Mke wangu anajamba sana usiku, nifanyeje?

Status
Not open for further replies.
Wewe una bahati sana. Mkeo anakupenda mpaka hana cha kuficha mbele yako. Amejiachia kwako kwa asilimia mia. Ukiona mkeo anakuficha hata kijambo, basi ujue anakuficha mengi.
hahahah daah mkuu umenifurahisha
 

Kaka mbona hiyo ni ladha kwenye mapenzi tu. Yeah.
Ipotezee tu. Wenzio wanaipenda hiyo ladha. Shauri yako. Binafsi nafurahi sana Kama mwenzangu anapata kupumuawalau mbele yangu. Masista duu wanajistukia sana. Huyo wako wewe ndo mwenyewe. Usikonde noma
 
Usitudanganye kuwa ni mkeo wakati ni wewe mwenyewe unajifanya mkeo ili utusikie tutasemaje. Muheshimu mkeo.
 

eeee mwambie huyu. Kujambiwa na mkeo nayo kero!?
 
Ni dalili za kwamba anataka utumie min kabang sema ww mzito kuelewa

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
labda ana vidonda vya tumbo..kama tumbo lake litajaa gesi ni lazima hali hiyo itokee hasa kwa vyakula vyetu vya kibongobongo ni vyema mkaenda hospitali kujua tatizo liko wapi..?...mtunzie heshima mkeo jamani....
mmmmh! we usilete hayo mabo ya gesi hum jamvini, muhongo anaweza fanya uwekezaji kwenye tumbo la mke wa mtu
 
haswaaaaaa la sivyo
tutadhalilishwa mpaka tukome!!
Na mimi nitaendelea kuwapigania mpaka nione mwisho wa hao wadhalilishaji kinamama. Haiwezekani raha tupewe sirini halafu kwa sababu ya upungufu wa akili tu uje usimame njia panda utoe mapungufu ya mwenzio, je na huyo mwanamke wake angetoa ya kwake angefurahia!! Wanaboaje...
 
Dah! Kwa ss mabasha ushuzi ni mali, ka vp mteme huyo demu aje kwangu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…