Mke wangu ananikera anataka attention yangu kila saa

Mke wangu ananikera anataka attention yangu kila saa

Watu wengi wanafikiria huo ni upendo kumbe ni tatizo ka tatizo
Screenshot_20211017-154338_1.jpg
Screenshot_20211017-154338_1.jpg
Screenshot_20211017-154408_1.jpg
 
Hapana ctamuacha ila nataka kujua kama na wezangu wana experience haya ya kwangu,......kupata wife material sio rahisi mambo mengine ana yafanya poa, anapika vzri she is nice in bed so waterly though hawezi×3, ana mapezi na watoto ni msafi, nk ila hataki kunipa uhuru nyumbani nikifungua laptop anakasilika ni kika kimya anaaza kiniuuliza unawazaa nini? nikilala anagonga mlango paka nashituka yaani in short ana ni kera ineed my space
Mulwanaka wacha ujinga huo, huyo ni shetani anataka kukuachisha na family yako au pengine una mwanamke mwengine ndio maana unaona kero mambo yote hayo anayokufanyaia moja tu umeona kero yaani karatasi nyeupeee ina kidowa cheusi ktikati umeona hicho tu ule weupe wote hukuona hebu deka nae mwenzako n ww mdekezeee.
 
Mulwanaka wacha ujinga huo, huyo ni shetani anataka kukuachisha na family yako au pengine una mwanamke mwengine ndio maana unaona kero mambo yote hayo anayokufanyaia moja tu umeona kero yaani karatasi nyeupeee ina kidowa cheusi ktikati umeona hicho tu ule weupe wote hukuona hebu deka nae mwenzako n ww mdekezeee.
Duh mimi na mandevu yangu nianze kufanya madeko!!!!! Mkuu sawa unalo sema kumuacha sio rahisi kwasabb hiyo, sabb haitoshi kuacha mke ulio zaa nae sasa 11yrs, ila ni kiendekeza madeko ada ya watt itakosekana, chakula kizuri holiday, house mantainance ya tashindikana ku yamudu, yote na yafanya kwa kupanga mipango halal, sasa hicho kichwa ndo anacho vuruga anataka kila dakika awe kifuani kwangu. Hapana citaki ujinga huo kila saa. Angalau aniruhusi siku tano za kazi nifanya concentration then wkd sawa na mimi ntajitolea hizo siku mbili.
 
Mi nimeeelewa unachomiss mkuu,..unauhitaji huo upendo but pia unahitaji muda wako, wa kufanya mambo yako na kutafakari vitu vyako binafsi....
Uhuru itakua ngumu kuupata kama wanavyosema, marriage means halving your freedom and doubling your responsibilities...
But njia nzuri ya atleast kupunguza hzo mambo nnafikiri ni kumpa majukumu yake...awe busy, in a meaningful way,
 
Hivi na nyie wake zenu wanapenda attention kama huyu wa kwangu, ana nikera sanaa, sijui nifanye je nime dumu nae takribani miaka 11, huu ni wa 12 lakini bado iko vile vile nilidhani ataacha akikua ila duh iko vile vile, kwa siku anaweza akakupigia simu mara kumi usipo pokea ataendelea kubipu paka utakavo mpigia, na ukimpigia na kumuuliza kuna jimpya anasema hamna na kusalimia tu, weekend hamna ku concentrate au ku-compose ili upange mishe zako za j3.

Sio kwamba anapenda yale mambo mengine mnayo fikiria hayo anashibishwa kweli kweli ila bado anataka awe karibu nami kila moment, au kila wakati, kupumzika huwezi ikienda chumbani huyu hapo ukija sebuleni anakulalia arafu ni bonge ukimwambia unaniumiza anasema kumbe unipendi na wewe sio ramantic duh, akikutumia sms atatuma taarifa nusu paka umtumie sms zingine zaidi ya mbili kupata taarifa kamiri.......na kumuacha siwezi hiyo sio sabb ya kuacha mke wa watt wako, ila ni kero kweli kweli.
Mkemee shetani ndugu yangu. Unapendwa halafu unahisi usumbufu kna kero duh!!
Mkemee shetani
 
Hapana ana nikera sanaa kama a anapenda atafute fashioni nyingine yakunipenda sio kua mateka wake,.......
Broo mwenyez hua anasikia kilio cha mtu na kukifanyia kazi,,iko Siku atapata jobless boy with six park atakua anafanya kazi ya kumbebisha tuu alaf utakuja hapa tena kulia lia.

Mshukuru Mungu songa mbele acha zako
 
Broo mwenyez hua anasikia kilio cha mtu na kukifanyia kazi,,iko Siku atapata jobless boy with six park atakua anafanya kazi ya kumbebisha tuu alaf utakuja hapa tena kulia lia.

Mshukuru Mungu songa mbele acha zako
Maisha ni huru free lifestyle yeye ni mtu mzima kama anaona hilo linalipa kuliko ndoa poa tu......mie nta move on tu
 
Back
Top Bottom