Yule mama alikuwa mnene mno! Ndio mwalimu mkuu wa kwanza kumuona akiwa hajui kiingerezaJana nilikuwa nyakato, naambiwa Kamani amefariki.
Tulikuwa na kiwanja opposite na mwalimu Abbas mzee akakataa kuendelea kupajenga sababu ya wingi wa lodges akapauza.Sure. Pia mtaa una Guest nying kinoma. Hata mleta thread inaonesha hana hela. Hivyo huduma nyingi za familia yake zinatoka kwa mke.