherhood, Mungu atakulipa na atakufanyia wepesi katika magumu yote.
 
Na huenda huyo shemeji yako mwenyewe, yawezekana hata mmewe hamfanyiagi hayo yote, ni ujinga tu unamsumbua
 
Utabiri :

kabla miaka ya kifungo haijaisha utazaa na shemeji yako na mkeo ataondoka. Mtoto mtakaemzaa akiwa na mwaka mmoja kaka yako atatoka kifungoni kwa msamahaa wa rais mpya ajae 2020 kutoka ukawa.

As from now you will never be happy.
 
Kibinadamu tu mtu akae miaka Saba bila kunyanduliwa kweli jmn .....?

Bro hapo kabla hauja fika kote huku ilitakiwa uwe umemnyandua kimya kimya na kumpanga mapema kuwa hicho unacho fanya ni Siri na asioneshe utofauti wowote na akiwa nyumbani majukumu ya mke wako aachane nayo ili kulinda heshima yenu katika jamaii.

Huyo shemeji yako huenda nyege ndio zinampelekesha si unajua hata mkeo tu usipo mpelekea Moto anavyo kua....?

Bro mnyandue huyo utata utaisha na usimpe uspesho Sana

Na ukizembea utalipoteza tunda la kaka yako
 
Kwahiyo nayeye siku katoka mkewe anyanduliwe na Kaka yake? Tabia gani hiyo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…