Mke wangu ananilazimisha nimuombe msamaha mbele ya Kanisa

Mke wangu ananilazimisha nimuombe msamaha mbele ya Kanisa

Inawezekana umeshamuomba sana msamaha na kosa linajirudia kila siku

Inawezekana usuluhishi wa matatizo yenu upo kanisani

Ukishindwa vunja ndoa endelea na mambo yako..

Uhuru ni jambo jema
 
Wakuu nawasalimu,

Niko katika hali hii kwa sasa.

Ni kweli nilimkosea mke wangu. Nilifanya dhambi kama binadamu wengine wafanyavyo dhambi. Nimejutia kosa langu na nikaamua kumuomba msamaha mke wangu ili maisha yaendelee.

Jambo la kushangaza ni kuwa mke wangu huyu wa ujanani amekataa kunisamehe. ametoa mashariti kadhaa ili niweze kupata msamaha wake. Mashariti hayo ni haya.

1. Jumapili hii twende kanisani nikaombe msamaha mbele ya kanisa.

2. Turekodi mkanda wa video ili hata watu wengine ambao hawatakuwepo kanisani waweze kuona tukio hilo hapo badae.

3. Amesema pia nikiwa namuomba msahama mbele ya kanisa nimuite mama na wala siyo mke huku nikiwa nimepiga magoti.

Wakuu, nimefikiri sana swala hili. Nia hasa ya mke wangu ni nini. Hivi ndivyo msamaha unavyoobwa?

Nimejiuliza tena kwani atapungukiwa nini kama atanisamehe tukiwa wawili tu bila kamera?

Nilichopanga ni hiki , nataka kugoma kufanya kitendo hiki. Ninagoma kwa sababu nataka kulinda utu wangu. Kufanya dhambi au kumkosea mke wangu hakuondoi utu wangu hata kidogo.

Siko tayari kuuza utu wangu kwa gharama ya kulinda ndoa. Utu huwekwa na Mungu ndani ya mtu. Kuuza utu wako kwa mtu ni kumfanya mtu huyo kuchukua nafasi ya Mungu katika maisha yako. Siko tayari.

Msamaha una misingi yake. Moja ya misingi hiyo ni kulindiana heshima.Msahama ni upendo .Upendo haudhalilishi wengine.

Kama ndoa ni ndoano , basi ndoano hii haitaninasa.
Hey dude man the fvck up please!! Don't ever stoop that low even for mill-second.

I pledge to you once you bow down to her said wishes, you will officially lose your manhood to her and she won't treat you as her hubby genuinely again. She's kinda stupid churchy girl that always acts holier-than-thou.

Wanawake waliokumbatia sana kanisa wana kawaida ya kuheshimu zaidi kanisa kuliko hata ndoa au familia zao, wanamuheshimu zaidi mchungaji kuliko hata mume wake. Hapo utakuta mpaka anakuja kukupa hizo conditions ni baada ya kushauriwa na wazee wa kanisa. Ni wapumbavu sana hawa wanawake waumini wa haya madhebu uchwara yanayoanzishwa na watu binafsi tu kwa ajili ya kujikusanyia hela.

Huyo mwanamke ni mpumbavu kiwango cha SG halafu na wewe bila shaka ndio chanzo cha yeye kuwa na ujasiri huo. Tangu mwanzo ulivyo anza kuishi nae ulijifanya gentlemen uchwara eti unamskiliza na kumpa mpa uhuru mwingi usiokuwa na mipaka hatimae amekuzoea anakuona kama mwanae..submit

Mimi mwanamke hata kumuomba msamaha tu kwa mdomo siwezi haijalishi hata kama kosa nimefanya kweli, ndio ije iwe kumpigia magoti mbele ya shazi la watu. Halooo!!! kama ni ndoa na ivunjike tu kwakweli.

Usiongee chochote na huyo mwanamke kwa muda kwanza umuone atafanya nini, halafu siku akifungua mdomo wake eti anakukumbusha kuhusu hayo matakwa yake mpe KOFI moja zito sana mpaka arushe kamasi kisha umuulize "unasemaje wewe mjinga!? Hebu rudia tena ulichokisema". Akifungua mdomo wake basi huyo sio mke wako tena tayari alishapata wa kumpa kiburi.
 
Mbona kugegedana asemi muende kanisani kugegedana na mlekodiwe na video kwa kiwango cha HD mithili ya wacheza X a k a porn aache udwanzi angekua kwangu ninge mshushia bakora au kule msumbiji wanaita shamboko za kiwango cha juu.
 
Sasa uombe msamaha mbele ya kanisa kwani umelikosea kanisa??

Sidhani kama huyo mke wako anajua nini maana ya ndoa na msamaha!!
 
Wow ni wewe kweli [emoji134][emoji134]
Sasa uombe msamaha mbele ya kanisa kwani umelikosea kanisa??

Sidhani kama huyo mke wako anajua nini maana ya ndoa na msamaha!!
Please turn up the volume kila mtu mskie Marianah.
IMG_20190825_163321.jpeg
IMG_20190825_163253.jpeg
 
Ingekua mimi ningefuata masharti yake, nikifika kanisani natangaza kumuacha badala ya msamaha
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Huyo mwanamke atakua anaugua uchizi.
Wakampime kama akili yake iko sawa.
Kabisa siyo bure hivi kwanza mke tu anajisikiaje kumuona mumewe kapiga magoti mbele ya kanisa anamuomba msamaha kitu ambacho kingeweza kufanyika chumbani wakiwa wawili tu?? Nahisi hata kanisa litashangaa!!
 
Msimamo wako na uwe huo huo mkuu,

umeshamuomba msamaha yeye kama yeye, na bila shaka ulimkosea yeye kama yeye!
Sasa inakuaje tena ukaombe msamaha mbele ya kanisa?
Tena eti na mkanda wa video uchukuliwe.

Aise mliooa walokole kazi mnayo.
Mimi akinitamkia huo upuzi eti nikapige magoti mbele ya kanisa na huku narekodiwa, nitamnasa kibao huyo.
Kumuomba msamaha tu umempatia heshima, yake inatosha.
Mimi hata huo msamaha siombagi. Ila ataniona tu nimenywea naye anajiongeza. Asipojiongeza, shauri zake.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Wakuu nawasalimu,

Niko katika hali hii kwa sasa.

Ni kweli nilimkosea mke wangu. Nilifanya dhambi kama binadamu wengine wafanyavyo dhambi. Nimejutia kosa langu na nikaamua kumuomba msamaha mke wangu ili maisha yaendelee.

Jambo la kushangaza ni kuwa mke wangu huyu wa ujanani amekataa kunisamehe. ametoa mashariti kadhaa ili niweze kupata msamaha wake. Mashariti hayo ni haya.

1. Jumapili hii twende kanisani nikaombe msamaha mbele ya kanisa.

2. Turekodi mkanda wa video ili hata watu wengine ambao hawatakuwepo kanisani waweze kuona tukio hilo hapo badae.

3. Amesema pia nikiwa namuomba msahama mbele ya kanisa nimuite mama na wala siyo mke huku nikiwa nimepiga magoti.

Wakuu, nimefikiri sana swala hili. Nia hasa ya mke wangu ni nini. Hivi ndivyo msamaha unavyoobwa?

Nimejiuliza tena kwani atapungukiwa nini kama atanisamehe tukiwa wawili tu bila kamera?

Nilichopanga ni hiki , nataka kugoma kufanya kitendo hiki. Ninagoma kwa sababu nataka kulinda utu wangu. Kufanya dhambi au kumkosea mke wangu hakuondoi utu wangu hata kidogo.

Siko tayari kuuza utu wangu kwa gharama ya kulinda ndoa. Utu huwekwa na Mungu ndani ya mtu. Kuuza utu wako kwa mtu ni kumfanya mtu huyo kuchukua nafasi ya Mungu katika maisha yako. Siko tayari.

Msamaha una misingi yake. Moja ya misingi hiyo ni kulindiana heshima.Msahama ni upendo .Upendo haudhalilishi wengine.

Kama ndoa ni ndoano , basi ndoano hii haitaninasa.
Huyoo anataka kuku dhalilisha tu
 
Back
Top Bottom