Mke wangu analalamika sana kuchoka nikitaka Tendo la Ndoa

Mke wangu analalamika sana kuchoka nikitaka Tendo la Ndoa

tumeambiwa tuishi nao kwa akili vumila mpotezee kabisa kama wiki tatu au mwezi bila kugusia hiyo maada, atakuja kustuka huyu jamaa atakuwa anapewa mahali hivyo atajileta mwenyewe utakuta ataanza kulala bila nguo usiku na kukuangushia miguu kama siyo mikono,kisha unamalizia
 
1.Mpeleke hospital mkapime magonjwa kama kina Fangus,PID,STDs
2.Jitahidini katika maandalizi
3.Punguzeni kusex,peaneni nafasi ya kumisiana....sio kila siku lazima mfanye
Namba 3 aifanyie kazi mwezi huu.
Inaonekana mke hana hisia nae tena.
 
Jaribu kufanya yafuatayo:
1:Muulize kwa upole ni eneo gani anaumia, ondoa hasira na jibu atakalokupa jiulize inawezekana haumuandai vizuri au ana ugonjwa hivo mpeleke hospitali mkasaidike.
2: Endapo la kwanza bado halitakuwa na ufumbuzi kabisa, basi anza kujikagua wewe mwenyewe yawezekana ulimkwaza na hana namna ya kufanya, tafuta suluhu ili dukuduku alilo nalo liishe muendelee kufurahia maisha.
3: Baada ya yote 1 & 2 kutoleta furaha ya ndoa, anza kufuatilia nyendo zake kwa upole kama hua na werevu kama nyoka.
" NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE NA MALAZI YAWE SAFI"
 
Pole sana kamanda, kwa hakika hii tabia ipo baadhi ni kwa sababu anachepuka na ana options 3+ tofauti na wewe, kama michepuko imekuzidi matumizi, au wana usafiri na wewe huna, umeyumba kiuchumi, angalia kati yenu nani anabaki sana sebuleni wakati mwingine kalala, na wakati huo simu anayo?,na je ana kawaida kulala sebuleni baada ya wewe kulala chumbani na kuja chumbani 2+ hours, na je huwa anamstua mwenzake? mnalala na mtoto mdogo chumbani au ninyi tu na je ananyonyesha au? je ana record yoyote ya kuwasiliana na ma ex wake na je ni sehemu ya ugomvi baina yenu? kwa mtazamo nani mwenye upendo zaidi kati yenu? hukumpata kwa shobo za kifedha na kisharo? je una uhuru na simu yake au ni taasisi huru yenye password? Mwanamke mchepukaji ukimsusa shoo hababaiki na atapiga shoo huko kama kaolewa na atajibrand hajaolewa, na atakuwa na options za kutosha. Narudia tena pole sana sana, na kisingizio cha kuhusu hisia kisa ugomvi wa nyuma hakitakosa, maandalizi kwa mchepukaji sio ishu, je una udhaifu wa kususa mkigombana? je unazifahamu style ambazo ni mzuka kwake? Je anakawaida ya kutoka home bila ruhusa na taarifa na asiseme Kama alitoka? je unadhani tangu kitambo ana aidha kiburi, jeuri, dharau? anachangia kuingiza kipato chochote? Nutritional eating habits zake zikoje? ni mwepesi wa kuoga at least twice a day?, ana kawaida ya kulala mchana au yeye kutwa tv? Na je kwa nyakati hizi kiuchumi kamanda hujayumba? taswira juu ya uaminifu wa mkeo tangu uchumba hadi Leo ikoje? una cases ngapi za kuhisi na za uhakika juu ya kukosa uaminifu? mshakuwa na ugomvi au kushtakiana popote na suluhu zimekuwa za taswira gani? Nguzo yenu katika Imani ikoje katika kumwabudu Mungu? Verylow.Low.midlow.average.midhigh.high.very high

Hili gazeti si kwa ajili yako bali mimi, wewe, wengineo, na jamii kwa ujumla kwa maana wake na waume viraka ni wengi kuliko walio ubavu kama ipasavyo katika Mungu.
 
Kwani huna mambo mengine ya kufanya hadi muda wote unawaza kulala kwenye mwili wa mwenzako ?
 
Kama haichoshi kwanini mnatafuta dawa za kuongeza nguvu? Mwelewe na mwenzako mkuu, jaribu kuchunguza tatizo likowapi.

Hawa wenzetu kitu kidogo kinaweza kuharibu hisia na kupunguza uhitaji wa hiyo huduma kabisa.
 
Pole sana kamanda, kwa hakika hii tabia ipo baadhi ni kwa sababu anachepuka na ana options 3+ tofauti na wewe, kama michepuko imekuzidi matumizi, au wana usafiri na wewe huna, umeyumba kiuchumi, angalia kati yenu nani anabaki sana sebuleni wakati mwingine kalala, na wakati huo simu anayo?,na je ana kawaida kulala sebuleni baada ya wewe kulala chumbani na kuja chumbani 2+ hours, na je huwa anamstua mwenzake? mnalala na mtoto mdogo chumbani au ninyi tu na je ananyonyesha au? je ana record yoyote ya kuwasiliana na ma ex wake na je ni sehemu ya ugomvi baina yenu? kwa mtazamo nani mwenye upendo zaidi kati yenu? hukumpata kwa shobo za kifedha na kisharo? je una uhuru na simu yake au ni taasisi huru yenye password? Mwanamke mchepukaji ukimsusa shoo hababaiki na atapiga shoo huko kama kaolewa na atajibrand hajaolewa, na atakuwa na options za kutosha. Narudia tena pole sana sana, na kisingizio cha kuhusu hisia kisa ugomvi wa nyuma hakitakosa, maandalizi kwa mchepukaji sio ishu, je una udhaifu wa kususa mkigombana? je unazifahamu style ambazo ni mzuka kwake? Je anakawaida ya kutoka home bila ruhusa na taarifa na asiseme Kama alitoka? je unadhani tangu kitambo ana aidha kiburi, jeuri, dharau? anachangia kuingiza kipato chochote? Nutritional eating habits zake zikoje? ni mwepesi wa kuoga at least twice a day?, ana kawaida ya kulala mchana au yeye kutwa tv? Na je kwa nyakati hizi kiuchumi kamanda hujayumba? taswira juu ya uaminifu wa mkeo tangu uchumba hadi Leo ikoje? una cases ngapi za kuhisi na za uhakika juu ya kukosa uaminifu? mshakuwa na ugomvi au kushtakiana popote na suluhu zimekuwa za taswira gani? Nguzo yenu katika Imani ikoje katika kumwabudu Mungu? Verylow.Low.midlow.average.midhigh.high.very high

Hili gazeti si kwa ajili yako bali mimi, wewe, wengineo, na jamii kwa ujumla kwa maana wake na waume viraka ni wengi kuliko walio ubavu kama ipasavyo katika Mungu.
Aaaah nimekubali, nadhani akiyafanyia kazi yote haya atapata majibu kabisa, big YES
 
Fanya uchunguzi ujue shida ni nini.Yawezekana mna mtoto Mdogo Kwa hiyo akili yake yote kaielekeza Kwa mtoto,haumkuni vya kutosha,nyumba imejaa ndugu wengi kiasi kwamba hawi free nyumbani kwake.Lastly labda ana mwingingine.
 
Mkuu tafuta mwanamke awe mke wako..sio mke wetu.....kuna mtu anapakuwa mzigo wako,,,
Wakuu naomba kujua,

Mke wangu hana ushirikiano kabisa kwenye tendo la ndoa na pia mara nyingi hana uhitaji nalo yaaani mimi ndio muhitaji na ukitaka lazima awake sababu mara kachoka au hayuko sawa, na hata akikupa analalamika kuumia anadai umalize.

Je, kuna shida au anachepuka nje?
 
Ndo zao.. Usipowaomba hata wiki nao wanauchuna.

Jiongeze.
 
Sitaki kuungana na wale wanaosema kazi imekushinda na kuna anae kusaidia,ila napoelekea naona kama naweza kuungana nao.
 
Back
Top Bottom