Mke wangu anajamba sana usiku, nifanyeje?

Mke wangu anajamba sana usiku, nifanyeje?

Status
Not open for further replies.
Wewe ndo umemwalibu huko nyuma anapumua ovyo ovyo unalalamika tulia uvune ulichokipanda
 
lakini Mkuu, inabidi na wewe tukuulize maswali pia? Haumli TIGO? Isije ikawa wewe unamla TIGO halafu unajifanya kulalamika na mambo anayokufanyia, kumbe Nut umezifungua mwenyewe.
 
Ndugu wana MMU,
Nimeishi na mke wangu kwa muda wa miaka 2 na tuna mtoto mmoja. Kwa ufupi tunaelewana sana, tatizo kubwa ni tabia yake ya kujiachia(ushuzi) mbele yangu. Nimejaribu kumweleza kama sifurahishwi na anavyofanya aingie chooni lakini yeye anacheka na kunieleza anapumua.
Sasa nimeongea mpaka nimechoka, nimeamua kuacha tu.
Naomba ushauri wenu, je kujamba mbele ya mpenzi/mume/mke ni kupumua tu? Na je akijamba mgeni akiingia ndani(imewahi tokea) na kukutana na harufu atatuanaje?
Please help

usijizungushe hapa we jifungue tu kwamba ni mtumiaji hodari wa 0715......
 
duh mkuu mbona umetoa siri za ndani, kweli kakukera aisee
 
Shukuru anajamba mbele yako ujue hakuna analokuficha.kuna mtu hajawahi kusikia kijambo cha mpenzi wake ujue anakuficha mengi
 
Ndugu wana MMU,
Nimeishi na mke wangu kwa muda wa miaka 2 na tuna mtoto mmoja. Kwa ufupi tunaelewana sana, tatizo kubwa ni tabia yake ya kujiachia(ushuzi) mbele yangu. Nimejaribu kumweleza kama sifurahishwi na anavyofanya aingie chooni lakini yeye anacheka na kunieleza anapumua.
Sasa nimeongea mpaka nimechoka, nimeamua kuacha tu.
Naomba ushauri wenu, je kujamba mbele ya mpenzi/mume/mke ni kupumua tu? Na je akijamba mgeni akiingia ndani(imewahi tokea) na kukutana na harufu atatuanaje?
Please help



kuwa na kawaida ya kumpa Pole kila akijamba.
 
Mwambie awe anakula matunda kwa wingi

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Kuna wengine wanapenda kweli hizo harufu za ushuzi!kama umemchoka mbinafsishe tu!
 
Haya ndio matatizo ya kuoa wakati wa balehe kabla akili haijakomaa......unawezaje kumdhalilisha mkeo unayempenda kutoka moyoni kwa kiwango hichi...!! Pengine mkeo ana maradhi yanamsumbua badala ya kumtafutia ufumbuzi unakuja kumuanika huku ndio ili iweje.....kwani wewe hujambi mkuu.....?? Inavyoonekana hili swala mtaa mzima umeshaliweka wazi mkeo akipita watu wana mchora tu......Huu ujumbe uwafikie wakina dada....sio kila anayevaa ni mwanaume wengine ni wa kiume tu....
 
Lakini mbona kwa muda mfupi sana na kwa tatizo dogo sana umeshasahau kiapo chenu mlichokula cha kuvumiliana kwa shida na raha??? Ulipomuoa hakuwa hivyo, kwa nini usiamini kuwa hilo ni tatizo na unapaswa kulivumilia???

Mwisho, mke mpe heshima yake bana!! Asipojiachia kwako akajiachie kwa nani tena, ulipaswa kumtania na kucheka pamoja akijamba badala ya kumfokea na kununiana bana!!

Hahaha au anataka ajambe kimya kimya ashtukue harufu tu....eventhough akijamba kimya kimya na wapo wawili si ni yaleyale tu...
 
Ulijari wa mwanaume hauishii kwenye kusimamisha dushe kama nguzo ya umeme tu......bali pia kwenye masuala kama haya inatakiwa mwanaume uwe mvumilivu.....na ndio maana mwanaume akapewa kifua kipana kuliko mwanamke....na wakati mwingine mwanamke anapokuwa katika wakati mgumu huwa anakimbila kifuani kwa mumewe kwa ndio sehemu pekee ya faraja kwake...
 
Haya sisi wazazi tuko kwenye kikao cha usuluhishi maana mkeo hajakubali kuipokea hiyo talaka,, sisi wazazi wenu wa pande mbili tunakupa fursa useme tatizo lililopelekea mtaliki mkeo ,, utaanzaje? utasema mke wangu mzuri anaheshima, anajali familia ila ANAJAMBA!!!! tumia akili tu mkwe ndo maana majumba yana kuta nne kuna mengi yanatokea ndani ya kuta hizo... uislam unatutaka kuwapenda na kuwahifadhi aibu za wanandani wetu... umefanya dhambi ku expose mkeo ,,, humu kuna maharamia wata kuharck mpaka wajue unaishi wapi na wamuone huyo mkeo.. maana wengine mashuzi ndo harufu waipendayo na hasa panapotokea hiyo harufu ,,, huoni umejiletea shida?
 
Ww unavisa ww nunua air fresh akijamba puliza naww airfresh yako mnaenda sawa tena ikiwezekana nunua lile lenye ujazo mwingi akijambaa atajua unakereka na ataachaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom