Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dharau mwikoKutoka hakuepukiki kwa mtoto wa kiume, lkn kusiambatane Na dharau, kasumba, majungu, na kunyanyasana,
Kila jambo na wkt wake
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji4]anakupenda & anakujali .Mkuu nilisha wahi kutenga chumba nikajifungia yule mwana mke (mke wangu) alipiga mlango kwa funjo kama masaa mawili ikawa kero zaidi nikafungua na hasira nikaomba mungu anisimamie nisi mudhuru,.....nikamuuliza nini unapiga mlago kama kichaa akanijibu nilifikiri umefia ndani nikaacha tu ckumjibu nikampigia mama angu simu kupoteza hasira, nasikumueleza hilo tukio
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]My Pleasure BAK.Thank you [emoji1488] for your precious time. It’s always pleasure and enjoyable to have you around beautiful.
Eeh jamani hatimaye vibonge tumekumbukwa [emoji28][emoji28]Vibonge wengi wana roho nzuri na ndio maana wananenepa! Mungu anawabariki na afya tu sababu wana roho nzuri sana ila wale vimbau mbau wengi wanafiki na roho ya kwanini ndio maana hawanenepi hata wakinywa mafuta ya kula kila siku litre 1!
Tabia kama hizo za mkeweAwe je?
Mbona kama ako desperate jaman!! Hii kali aisee! Nadhan pamoja na kuonesha upendo bado anahisi upweke mkubwa ndani ya moyo wake.Sawa ushauri mzuri mkuu ila najitahidi kumlizisha kwa kumpa attention ila ninapo mpa attention anazidi kuomba attetion nyingine zaidi, kuna kipindi nilatamani kumpiga kibao, kuna siku aliniamsha usuku wa manane niko deep a sleep eti amepata ndota anataka anisimlie usiku huo huo, nika muuliza kwani asbhi utakuepo basi subiria utanisimulia asbhi,.....akaanza kulalamika eti citaki kumsikiliza, simpendi nk, yaani mtu kama huyu utampa nini akupe privacy yako duh
Vipi na yeye anaelewa sms zako unavyochanganya R na L ? au mpaka utume sms nyingine.Hivi na nyie wake zenu wanapenda attention kama huyu wa kwangu, ana nikera sanaa, sijui nifanye je nime dumu nae takribani miaka 11, huu ni wa 12 lakini bado iko vile vile nilidhani ataacha akikua ila duh iko vile vile, kwa siku anaweza akakupigia simu mara kumi usipo pokea ataendelea kubipu paka utakavo mpigia, na ukimpigia na kumuuliza kuna jimpya anasema hamna na kusalimia tu, weekend hamna ku concentrate au ku-compose ili upange mishe zako za j3.
Sio kwamba anapenda yale mambo mengine mnayo fikiria hayo anashibishwa kweli kweli ila bado anataka awe karibu nami kila moment, au kila wakati, kupumzika huwezi ikienda chumbani huyu hapo ukija sebuleni anakulalia arafu ni bonge ukimwambia unaniumiza anasema kumbe unipendi na wewe sio ramantic duh, akikutumia sms atatuma taarifa nusu paka umtumie sms zingine zaidi ya mbili kupata taarifa kamiri.......na kumuacha siwezi hiyo sio sabb ya kuacha mke wa watt wako, ila ni kero kweli kweli.
Nakushauri umtafutie kazi ya kufanya ili imuweke busy kiasi. Nadhani anapata muda na nguvu za kufanya hayo yote kwakuwa mara nyingi anakuwa idle. Mtafutie sehemu atayotumia muda wake na energy anayotumia kukuletea usumbufuHivi na nyie wake zenu wanapenda attention kama huyu wa kwangu, ana nikera sanaa, sijui nifanye je nime dumu nae takribani miaka 11, huu ni wa 12 lakini bado iko vile vile nilidhani ataacha akikua ila duh iko vile vile, kwa siku anaweza akakupigia simu mara kumi usipo pokea ataendelea kubipu paka utakavo mpigia, na ukimpigia na kumuuliza kuna jimpya anasema hamna na kusalimia tu, weekend hamna ku concentrate au ku-compose ili upange mishe zako za j3.
Sio kwamba anapenda yale mambo mengine mnayo fikiria hayo anashibishwa kweli kweli ila bado anataka awe karibu nami kila moment, au kila wakati, kupumzika huwezi ikienda chumbani huyu hapo ukija sebuleni anakulalia arafu ni bonge ukimwambia unaniumiza anasema kumbe unipendi na wewe sio ramantic duh, akikutumia sms atatuma taarifa nusu paka umtumie sms zingine zaidi ya mbili kupata taarifa kamiri.......na kumuacha siwezi hiyo sio sabb ya kuacha mke wa watt wako, ila ni kero kweli kweli.
Ahsante kwa ushauri mzuri ntaifanyia kazi japo hataki kaziNakushauri umtafutie kazi ya kufanya ili imuweke busy kiasi. Nadhani anapata muda na nguvu za kufanya hayo yote kwakuwa mara nyingi anakuwa idle. Mtafutie sehemu atayotumia muda wake na energy anayotumia kukuletea usumbufu
Wanawake wote wa siku hizi wako hivyo. Kwanza hawafuatilii,wala hawataki kujua sana kazi unayofanya. Hawazingatii kuna muda unahitaji kupumzisha akili ili ujipange na mambo yako ya kazi. Wanachotaka wao wanataka uwape attention tu. Kila wakati umpigie pigie,umcheck check. Hawataki useme uko busyHivi na nyie wake zenu wanapenda attention kama huyu wa kwangu, ana nikera sanaa, sijui nifanye je nime dumu nae takribani miaka 11, huu ni wa 12 lakini bado iko vile vile nilidhani ataacha akikua ila duh iko vile vile, kwa siku anaweza akakupigia simu mara kumi usipo pokea ataendelea kubipu paka utakavo mpigia, na ukimpigia na kumuuliza kuna jimpya anasema hamna na kusalimia tu, weekend hamna ku concentrate au ku-compose ili upange mishe zako za j3.
Sio kwamba anapenda yale mambo mengine mnayo fikiria hayo anashibishwa kweli kweli ila bado anataka awe karibu nami kila moment, au kila wakati, kupumzika huwezi ikienda chumbani huyu hapo ukija sebuleni anakulalia arafu ni bonge ukimwambia unaniumiza anasema kumbe unipendi na wewe sio ramantic duh, akikutumia sms atatuma taarifa nusu paka umtumie sms zingine zaidi ya mbili kupata taarifa kamiri.......na kumuacha siwezi hiyo sio sabb ya kuacha mke wa watt wako, ila ni kero kweli kweli.
Mkuu hili ni tatizo ila watu wengi hawajaliona bado wanaona eti ni mahaba .Wanawake wote wa siku hizi wako hivyo. Kwanza hawafuatilii,wala hawataki kujua sana kazi unayofanya. Hawazingatii kuna muda unahitaji kupumzisha akili ili ujipange na mambo yako ya kazi. Wanachotaka wao wanataka uwape attention tu. Kila wakati umpigie pigie,umcheck check. Hawataki useme uko busy
Atume hela kwanza😂Aaah we! Mambo mazuri hayataki haraka.
Mahaba ya kizidi yanakua kero mtu unaenda chooni anakuchungulia eti mahaba i need my privacy back plz
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] nakubalWakati pekee Mwanaume hutaka kuwa karibu na mwanamke ni ule wakati wa kumchakata tu.
Sasa wakati unafikiria mambo ya maisha yeye anakuja kuning’inia shingoni!
Mkuu tenga kona yako hapo nyumbani, kochi au chumba kabisa. Ukiwa hapo weka sura ya mbuzi, Mjengee utamaduni kwamba ukikaa hapo asisogee karibu.
Hata wahenga walikuwa na “kiti cha baba”