Uji kuna wakati we ni mtu mwokovu kabisa, wakati mwingine msaidizi mwaminifu wa saitaniMpe muda, usimuombe gemu kwa miezi kadhaa, tafuta kiburudisho nje cup, yeee mwenyewe ataomba poo
Kila mgonjwa anatibiwa kwa kadiri ya ugonjwa wake. Hamna dawa moja inayotibu magonjwa yote.Uji kuna wakati we ni mtu mwokovu kabisa, wakati mwingine msaidizi mwaminifu wa saitani
namba 1 sawa, hizo nyingine hapana.1.Mpeleke hospital mkapime magonjwa kama kina Fangus,PID,STDs
2.Jitahidini katika maandalizi
3.Punguzeni kusex,peaneni nafasi ya kumisiana....sio kila siku lazima mfanye
Kumbe upo!1.Mpeleke hospital mkapime magonjwa kama kina Fangus,PID,STDs
2.Jitahidini katika maandalizi
3.Punguzeni kusex,peaneni nafasi ya kumisiana....sio kila siku lazima mfanye
namba 1 sawa, hizo nyingine hapana.
Mandalizi huku unasdaiwa kodi ya nyumba, watoto shule, umeme na hela ya taka?