Mke wangu anajamba sana usiku, nifanyeje?

Mke wangu anajamba sana usiku, nifanyeje?

Status
Not open for further replies.
hayo ndio mambo ya KUVUMILIANA ktk ndoa so usimharibie pozi mkeo aisee! muache ajiachie kwa raha zake kuna wengine hawapati huo ushuzi sasa km yeye anapata muache, mpe uhuru, sio maradhi hayo kaka..ni km kupiga miyayo tu...ok?
 
Nilifikiri unasema ati anakunya bila kutawadha kumbe ni kutoa pumzi tu? Hujui asipo jamba atavimbiwa? Unampenda kweli huyo mkeo?
Kama ana sura nzuri, mashine yake saafi, tena ina rutuba kwani keshakupa mtoii una shida gani na ushuzi wake? Kama unampenda, akitoa tena hiyo harufu mbele za watu msifie sana kuwa ni kama harufu ya perfume ya bint el sudan.
Hakuna mtu mwenye akili timamu atachukia mtu kutoa pumzi.
Mpende mkeo weyee
Hapo umenisaidia mkuu. Thanks a million
 
Ushauri wa bure ,anywe nusu kijiko cha asali kila baada ya kumaliza kula kabla ya kunywa maji.
Ndugu wana MMU,
Nimeishi na mke wangu kwa muda wa miaka 2 na tuna mtoto mmoja. Kwa ufupi tunaelewana sana, tatizo kubwa ni tabia yake ya kujiachia(ushuzi) mbele yangu. Nimejaribu kumweleza kama sifurahishwi na anavyofanya aingie chooni lakini yeye anacheka na kunieleza anapumua.
Sasa nimeongea mpaka nimechoka, nimeamua kuacha tu.
Naomba ushauri wenu, je kujamba mbele ya mpenzi/mume/mke ni kupumua tu? Na je akijamba mgeni akiingia ndani(imewahi tokea) na kukutana na harufu atatuanaje?
Please help
 
hayo ndio mambo ya KUVUMILIANA ktk ndoa so usimharibie pozi mkeo aisee! muache ajiachie kwa raha zake kuna wengine hawapati huo ushuzi sasa km yeye anapata muache, mpe uhuru, sio maradhi hayo kaka..ni km kupiga miyayo tu...ok?
Ushauri mzuri mkuu, nimeupenda
 
Lakini mbona kwa muda mfupi sana na kwa tatizo dogo sana umeshasahau kiapo chenu mlichokula cha kuvumiliana kwa shida na raha??? Ulipomuoa hakuwa hivyo, kwa nini usiamini kuwa hilo ni tatizo na unapaswa kulivumilia???

Mwisho, mke mpe heshima yake bana!! Asipojiachia kwako akajiachie kwa nani tena, ulipaswa kumtania na kucheka pamoja akijamba badala ya kumfokea na kununiana bana!!
 
Haya malalamiko mengine bana!! Kama ulikuwa hupendezwi na tabia hio ulitakiwa uiwekee kikomo tangia mwanzoni lakini sasa ishakuwa sugu na huyo mkeo hakuchukulii serious,umeacha amekuzoea mno ndio maana anakupuuza!!!
 
Izo ni siri ambazo azifai ata kusimlia jaman unaomba ushauri kwa kumuanika mkeo kabisa! Duh
 
Kuna mzee mmoja wa makamo ashawahi kuniambia kuwa mwanadamu anayeficha kujamba, mtu huyo ni msiri sana.

Sasa huenda mkeo sio msiri au hana hulka ya usiri kama ulivyo wewe ndio maana kwake kuachia mashuzi sio suala la kuhitaji sitiri.
 
Ndugu wana MMU,
Nimeishi na mke wangu kwa muda wa miaka 2 na tuna mtoto mmoja. Kwa ufupi tunaelewana sana, tatizo kubwa ni tabia yake ya kujiachia(ushuzi) mbele yangu. Nimejaribu kumweleza kama sifurahishwi na anavyofanya aingie chooni lakini yeye anacheka na kunieleza anapumua.
Sasa nimeongea mpaka nimechoka, nimeamua kuacha tu.
Naomba ushauri wenu, je kujamba mbele ya mpenzi/mume/mke ni kupumua tu? Na je akijamba mgeni akiingia ndani(imewahi tokea) na kukutana na harufu atatuanaje?
Please help
huyu itakuwa mtumia na kipenzi cha mtandao wa tigo hongera kwa kumiliki mtandao wa tigo
 
labda ana vidonda vya tumbo..kama tumbo lake litajaa gesi ni lazima hali hiyo itokee hasa kwa vyakula vyetu vya kibongobongo ni vyema mkaenda hospitali kujua tatizo liko wapi..?...mtunzie heshima mkeo jamani....
Ahsanteh mkuu kwa ushauri mzuri
 
...hahahaha nimependa avatar yako duh!
Lakini mbona kwa muda mfupi sana na kwa tatizo dogo sana umeshasahau kiapo chenu mlichokula cha kuvumiliana kwa shida na raha??? Ulipomuoa hakuwa hivyo, kwa nini usiamini kuwa hilo ni tatizo na unapaswa kulivumilia???

Mwisho, mke mpe heshima yake bana!! Asipojiachia kwako akajiachie kwa nani tena, ulipaswa kumtania na kucheka pamoja akijamba badala ya kumfokea na kununiana bana!!
 
Mmh... Nnavyojua, hewa nzito haiwezi toka tu bila sababu!

Kuna baadhi ya vyakula kama ulaji wa maharage, chipsi yai sana, mayai kwa sana (ofcourse tunashauriwa tutumie yai moja tu kwa wiki! Mengineyo ni uchafu tu!)

kaka mshauri mkeo asiwe anakula kupita kiasi, hii inaweza sababisha tumbo kujaa gesi hivyo kupeleka hewa nzito kutoka tumboni na kuleta mtafaruku!

Kuwa wa kwanza kubadilika!!!
 
Izo ni siri ambazo azifai ata kusimlia jaman unaomba ushauri kwa kumuanika mkeo kabisa! Duh
Kuvunjika kwa ndoa kunaanzia mbali sana mkuu. Tunashukuru kuna MMU JF tunaweza kusaidiana bila kufahamika na ukaokoa ndoa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom