Mke wangu ananikera anataka attention yangu kila saa

Mke wangu ananikera anataka attention yangu kila saa

Umenikumbsha mbali sana! Syo mke alikuwa tu Dem tu na alikuwa kibonge bakaaa
Yeye kila muda alikuwa ananipigia simu na kutuma sms yaan anaweka dakika zaidi ya 500 au ata buku alafu anatak zote aongee na mm aiseee me niliuza mpaka simu
 
Anachoka sanaa ana kilo 95 za uzito ukienda mara mbili kwa siku atashindwa kufanya kazi zingine nyumbani mwili unapata ngazi
Ni wajibu wako pia kumsimamia apungue chief.. kwa maana uzito mkubwa si mzuri pia kwa afya
 
Ni wajibu wako pia kumsimamia apungue chief.. kwa maana uzito mkubwa si mzuri pia kwa afya
Nime msimamie sanaa apungue ila nikaona ikaanza kuleta ugomvi nakaona Isie shida nikamuacha after all napata kila kitu kwake.
 
Hivi na nyie wake zenu wanapenda attention kama huyu wa kwangu, ana nikera sanaa, sijui nifanye je nime dumu nae takribani miaka 11, huu ni wa 12 lakini bado iko vile vile nilidhani ataacha akikua ila duh iko vile vile, kwa siku anaweza akakupigia simu mara kumi usipo pokea ataendelea kubipu paka utakavo mpigia, na ukimpigia na kumuuliza kuna jimpya anasema hamna na kusalimia tu, weekend hamna ku concentrate au ku-compose ili upange mishe zako za j3.

Sio kwamba anapenda yale mambo mengine mnayo fikiria hayo anashibishwa kweli kweli ila bado anataka awe karibu nami kila moment, au kila wakati, kupumzika huwezi ikienda chumbani huyu hapo ukija sebuleni anakulalia arafu ni bonge ukimwambia unaniumiza anasema kumbe unipendi na wewe sio ramantic duh, akikutumia sms atatuma taarifa nusu paka umtumie sms zingine zaidi ya mbili kupata taarifa kamiri.......na kumuacha siwezi hiyo sio sabb ya kuacha mke wa watt wako, ila ni kero kweli kweli.
Wewe ndiyo mwenye tatizo mkuu.yaani inabidi uombe msaada wa kisaidiwa kujielewa haraka.unajua hivyo ndivyo inavyotakiwa mke awe.mke siku zote anatakiwa kuwa kama mtoto.yaani anakuwa haeleweki hivi.Wanawake wa type yako wako wachache sana hasa hapa Tanzania.Akitokea mtu wa kumpa hiyo attention utarudi humu na kilio kingine mkuu.Mshukuru sana Mungu kukupa mke mwaminifu katika ndoa yake
 
Wewe ndiyo mwenye tatizo mkuu.yaani inabidi uombe msaada wa kisaidiwa kujielewa haraka.unajua hivyo ndivyo inavyotakiwa mke awe.mke siku zote anatakiwa kuwa kama mtoto.yaani anakuwa haeleweki hivi.Wanawake wa type yako wako wachache sana hasa hapa Tanzania.Akitokea mtu wa kumpa hiyo attention utarudi humu na kilio kingine mkuu.Mshukuru sana Mungu kukupa mke mwaminifu katika ndoa yake
Sawa ila wewe hutaki kuelewa kero yangu, kwani asipo toka nje anasadia mimi au inasaidie yeye athubutu tu nimgundue, ata watoto namuachia naanza upya tena sinaga huruma na ujinga huo.
 
Umenikumbsha mbali sana! Syo mke alikuwa tu Dem tu na alikuwa kibonge bakaaa
Yeye kila muda alikuwa ananipigia simu na kutuma sms yaan anaweka dakika zaidi ya 500 au ata buku alafu anatak zote aongee na mm aiseee me niliuza mpaka simu
Huo ulikua usumbufu sasa...pole sana
 
Kazi za kufanya nizitoe wapi zaidi ya kupika na kupakua ana dip ila hataki kwaajiriwa anasema ameridhika kuka home
Hapa ndipo tatizo lilipoanzia, angekuwa busy na kazi asingepata muda wa kukuganda Kama unavosema, jaribu kumtafutia kazi ama shughuli ya kufanya ili imkeep busy at least atapunguza kukuganda
 
Mkuu nilisha wahi kutenga chumba nikajifungia yule mwana mke (mke wangu) alipiga mlango kwa funjo kama masaa mawili ikawa kero zaidi nikafungua na hasira nikaomba mungu anisimamie nisi mudhuru,.....nikamuuliza nini unapiga mlago kama kichaa akanijibu nilifikiri umefia ndani nikaacha tu ckumjibu nikampigia mama angu simu kupoteza hasira, nasikumueleza hilo tukio
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwenye ndoa Kuna Mambo! Et unagonga mlango Kama kichaa. Kaka pole, Ila huyo dada Kama unasema Hana kazi, trust me mtafutie kazi akirudi home amechoka hatokusumbua tena
 
Hivi na nyie wake zenu wanapenda attention kama huyu wa kwangu, ana nikera sanaa, sijui nifanye je nime dumu nae takribani miaka 11, huu ni wa 12 lakini bado iko vile vile nilidhani ataacha akikua ila duh iko vile vile, kwa siku anaweza akakupigia simu mara kumi usipo pokea ataendelea kubipu paka utakavo mpigia, na ukimpigia na kumuuliza kuna jimpya anasema hamna na kusalimia tu, weekend hamna ku concentrate au ku-compose ili upange mishe zako za j3.

Sio kwamba anapenda yale mambo mengine mnayo fikiria hayo anashibishwa kweli kweli ila bado anataka awe karibu nami kila moment, au kila wakati, kupumzika huwezi ikienda chumbani huyu hapo ukija sebuleni anakulalia arafu ni bonge ukimwambia unaniumiza anasema kumbe unipendi na wewe sio ramantic duh, akikutumia sms atatuma taarifa nusu paka umtumie sms zingine zaidi ya mbili kupata taarifa kamiri.......na kumuacha siwezi hiyo sio sabb ya kuacha mke wa watt wako, ila ni kero kweli kweli.
Anakulinda sababu amegundua kuwa wewe ni kicheche
 
Hivi na nyie wake zenu wanapenda attention kama huyu wa kwangu, ana nikera sanaa, sijui nifanye je nime dumu nae takribani miaka 11, huu ni wa 12 lakini bado iko vile vile nilidhani ataacha akikua ila duh iko vile vile, kwa siku anaweza akakupigia simu mara kumi usipo pokea ataendelea kubipu paka utakavo mpigia, na ukimpigia na kumuuliza kuna jimpya anasema hamna na kusalimia tu, weekend hamna ku concentrate au ku-compose ili upange mishe zako za j3.

Sio kwamba anapenda yale mambo mengine mnayo fikiria hayo anashibishwa kweli kweli ila bado anataka awe karibu nami kila moment, au kila wakati, kupumzika huwezi ikienda chumbani huyu hapo ukija sebuleni anakulalia arafu ni bonge ukimwambia unaniumiza anasema kumbe unipendi na wewe sio ramantic duh, akikutumia sms atatuma taarifa nusu paka umtumie sms zingine zaidi ya mbili kupata taarifa kamiri.......na kumuacha siwezi hiyo sio sabb ya kuacha mke wa watt wako, ila ni kero kweli kweli.
Hutaki au
 
Umepata mke mwema sana. Piga magoti hapo ulipo na umshukuru Mungu. Ukisikia wenzio mambo wanayopambana nayo huko kwenye ndoa nadhani ungewaomba mods tu waufute uzi huu.

[emoji3591][emoji3591][emoji3591] Kimsingi wanawake wote wanapenda attention sema tu wengi wamejikatia tamaa kwa sababu ya waume zao kutojali. Na wanawake wengi walio katika ndoa wanachapwa nje sana siyo kwa ajili ya pesa bali kwa kupewa attention tu, kusikilizwa, kujaliwa na kuheshimiwa.

Narudia tena: wewe umepata mke mwema na anayekujali na kukupenda. Mhakikishie tu kuwa unampenda sana na kwamba upo kwa ajili yake mpaka kifo. Vizawadi vidogo vidogo na ukipata mwanya huko kazini mpigie...hata kama ni kusema tu "Niko mkutanoni lakini nilitaka tu kukukumbusha kuwa nakupenda sana mke wangu" na kukata simu inatosha. Na siku hiyo kama una kahela mkononi mchukulie kakitafunwa kake akapendako...hata kama ni kipande cha nanasi au chips (ili azidi kuwa bonge zaidi [emoji16][emoji16][emoji16]). Ndoa zinahitaji kazi na una bahati huyo wa kwako angalau unajua anachohitaji ili kuwa na furaha. Wengine (hasa vimbaumbau) ni minuno tu na ghubu kwa kwenda mbele hata tatizo hulijui.

Akiona kuwa unamjali sana; na akawa na uhakika kuwa penzi lako kwake halijapungua; na kwamba huna wengine huko nje hata ukimwambia kuwa waifu leo naomba privacy kidogo nifanye hiki...na kibusu kidogo ukampa au ukamparaza kikofi chokonozi cha takoni - atakuelewa tu...na ukipata mwanya na wakati sahihi unaweza kuongea naye tu kwa ustaarabu kuhusu nawe kuwa na privacy yako sometimes. Atakuelewa...labda awe na matatizo mengine ya kisaikolojia.

Take care of that marriage my man. That's your duty na ukishindwa mabaharia watakusaidia...na wanajua kutoa attention na ku-care hao usiombe....Usiwape hiyo nafasi maadam unajua weakness ya mkeo!
You have said it all [emoji95]
 
Hapa ndipo tatizo lilipoanzia, angekuwa busy na kazi asingepata muda wa kukuganda Kama unavosema, jaribu kumtafutia kazi ama shughuli ya kufanya ili imkeep busy at least atapunguza kukuganda
Kweli mkuu ila mke wangu ni mvivu sijui kwasabb ya mwili au ndo jinsi alivo zaliwa,......nyumbani kuna cherehani ila hakitumii wakati ana ujuzi wa ufundi
 
Hizo ndo really character of good woman my bro mpe nawe attention ya kutosha coz people suffer to much uko outside
 
Hizo ndo really character of good woman my bro mpe nawe attention ya kutosha coz people suffer to much uko outside
Attention nilisha na nampa ya kutosha ila anahitaji zaidi na zaidi, kwani unataka nisifanye kazi au kupanga ya kesho tutakula nini?
 
Back
Top Bottom