Mke wangu ananilazimisha nimuombe msamaha mbele ya Kanisa

Muombe Mungu msamaha lakini nawewe usizikumbuke tena dhambi zako ''if you ask God to forgive your sins God forgives for all, but also do not remember your sins any more
 
Ungetaja hiyo dhambi ingekuwa vyema kujua tunashauri vipi. Inawezekana dhambi uliotenda hamna namna lazimi youtube ihusike ili usirudie tena

Duh, huyo mkeo mbabe sana. Kwa hiyo yeye hana dhambi?
 
Kwa masharti haya mimi nakushauri umuombe aende kwao kwanza kwa maana ya kwamba ujiandae
kumtafuta mtu wa kurekodi video siku ya msamaha. Ukifanikiwa kukamilisha utampigia simu mkutane kanisani
siku ya tukio. Akikubali kuondoka we nyamaza utaona sms za kukuomba wewe msamaha zinatiririka.
 
Huu ndo ubaya wa kuoa mwanamke mwenye akili!!we fought for the same hole!!
 
Mimi nisingemuomba msamaha hata kidogo,huyo ashakupanda kichwani.
 

Huwezi kumwamnbia mkeo MSHAMBA halafu ukategemea msamaha kirahisi hivyo. Hili ndo tatizo la kuoa wanawake wenye akili finyu, visasi na kukurupuka. Nimejaribu kusoma katikati ya mistari yako Mkuu
 
hahaha mpaka hapa hakuna mke wala kanisa....hizi ni codes.....kuhusu msamaha wa juzi...
 
Hapo cha kufanya ni kutofanya kama anavyotaka pia hayo masharti inaonyesha kakuchoka kuishi na wewe kwenye ndoa kwa maana nyingine naona dhamira yake nikuachana na wewe INDIRECTLY akijua hayo masharti hutayatekereza ili apate sababu.
 
Duh hata kama kuchepuka ndio akapige magoti mbele kabisa kanisani!?? Mke ana masharti magumu mno aisee! !
Aende tu akaombe kwani wakati anafanya hayo yote hakujua kama anamke? Mke ashikirie hapo hapo goti madhabahuni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwambie , ataenda zoa huko atamkumbuka kweli mke wa ujana wake
 
Ni kosa gani hilo ulilomkosea mpaka uombe kwa kanisa? Nenda kwa mchungaji ukaongee huko [emoji23][emoji23][emoji23] yawezekana ndiyo kawaida yako sasa kaamua kukupa mtihani huo, ukiona mke anakupa shughuli nzito kama hiyo basi kqkuchoka kwa tabia zako.
 
Angesema na kosa hapo tungetoa hukumu isiyo pendelea lakini hajasema kosa! Na huenda ni kawaida yake ndiyo maana imefikia hapo sizani kama mke ni kichaa mpaka atoe msamaha wadizaini hiyo, pole yake
 
Ishini na wake zenu kwa akili, mabaharia mnafeli wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…