Mke wangu ananiita honey kwa sauti mbele ya ndugu zangu na Mama mzazi

Mke wangu ananiita honey kwa sauti mbele ya ndugu zangu na Mama mzazi

Ndgu zanguni wa jf baadhi mtaniwia radhi wale ambao hawa tapendezwa na huluka yangu hi.

Nimeka na mke wangu sasa takribani miaka 11 baada ya ndoa ya kwanza kushindikana, huyu mke wangu nyumbani huniita hny jina ambalo na lichukulia kua la utani na upendo na c mind sana namimi humiita my......sasa majuzi tulienda nyumbani kijijini ku hani pia na tulikua na kikao cha kujuana kama wana ukoo, ni mara yake ya kwanza kuenda nae kijijini kwetu, ila jambo lilo ni kera kwa mke wangu ni kuni fuata fuata kila napo enda kuka na ndgu kupiga stori na asipo niona kuniita kwa sauti honieeee ndgu wote walikua kimya, kumsikiliza yeye hana mda wa kushangaaa au kushituka kabisa, kuna shangazi moja anae mfuata Baba angu kaniita na kuniuliza mwanangu ulibadili jina siku zote tunakujua unaitwa fulani au baba fulani mbona nasikia jina jipya?.......sikumpa jibu la moja kwa moja. ..... sio kutokua romantic nataka kumwambia mke wangu aache kuniita hivo mbele za watu hususani ndgu zangu na staki kumkatisha tamaa kwasabb ana niita kwa hisia kali (out of emotion) ila hajui kujicontrol kujua wapi pakuniitia hayo majina yake, naomba ushauri ni muanze je huyu mke wangu bila kumuathiri kihisia na kisaikolojia.
Nadhani jambo hili linategemeana na mazoea yenu, ivo ni ngumu kuacha kukuita ivo maana kazoea. Mimi nina miaka 7 kwenye ndoa tumezoea kuitana kwa majina yetu halisi.
 
Ndgu zanguni wa jf baadhi mtaniwia radhi wale ambao hawa tapendezwa na huluka yangu hi.

Nimeka na mke wangu sasa takribani miaka 11 baada ya ndoa ya kwanza kushindikana, huyu mke wangu nyumbani huniita hny jina ambalo na lichukulia kua la utani na upendo na c mind sana namimi humiita my......sasa majuzi tulienda nyumbani kijijini ku hani pia na tulikua na kikao cha kujuana kama wana ukoo, ni mara yake ya kwanza kuenda nae kijijini kwetu, ila jambo lilo ni kera kwa mke wangu ni kuni fuata fuata kila napo enda kuka na ndgu kupiga stori na asipo niona kuniita kwa sauti honieeee ndgu wote walikua kimya, kumsikiliza yeye hana mda wa kushangaaa au kushituka kabisa, kuna shangazi moja anae mfuata Baba angu kaniita na kuniuliza mwanangu ulibadili jina siku zote tunakujua unaitwa fulani au baba fulani mbona nasikia jina jipya?.......sikumpa jibu la moja kwa moja. ..... sio kutokua romantic nataka kumwambia mke wangu aache kuniita hivo mbele za watu hususani ndgu zangu na staki kumkatisha tamaa kwasabb ana niita kwa hisia kali (out of emotion) ila hajui kujicontrol kujua wapi pakuniitia hayo majina yake, naomba ushauri ni muanze je huyu mke wangu bila kumuathiri kihisia na kisaikolojia.
Mwanamke hafany jambo kijinga jinga tu...hapo anategwa mtu aingie kingi...hu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ww Mwenyewe binafsi huoni kama kuna shida yeyote kuitwa hivyo ukiwa mjini ila ni hapo kijijini ndio unaona tabu.

Uelewa wa watu wa kijiini na mjini ni tofauti,hasa kwa wazee ukijumlisha na mabadiliko ya kasi ya technolojia na utandawazi.

So inaonekana ww si mwanaume unaejisimamia,or unaejiongoza kwa kile unachokiamini kuwa ni sahihi bila kujali mitaZamo ya watu wengine.

Sifa ya mwanaume ni kujiamini,hata kama yuko wrong ila ana stand still huko baadae ndio itajulikana.

Sasa ww Uanaume wako unatia mashaka,unapenda kusikiliza sikiliza sana Maneno ya watu yakuongoze nn chakufanya na nn usifanye hata kama huoni shida yeyote ktk jambo hilo.

Kwa dalili hizi tegemea mkeo kuwa kichwa cha familia,or kuwa in charge wa familia kwamba kipi kifanyike na kipi kisifanyike mana atakusoma na atagundua kuwa ww sio MTU wa maamuzi.

By the way sio mbaya mana wanawake ndio wametake charge sasa wanaongoza nchi so ukae kwa kutulizana ili uongozwe kuanzia ngazi ya taifa hadi ya familia

Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom