Mke wangu ananilazimisha nimuombe msamaha mbele ya Kanisa

Mke wangu ananilazimisha nimuombe msamaha mbele ya Kanisa

Labda hatujamwelewa ,kanisani maana ya jengo au kanisani mbele ya waumini?
 
Wakuu nawasalimu,

Niko katika hali hii kwa sasa.

Ni kweli nilimkosea mke wangu. Nilifanya dhambi kama binadamu wengine wafanyavyo dhambi. Nimejutia kosa langu na nikaamua kumuomba msamaha mke wangu ili maisha yaendelee.

Jambo la kushangaza ni kuwa mke wangu huyu wa ujanani amekataa kunisamehe. ametoa mashariti kadhaa ili niweze kupata msamaha wake. Mashariti hayo ni haya.

1. Jumapili hii twende kanisani nikaombe msamaha mbele ya kanisa.

2. Turekodi mkanda wa video ili hata watu wengine ambao hawatakuwepo kanisani waweze kuona tukio hilo hapo badae.

3. Amesema pia nikiwa namuomba msahama mbele ya kanisa nimuite mama na wala siyo mke huku nikiwa nimepiga magoti.

Wakuu, nimefikiri sana swala hili. Nia hasa ya mke wangu ni nini. Hivi ndivyo msamaha unavyoobwa?

Nimejiuliza tena kwani atapungukiwa nini kama atanisamehe tukiwa wawili tu bila kamera?

Nilichopanga ni hiki , nataka kugoma kufanya kitendo hiki. Ninagoma kwa sababu nataka kulinda utu wangu. Kufanya dhambi au kumkosea mke wangu hakuondoi utu wangu hata kidogo.

Siko tayari kuuza utu wangu kwa gharama ya kulinda ndoa. Utu huwekwa na Mungu ndani ya mtu. Kuuza utu wako kwa mtu ni kumfanya mtu huyo kuchukua nafasi ya Mungu katika maisha yako. Siko tayari.

Msamaha una misingi yake. Moja ya misingi hiyo ni kulindiana heshima.Msahama ni upendo .Upendo haudhalilishi wengine.

Kama ndoa ni ndoano , basi ndoano hii haitaninasa.
Vijana wa siku hizi mmezidi udhaifu, mwanaume gani mpaka mkeo anafika kiwango hicho cha kutaka kukudhalilisha na bado haujamnyoosha regardless umefanya kosa la aina gani.
Be a man,muonyeshe uanaume wako. It should always be your way kama kweli wewe ni manaume principled, sijui umelelewaje mpaka unakuwa dhaifu kiasi hicho.
 
Wewe kama ulitembea na mwimba kwaya, au church elders mkafumaniwa kabisa na kanisa likajua basi ni haki kumuomba msamaha mbele ya kanisa na kurudi kundini[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].
Na bado.
Sio mwimba kwaya tu, watu wanatembea na kikosi kizima cha kwaya lakini hawakuwahi kuwaambia waume zao wawaombe msamaha kanisani tena mbele ya kamera..!! Yee kama kashindwa kuolewa aende zake.
 
Mbele ya kanisa ngumu labda kama nilishiriki dhambi na kanisa lote
Msimamo wako na uwe huo huo mkuu,

umeshamuomba msamaha yeye kama yeye, na bila shaka ulimkosea yeye kama yeye!
Sasa inakuaje tena ukaombe msamaha mbele ya kanisa?
Tena eti na mkanda wa video uchukuliwe.

Aise mliooa walokole kazi mnayo.
Mimi akinitamkia huo upuzi eti nikapige magoti mbele ya kanisa na huku narekodiwa, nitamnasa kibao huyo.
Kumuomba msamaha tu umempatia heshima, yake inatosha.
 
Kabisa siyo bure hivi kwanza mke tu anajisikiaje kumuona mumewe kapiga magoti mbele ya kanisa anamuomba msamaha kitu ambacho kingeweza kufanyika chumbani wakiwa wawili tu?? Nahisi hata kanisa litashangaa!!

I like this 100 times
 
Bila shaka ulichepuka , pole mkuu ila kuombana msamaha kanisani Nehi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bby na wewe jiandae ukinikosea unakuja kuandika uzi JF, unapost insta, unapost WhatsApp status, group zako zote za kwenye simu,kanisani, kwenye jumuiya na kazini kwetu.
Na uniite my angel sio mke wangu wala darling
Kwa wewe nipo tayari kwenda hata cnn mpenzi....agaa agaa agaa agaa umenitekaaaa
 
Mnaenda kufanya nini kanisani enzi hizi, huko ulaya walikowaanzishia hayo madini nowdays hawaendi kanisani wameona ujinga
 
Ningekuwa mimi angechezea makofi mengi sana, hata kama mimi ndio mwenye kosa.

Walokole mna shida sana
 
Wakuu nawasalimu,

Niko katika hali hii kwa sasa.

Ni kweli nilimkosea mke wangu. Nilifanya dhambi kama binadamu wengine wafanyavyo dhambi. Nimejutia kosa langu na nikaamua kumuomba msamaha mke wangu ili maisha yaendelee.

Jambo la kushangaza ni kuwa mke wangu huyu wa ujanani amekataa kunisamehe. ametoa mashariti kadhaa ili niweze kupata msamaha wake. Mashariti hayo ni haya.

1. Jumapili hii twende kanisani nikaombe msamaha mbele ya kanisa.

2. Turekodi mkanda wa video ili hata watu wengine ambao hawatakuwepo kanisani waweze kuona tukio hilo hapo badae.

3. Amesema pia nikiwa namuomba msahama mbele ya kanisa nimuite mama na wala siyo mke huku nikiwa nimepiga magoti.

Wakuu, nimefikiri sana swala hili. Nia hasa ya mke wangu ni nini. Hivi ndivyo msamaha unavyoobwa?

Nimejiuliza tena kwani atapungukiwa nini kama atanisamehe tukiwa wawili tu bila kamera?

Nilichopanga ni hiki , nataka kugoma kufanya kitendo hiki. Ninagoma kwa sababu nataka kulinda utu wangu. Kufanya dhambi au kumkosea mke wangu hakuondoi utu wangu hata kidogo.

Siko tayari kuuza utu wangu kwa gharama ya kulinda ndoa. Utu huwekwa na Mungu ndani ya mtu. Kuuza utu wako kwa mtu ni kumfanya mtu huyo kuchukua nafasi ya Mungu katika maisha yako. Siko tayari.

Msamaha una misingi yake. Moja ya misingi hiyo ni kulindiana heshima.Msahama ni upendo .Upendo haudhalilishi wengine.

Kama ndoa ni ndoano , basi ndoano hii haitaninasa.
Usisahau kuleta mrejesho baada ya jumapili bosi
 
Ndio shida ya kumwoa mwanamke mwenye kakipato chake.
Shit wife kama huyu ulimpata wapi?
 
Usiombe mwanamke msamaha hata siku moja kwa maneno....
Wanawake tunawaomba msamaha kwa vitendo...
Huyo mkeo anataka kukudhalilisha...
usikute ni mchungaji ndio ameshinikiza hayo mambo....
Kuwa makini....
Naunga hoja hapa aisee.

Ukishasikia habari kama hizi za kwenda kuomba msamaha kanisani, ujue kuna mtu nyuma ya mke wake.

Amuombe msamaha mke wake na amtafutie zawadi pia.

Asipomuelewa basi, hayo mengine ni kwenda kujiaibisha tu. Na atamuona fala wa karne.
 
Wakuu nawasalimu,
Niko katika hali hii kwa sasa.
Ni kweli nilimkosea mke wangu. Nilifanya dhambi kama binadamu wengine wafanyavyo dhambi. Nimejutia kosa langu na nikaamua kumuomba msamaha mke wangu ili maisha yaendelee.
Jambo la kushangaza ni kuwa mke wangu huyu wa ujanani amekataa kunisamehe. ametoa mashariti kadhaa ili niweze kupata msamaha wake. Mashariti hayo ni haya.
1. Jumapili hii twende kanisani nikaombe msamaha mbele ya kanisa.
2. Turekodi mkanda wa video ili hata watu wengine ambao hawatakuwepo kanisani waweze kuona tukio hilo hapo badae.
3. Amesema pia nikiwa namuomba msahama mbele ya kanisa nimuite mama na wala siyo mke huku nikiwa nimepiga magoti.
Wakuu, nimefikiri sana swala hili. Nia hasa ya mke wangu ni nini. Hivi ndivyo msamaha unavyoobwa?
Nimejiuliza tena kwani atapungukiwa nini kama atanisamehe tukiwa wawili tu bila kamera?
Nilichopanga ni hiki , nataka kugoma kufanya kitendo hiki. Ninagoma kwa sababu nataka kulinda utu wangu. Kufanya dhambi au kumkosea mke wangu hakuondoi utu wangu hata kidogo.
Siko tayari kuuza utu wangu kwa gharama ya kulinda ndoa. Utu huwekwa na Mungu ndani ya mtu. Kuuza utu wako kwa mtu ni kumfanya mtu huyo kuchukua nafasi ya Mungu katika maisha yako. Siko tayari.
Msamaha una misingi yake. Moja ya misingi hiyo ni kulindiana heshima.Msahama ni upendo .Upendo haudhalilishi wengine.
Kama ndoa ni ndoano , basi ndoano hii haitaninasa.
nahisi mimi simpendi mke wangu au labda hayajanikuta lakini siku akithubutu kuniambia hivi kama nilikosea hapo hapo namgeuzia kibano yeye ndio itabidi aniombe msamaha.
Kweli kwenye ndoa kuna wavulana na wanaume.
 
Hapo hamna ndoa,
Tafuta pesa kijana, ila usisahau kumsugua mkeo vzr mpaka aridhike. Ukikamilisha hayo, basi hutakuwa na shida na mwanamke wa aina yeyote hapa dunian
 
Back
Top Bottom