Mke wangu ananiita honey kwa sauti mbele ya ndugu zangu na Mama mzazi

Na hapo ndio mtihani. Yaani niwe na kibarua cha kutafakari kwanza niko wapi ili nijue mume wangu nimuiteje?!!
Je fikiria ndiyo mngekua na zile salamu za kizungu za kupigana mabusu hadharani Kama Mimi na my wife wangu angesemaje!?
 
Ndiyo maana wanagongewa wake zao kwa vitu vidogo vidogo sana, ambavyo wakiaamua wanaweza kuvi master!!
Mwanamke kugongwa ni hulka yeke, hata kule vijijini ni wachafu na hawana mbele au nyuma pia wanagongwa sebuse hapa mjini
 
njoo hapa tarime tukufundishe tuition ni nini ufanye
ili asikuchezee huyo
 
Yeye sio mtu mzima lazima ajue mazingira tuliopo, niko hospitalia tunauguza baba mzazi unaanza kuniita kwa saut my sweetheart [emoji813] wodi yote inasikia loh
Sasa shida nn? Khaaaaah
 
Sio poa
 
Tatizo sisi wabantu.
 
Hujui unataka nn kwahyo mtu kukuonyesha upendo imekua keroo? Hata mtume alisema tuitane majina mazuri mazuri ya kimahaba kama laaziz,mahabuba na mengine mengi mazuri hivo tulia baba mtuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…