Mke wangu anadai niifukuze familia ya kaka nyumbani

Mke wangu anadai niifukuze familia ya kaka nyumbani

Wanawake wengi huwa ni wabinafsi.
Angekuwa mke wa Kaka yake hapo au angekuwa mdogo wake ungeendelea hata kulipia Ada hizo shule za gharama.!!!
Ni mama zetu, dada zetu nk lakini Wana roho ya ubinafsi Sana!!
 
Wewe kweli boya, Yaani afukuze familia ya kaka yake kisa ni mwanamke wake kuwa na roho mbaya??

Siku mama yake mzazi amekuja kimatibabu hapo mwendo si utakuwa ni ule ule muondoe mama yako au muondoke mimi napoli pia ampangie chumba mama yake?

Msiwe na kawaida ya kucheka na wanawake zenu wakicheza na ndugu zako.

Lazima mwanamke atambue ndugu.Bila hao ndugu wewe asingekuona.

Sasa unataka ampangie chumba halafu ajihangaikie mwenyewe akianza kufanya umalaya? Ili kaka yake akija kurudi akutane na ukimwi?
Halafu mkewe akindoka ndiyo wabaki na huyo mke wa kaka yake na watoto wake shemeji atalea au sio? Unaijua ndoa lakini?
 
Mkulu wala hakuna la kujizungusha mwambie asepe mapema kabisa

Huyo anatingisha njiti Tu Kwa ajiri ya wivu wa hovyo .

Shemeji yako anakujali Sana anajua umuhimu wa kuwepo wewe , lzm ajishushe mno kwako.


Uwe unampereka unatoa chochote ili Kaka yako amtolee kideko huyo shemeji yako


Jipe Moyo huo ndiyo ukubwa
Na huenda hayo yote anayomfanyia shemeji yake mmewe hamfanyiagi unafiki tu wakuharibu ndoa za watu.
 
Wanawake wengi huwa ni wabinafsi.
Angekuwa mke wa Kaka yake hapo au angekuwa mdogo wake ungeendelea hata kulipia Ada hizo shule za gharama.!!!
Ni mama zetu, dada zetu nk lakini Wana roho ya ubinafsi Sana!!
Mke wa kaka yake hawezi kujipendekeza hivyo kwa mke wa wifi yake
 
Halafu mkewe akindoka ndiyo wabaki na huyo mke wa kaka yake na watoto wake shemeji atalea au sio? Unaijua ndoa lakini?
Kwa hiyo unataka amfukuze watoto wa kaka yake kisa huyo mwanamke mwenye roho mbaya zake?

Kesho na kesho kutwa itabidi amfukuze mama yake mzazi kisa mwanamke hamtaki mama wa huyo jamaa hapo nyumbani unanishaurije aendelee kufukuza tu?

Wewe ndio hovyo kabisaa
 
Wadau nawasalimu,

Kuna mgogoro wa kifamilia unafukuta nyumbani kwangu,

Ni kwamba kuna kaka yangu ambae alipata matatizo na yupo jela sasa takribani mwaka wa pili akitumikia kifungo cha miaka saba.

Huku nje familia yake ilishindwa kumudu kodi ya nyumba baada ya kodi aliyolipa jamaa kuisha, mkewe alikuja kuniona kwa ajili ya hilo, nami nikaliwasilisha kwa wazee ambapo walishauri niichukue hiyo familia tukae pamoja kwangu kwa kujibanabana hivyo hivyo.

Kwa kuwa kumlipia kodi kwa kweli kwa majukumu niliyonayo nisingeweza, maana ada za shule za watoto wake ni mimi pia ndio nalipa kwa sasa, tuliwatoa shule za gharama na kuwaleta za kawaida.

Wakahamia kwangu yeye na watoto wake, tunaamini kuwa miaka mitano iliyobaki katika kifungo si mingi sana, tukimwacha mwanamke aende njia yake si ajabu jamaa akatoka huku familia imepotea au kuchukuliwa na jitu lingine ukizingatia mwanamke hakua na kazi, ni house wife na wote tunajua jinsi hawa wenzetu walivyo dhaifu, nadhani wengi mmeshasikia simulizi nyingi za watu waliofungwa waliwakuta wake zao wako wapi pindi walipotoka huko.

Nyumbani amani imetoweka sasa, kati ya mke wangu na huyo shemeji yangu, huyu shemeji kiukweli ni mchapa kazi na mwenye heshima ya hali ya juu, nikirudi kutoka kazini huja mlangoni kunifungulia geti, baada ya hapo huja kwenye gari hunipa shikamoo huku amepiga magoti na kupokea kwa unyenyekevu mzigo wowote ninaokua nao.

Nikitoka kwenda bar nikirudi saa tano saa sita usiku huja kunifungulia geti anamzuia housegirl asiamke anakuja yeye, kisha hunipakulia chakula na kunikaribisha, ananisubiria anatoa vyombo na kuni wish good night.

Sasa hii treatment ambayo huyu shemeji ananipa imemkasirisha sana mke wangu ambae kwa kweli nimeshasahau mara ya mwisho ni lini alinikirimu hivi, mm uhudumiwa na hg na wengi wao huwa viburi sio kama anavyofanya shemeji,
Sasa umezuka ugomvi mkubwa ndani kati ya mke wangu na shemeji.

Usiku silali naambiwa nichague nimfukuze shemeji au yeye aondoke eti kama nimeona shemeji ni bora, mke wangu sasa haendi kulala mapema anakaa sitting room na shemeji hadi saa sita hadi nifike ili aone kama kuna kitu kinafanyika, ameshatangazia wanaukoo kuwa mimi na shemeji kuna kitu kinaendelea jambo ambalo sio la kweli.

Pia shemeji anapenda kuniita kwa jina la "" mume"" juzi mke wangu alimsikia akiniita hivyo na kumuuliza mume wako na nani ukazuka ugomvi mkubwa sana, wakati mwingine naporudi usiku mwingi shemeji anakua yupo ukumbini na mavazi ya kulalia akitazama series, mke wangu nae anatoka kuja kunisubiria hapo hapo akidhani kuna kitu labda tutafanya hapo na shemeji, hawazungumzishani kitu hadi mimi napofika, yule shemeji anawahi mezani kunipakulia chakula.

Juzi juzi tulikua tunakunywa bia mimi na shemeji yangu mahala fulani, huwa namtoa out mara moja moja ili walau apoteze mawazo ya matatizo yaliyowapata, nikatumia Muda huo kuongea ili ajishushe kuepusha ugomvi usiokua wa lazima pale home lakini akanijibu kuwa wife ndio anapaswa kujishusha kwa kuwa ni mdogo kwake.

La hasha nikampangie kwake yeye na wanawe niwe namhudumia huko, nikamjibu sina uwezo huo wa kuhudumia familia mbili, ukizingatia kuwa ndugu ni kama wamenitelekezea mm huu mzigo kila mtu anajifanya yupo busy na wengine wakilia ugumu wa maisha.

Wadau mnanishauri nini kuhusu tatizo hili, maana hali sasa ni tete, mke wangu amenipa ultimatum kwamba nimuondoe shemeji or else aondoke yeye, mimi tatizo langu kubwa ni wale watoto, hatima yao, inafikia hatua sasa mke wangu anawazuia watoto wetu wasicheze pamoja na wale wa kaka kutokana na ugomvi na mama yao.

Msaada wa haraka unahitajika



Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka minne sasa vipi Kaka yako alishamaliza kifungo?
 
Wadau nawasalimu,

Kuna mgogoro wa kifamilia unafukuta nyumbani kwangu,

Ni kwamba kuna kaka yangu ambae alipata matatizo na yupo jela sasa takribani mwaka wa pili akitumikia kifungo cha miaka saba.

Huku nje familia yake ilishindwa kumudu kodi ya nyumba baada ya kodi aliyolipa jamaa kuisha, mkewe alikuja kuniona kwa ajili ya hilo, nami nikaliwasilisha kwa wazee ambapo walishauri niichukue hiyo familia tukae pamoja kwangu kwa kujibanabana hivyo hivyo.

Kwa kuwa kumlipia kodi kwa kweli kwa majukumu niliyonayo nisingeweza, maana ada za shule za watoto wake ni mimi pia ndio nalipa kwa sasa, tuliwatoa shule za gharama na kuwaleta za kawaida.

Wakahamia kwangu yeye na watoto wake, tunaamini kuwa miaka mitano iliyobaki katika kifungo si mingi sana, tukimwacha mwanamke aende njia yake si ajabu jamaa akatoka huku familia imepotea au kuchukuliwa na jitu lingine ukizingatia mwanamke hakua na kazi, ni house wife na wote tunajua jinsi hawa wenzetu walivyo dhaifu, nadhani wengi mmeshasikia simulizi nyingi za watu waliofungwa waliwakuta wake zao wako wapi pindi walipotoka huko.

Nyumbani amani imetoweka sasa, kati ya mke wangu na huyo shemeji yangu, huyu shemeji kiukweli ni mchapa kazi na mwenye heshima ya hali ya juu, nikirudi kutoka kazini huja mlangoni kunifungulia geti, baada ya hapo huja kwenye gari hunipa shikamoo huku amepiga magoti na kupokea kwa unyenyekevu mzigo wowote ninaokua nao.

Nikitoka kwenda bar nikirudi saa tano saa sita usiku huja kunifungulia geti anamzuia housegirl asiamke anakuja yeye, kisha hunipakulia chakula na kunikaribisha, ananisubiria anatoa vyombo na kuni wish good night.

Sasa hii treatment ambayo huyu shemeji ananipa imemkasirisha sana mke wangu ambae kwa kweli nimeshasahau mara ya mwisho ni lini alinikirimu hivi, mm uhudumiwa na hg na wengi wao huwa viburi sio kama anavyofanya shemeji,
Sasa umezuka ugomvi mkubwa ndani kati ya mke wangu na shemeji.

Usiku silali naambiwa nichague nimfukuze shemeji au yeye aondoke eti kama nimeona shemeji ni bora, mke wangu sasa haendi kulala mapema anakaa sitting room na shemeji hadi saa sita hadi nifike ili aone kama kuna kitu kinafanyika, ameshatangazia wanaukoo kuwa mimi na shemeji kuna kitu kinaendelea jambo ambalo sio la kweli.

Pia shemeji anapenda kuniita kwa jina la "" mume"" juzi mke wangu alimsikia akiniita hivyo na kumuuliza mume wako na nani ukazuka ugomvi mkubwa sana, wakati mwingine naporudi usiku mwingi shemeji anakua yupo ukumbini na mavazi ya kulalia akitazama series, mke wangu nae anatoka kuja kunisubiria hapo hapo akidhani kuna kitu labda tutafanya hapo na shemeji, hawazungumzishani kitu hadi mimi napofika, yule shemeji anawahi mezani kunipakulia chakula.

Juzi juzi tulikua tunakunywa bia mimi na shemeji yangu mahala fulani, huwa namtoa out mara moja moja ili walau apoteze mawazo ya matatizo yaliyowapata, nikatumia Muda huo kuongea ili ajishushe kuepusha ugomvi usiokua wa lazima pale home lakini akanijibu kuwa wife ndio anapaswa kujishusha kwa kuwa ni mdogo kwake.

La hasha nikampangie kwake yeye na wanawe niwe namhudumia huko, nikamjibu sina uwezo huo wa kuhudumia familia mbili, ukizingatia kuwa ndugu ni kama wamenitelekezea mm huu mzigo kila mtu anajifanya yupo busy na wengine wakilia ugumu wa maisha.

Wadau mnanishauri nini kuhusu tatizo hili, maana hali sasa ni tete, mke wangu amenipa ultimatum kwamba nimuondoe shemeji or else aondoke yeye, mimi tatizo langu kubwa ni wale watoto, hatima yao, inafikia hatua sasa mke wangu anawazuia watoto wetu wasicheze pamoja na wale wa kaka kutokana na ugomvi na mama yao.

Msaada wa haraka unahitajika



Sent using Jamii Forums mobile app
saidia ndugu zako liwalo na liwe
 
Mada za kijinga hizi
kwa jinsi unavyoelezea either ni uongo au basi wewe na huyo shemeji mnamatatizo huko kichwani kwenu.
 
Kwa hiyo unataka amfukuze watoto wa kaka yake kisa huyo mwanamke mwenye roho mbaya zake?

Kesho na kesho kutwa itabidi amfukuze mama yake mzazi kisa mwanamke hamtaki mama wa huyo jamaa hapo nyumbani unanishaurije aendelee kufukuza tu?

Wewe ndio hovyo kabisaa
Hakuna kitu kama hicho, na wala huyo bwana asiye mdhamini mkewe hajasema kuwafukuza watoto wa kaka yake, lakini kwa tabia za huyo mgeni za kuingilia ndoa za watu ndiyo sababu, hapo si kuwafukuza ampeleke kwao yaani ukweni kwa huyo mwanamke na kama watoto ni wakubwa abaki nao yeye akae ukweni
Mie sio hovyo naishi na mtu yeyote, tena wengine hata hawamfahamishi ndugu yao kama wanakuja naambiwa mimi, ila kwa mpuuzi kama huyo dada yenu siwezi ishi naye na mme wangu labda tuwe wote kwa shemeji yetu mie na yeye
 
Mada za kijinga hizi
kwa jinsi unavyoelezea either ni uongo au basi wewe na huyo shemeji mnamatatizo huko kichwani kwenu.
Watakuwa wana dinyana hao either wanatamaniana sio bure wajinga kabisa hao.
 
Hakuna kitu kama hicho, na wala huyo bwana asiye mdhamini mkewe hajasema kuwafukuza watoto wa kaka yake, lakini kwa tabia za huyo mgeni za kuingilia ndoa za watu ndiyo sababu, hapo si kuwafukuza ampeleke kwao yaani ukweni kwa huyo mwanamke na kama watoto ni wakubwa abaki nao yeye akae ukweni
Mie sio hovyo naishi na mtu yeyote, tena wengine hata hawamfahamishi ndugu yao kama wanakuja naambiwa mimi, ila kwa mpuuzi kama huyo dada yenu siwezi ishi naye na mme wangu labda tuwe wote kwa shemeji yetu mie na yeye
Tabia zipi za huyo mgeni ni mbaya?
 
Tabia zipi za huyo mgeni ni mbaya?
Sasa wewe shemeji unaendaje kumfungulia gate huku umevaa nightdress, kihele hele chakumpakulia shemeji yake wakati mkewe yupo inahusu, mara kujipitisha pitisha anataka nini hapo!
 
Sasa wewe shemeji unaendaje kumfungulia gate huku umevaa nightdress, kihele hele chakumpakulia shemeji yake wakati mkewe yupo inahusu, mara kujipitisha pitisha anataka nini hapo!
Mke hivyo vitu hafanyi. Acha wifi yake amfundishe.
 
Acha hizo tabia mbaya sana, wewe umeoa lakini ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila ana point ujue. Hivi nawe jiulize, mwanamke atamsubiri mme wake kwa miaka saba bila kunyanduliwa?
Hakika jibu ni hapana. Sasa akienda kufanya nje Kuna hatari wakabeba jumla, au wakachanganya uzazi, mume anakuja kutoka jela anakuta toto la mwanaume mwingine.
Wakati huyu baba mdogo akila shemeji atakula kwa Nia ya kumsaidia kaka, kumwondolea nyege na upweke shemejie, baasi
 
Familia ni baba mama na watoto, kuongea familia ndani ya familia ni shida. Wahifadhiwe kwa muda , shemeji arudi kwa wazazi wake mpaka bwana atakapomaliza kifungo. Watoto mgawanye majukumu kwa sababu ni damu yenu.
 
Sasa wewe shemeji unaendaje kumfungulia gate huku umevaa nightdress, kihele hele chakumpakulia shemeji yake wakati mkewe yupo inahusu, mara kujipitisha pitisha anataka nini hapo!
Kwanini yeye mwenye mume asiende kufungua?
 
Kwanini yeye mwenye mume asiende kufungua?
Sasa si ndiyo huyo mwenye shemeji anakimbilia kufungua gate, badala ya kwenda gerezani kumuona mmewe kazi kuharibu ndoa za watu! Au haujasoma vizuri umeanzia kati?
 
Back
Top Bottom