Mke wangu anamtesa sana mtoto wa marehemu dada yangu

Mke wangu anamtesa sana mtoto wa marehemu dada yangu

mambo ya binadamu baadhi wanaoitwa wanawake yanatia hasira na kukaraisha sana

mkuu cha kufanya mpeleke huyo mtoto boarding school na huko shuleni uwaweke wazi madhila akiyopitia huyo mtoto ili waweze kumrudisha katika hali ya kawaida ya kujiona kama watoto wengine, wakati wa likizo aje kwako muda ambao upo upo home kama hautakuwa na huo muda awe anakaa kwa ndugu zako ambapo una uhakika hatateswa.

hao ndugu wa mwanamke wote fukuza warudi kwao, na yeye akitaka kuondoka mwambie aondoke.

nimeshuhudia mtoto anatoka namba moja darasan mpaka wa mwishoni mwishoni huko kisa kunyanyaswa na kubaguliwa baada ya wazazi wake kufariki.
Mtoto wa miaka minane hafai kukaa boarding.

Amandla...
 
Ongea na mkeo umuulize mtoto ana shida naye gani labda Kama ana muona jeuri na Kama kuna changamoto nyengine muitatue
Na umsisitize awe na upendo kwa huyo mtoto,inawezekana akabadilisha tabia yake
Ila ikishindikana chagua kumpa likizo mke au kumuhamisha mtoto
Roho mbaya haiwezi badirika kwa kukaa kuiongelea hapo atakuwa aamempatia nafasi ya kubadiri mbinu za kumtesa huyo mtoto. Dawa hapo ni kumtengenisha huyo mtoto na mke wake kwa kumfukuza mke wake au kumtaftia makazi mapya mtoto
 
Je, Una uhakika kwamba hiki ulichoandika hapa kina ukweli au ni hadithi ya kutunga ili kufurahisha genge??
Kwamba unataka kusema visa kama hivi havitokei kwenye jamii yetu au?

Kama una bisha niambie uko wapi nikuonesha mwanamke aliyempiga na flypan mtoto wa dada wa mume wake mpaka sikio likakatika.
 
Nilitegemea hadi muda huu huyo mke wako angekuwa na kesi mahakamani.

Mliwezaje kupata matibabu bila PF3 au na wewe ulidanganya hospital?

Mchukulie hatua za kisheria huyo ni mhalifu. Ungekuwa wewe umefanya hivyo asingekuacha uraiani.
 
Tatizo nyie bluepilled men huwa mnaamini eti wake zenu huwa wanawapenda sana ndugu zenu kama vile ambavyo wewe unawapenda na kuwajali sana.ndugu zake.

Msichokijua ni kwamba hakuna binadamu ambao mwanamke huwa anawachukia kama ndugu wa mume wake na tena muda mwingi anakuwaga hana hata sababu ya msingi za kuwachukia ila kutokana na zile negative stori anazoskia kutoka kwa mashoga zake kuhusu mawifi na wakwe kwa ujumla ndio kunamtengenezea strong aggression dhidi ya ndugu wa mume na hivyo upelekea yeye kuishi kwa kujihami na kuwachukia ndugu wote wa mume mpaka watoto wadogo.

Kwa kesi yako wewe mleta mada kwa hapo ulipofikia sululisho pekee ni kuachana kabisa na huyo mke wako, maana mpaka hapo tayari ameshatengeneza uadui na ukoo wako kwa kumtesa huyo mtoto mdogo..... sasa unaendeleaje kuishi na mwanamke ambaye hata yeye mwenyewe anajua kwamba ni adui wa ukoo wako?
 
Hiyo mbwa ungeibetua kwanza yaan wakati unampeleka mjomba hosptal naye ungempleka akatibiwe yaaan unipigie mjomba wangu kizembe zembe tunamalizana ...Baadhi ya wanawake wanaroho mbayaa sana hapa kitaa hapa kuna jamaaa aliachana na mkewe akachukua single maza moja hivi mshikaji nae ana mtoto mmoja na huyu mtoto ndo mama yake na huyu mwamba walipambana wakajenga mji.Single maza kaja na mwanae lakini cha ajabu alikua anamtesa mtoto wa mwanaume ile mbaya ila mwanae anaishi nae poa tu.Ajabu mshikaji kakolea hasikii haoni ndugu wameamua kumchukua mtoto yy kabaki analea ile malaya na mtoto ambaye sio dam yake ajabu sana hii.
upuuzi huu, kuna nati haziko sawa
 
Nilitegemea hadi muda huu huyo mke wako angekuwa na kesi mahakamani.

Mliwezaje kupata matibabu bila PF3 au na wewe ulidanganya hospital?

Mchukulie hatua za kisheria huyo ni mhalifu. Ungekuwa wewe umefanya hivyo asingekuacha uraiani.
Kabisa huyo ni anastahili kufunguliwa kesi kama child abuser

Tena hii itakuwa ndio njia rahisi ya kuachana nae, maana huyo mwanamke akitoka hapa atakuwa na hasira sana na yeye kitu kitakachopelekea kutoendelea na hiyo ndoa.
 
Mwanaume unatakiwa kua na authority kwako, mi siwezi kukaa na mwanamke eti kitu kidogo anatishia aende kwao, ungemuacha aende huko na usimfate mpaka arudi mwenyewe, la sivyo ashajua udhaifu wako, Kila mkigombana atakua anatishia kwenda kwao


Kuhusu huyo mtoto, kama Kuna ndugu mwingine anaweza kukaa nae basi fanya mpango huo wewe ugharamikie Kila kitu kwa makubaliano kabisa, kuanzia mavazi,elimu,chakula,matibabu etc... Mtoto kukaa sehemu anaponyanyaswa huathirika physiological.... Mnamletea shida tu za badae huyo mtoto



Hilo lishemeji ulilitoa wapi?
Ushauri mzuri sana
 
wewe ni msukuma na mkeo mweupe?
acha kua mjinga. hakuna mke hapo unakaa na lijambazi. na lijambazi sharti kuliua.
Kwanini kila jambo la kipuuzi lazima mlihusishe na msukuma?

Kwani hao wanaume kutoka jamii zingine hawawezi kuwa wajinga na dhaifu kwa wanawake hivi?

Na una uhakika ni wanaume wa kisukuma pekee tu ndio wanawapenda hao wanawake weupe??
 
Huyo mke wako ndio kiongozi wa familia? Mpaka Sasa hujachukua hatua unamwogopa? Kama huwezi kumsimamia huyo mtoto, nani atafanya? Angewnda kwako tu, huyo ni kiuaji. Hilo tofali subiri la kwako na wewe ukichokwa utandikwe tofali ukalale mbele
 
Mwanaume unatakiwa kua na authority kwako, mi siwezi kukaa na mwanamke eti kitu kidogo anatishia aende kwao, ungemuacha aende huko na usimfate mpaka arudi mwenyewe, la sivyo ashajua udhaifu wako, Kila mkigombana atakua anatishia kwenda kwao


Kuhusu huyo mtoto, kama Kuna ndugu mwingine anaweza kukaa nae basi fanya mpango huo wewe ugharamikie Kila kitu kwa makubaliano kabisa, kuanzia mavazi,elimu,chakula,matibabu etc... Mtoto kukaa sehemu anaponyanyaswa huathirika physiological.... Mnamletea shida tu za badae huyo mtoto



Hilo lishemeji ulilitoa wapi?
hilo limwanamke ningeligonga si mchezo kama nkusepa lisepe baadhi ya wanawake wana roho mbaya mno..

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom