Mke wangu ananilazimisha nimuombe msamaha mbele ya Kanisa

Hivi kwanini wanandoa hamtuleteagi inspirational stories manake kila story tunayoisoma hapa JF, sie wengine tunabaki kujisemea "...kumbe sijakosea kujiepusha na hiki kikombe!"

Na wewe mleta mada umezidi! Unaoaje malaika wakati unajua kabisa wewe ni binadamu wa kawaida?! Ningekuwa mimi huyo, ningemwambia sawa mke wangu!!!

Potelea mbali hata kama kanisa haliruhusu talaka, ningeandika tu!

Nikifika church, muda wa tukio naitoa bahasha yangu yenye talaka ndani nampa Baba Paroko na kumuomba ausome kwanza "waraka wangu wa ushauri kwa Waumini wengine".
 
Umeshamuomba msamaha Kama anataka kukusamehe atafanya hivyo. Huko anakotaka kukupeleka ni kukudhalilisha na itapelekea mambo mengi sana ikiwa ni pamoja na wewe kuathirika kisaikolojia na kudharaulika.
Yaani umkosee yeye halafu msamaha ukaombe kwenye umati wa watu!!? Sioni kama ina maana yoyote

Simama kiume bro
 
Ungekuwa ni ndoa ya kiislam hapo hapo unamwambia siwezi kuita mama .ninakuandikia talaka uende .
 
Huyo mkeo anataka kukudhalilisha mbele ya hadhara hana adabu hana upendo tena nawe
 
kwa sisi mabaharia tunakataa kata kata kufanya huu upuzi..
muulize kwani yeye jahawahi kukukosea?
 
Anaweza akawa anatoka na muinjilist huyo chunguza
 

Pole baharia, umekwama matopeni😂
 
Ni Ushamba uliopitiliza kutangaza Msamaha mbele ya hadhara!
 
Kwahiyo ni haki yako kumkosea mke wako siyo??
Kuomba msamaha mkeo ni kuanzisha kesi isiyokwisha maisha yenu yote. Maana hilo kosa litakumbushiwa kila wakati. Walio kwenye ndoa wananielewa
 
Kuomba msamaha mkeo ni kuanzisha kesi isiyokwisha maisha yenu yote. Maana hilo kosa litakumbushiwa kila wakati. Walio kwenye ndoa wananielewa
Kwahiyo usipoomba msamaha ndiyo kosa halikumbushiwi??
 
Kosa ulilofanya ni kukiri kosa ulilofanya na kuomba msamaha.
Usije ukakiri kosa kwa mwanamke hata Kama kakufumania live kataa katakata na geuza kosa yeye ndio awe mkosaji na msamaha akuombe yeye
 
Kwa masharti hayo uenda huyo mke wako ndiye aliyekusababisha ukatenda hiyo dhambi japo ujasema ni dhambi gani? Au ulikosea njia ukamu umiza kinyeo chake mama watoto wako maana hayo masharti hayatekelezeki.
 
Mwambie huyo mkeo akuombe msamaha Kwanza kwa kuthubutu kukupa hayo masharti ya hovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…