The golden
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 1,382
- 2,582
- Thread starter
-
- #301
Haya ni mafurushi makubwa
Wapo wengi tu walioambiwa hivyo msidhani hizi kauli zenu za humu zinatutisha tunajua mnajifurahisha tu humuYan katika ushauri wa kisenge ulio omba ndoo huu hapaa
Huyu manamke kakupimaaa weeeee, kukuchezee weeee, hushahii ndo huo. Wewe ndiye mwanaume pekee aliyewahi kuambiwaaa hvyoo toka dunia iumbwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji56][emoji56][emoji56]
Katika ndoa za kikristo vitu 2 vinaweza kusababisha watu watenganeWakuu nawasalimu,
Niko katika hali hii kwa sasa.
Ni kweli nilimkosea mke wangu. Nilifanya dhambi kama binadamu wengine wafanyavyo dhambi. Nimejutia kosa langu na nikaamua kumuomba msamaha mke wangu ili maisha yaendelee.
Jambo la kushangaza ni kuwa mke wangu huyu wa ujanani amekataa kunisamehe. ametoa mashariti kadhaa ili niweze kupata msamaha wake. Mashariti hayo ni haya.
1. Jumapili hii twende kanisani nikaombe msamaha mbele ya kanisa.
2. Turekodi mkanda wa video ili hata watu wengine ambao hawatakuwepo kanisani waweze kuona tukio hilo hapo badae.
3. Amesema pia nikiwa namuomba msahama mbele ya kanisa nimuite mama na wala siyo mke huku nikiwa nimepiga magoti.
Wakuu, nimefikiri sana swala hili. Nia hasa ya mke wangu ni nini. Hivi ndivyo msamaha unavyoobwa?
Nimejiuliza tena kwani atapungukiwa nini kama atanisamehe tukiwa wawili tu bila kamera?
Nilichopanga ni hiki , nataka kugoma kufanya kitendo hiki. Ninagoma kwa sababu nataka kulinda utu wangu. Kufanya dhambi au kumkosea mke wangu hakuondoi utu wangu hata kidogo.
Siko tayari kuuza utu wangu kwa gharama ya kulinda ndoa. Utu huwekwa na Mungu ndani ya mtu. Kuuza utu wako kwa mtu ni kumfanya mtu huyo kuchukua nafasi ya Mungu katika maisha yako. Siko tayari.
Msamaha una misingi yake. Moja ya misingi hiyo ni kulindiana heshima.Msahama ni upendo .Upendo haudhalilishi wengine.
Kama ndoa ni ndoano , basi ndoano hii haitaninasa.
Good for you manBrother, I'm a real man, I know what I'm doing. That is why I said I won't kneel before her.
Kukneel mkuwa wote chumbani sawa ila mbele ya Watu hapana[emoji33][emoji33]Brother, I'm a real man, I know what I'm doing. That is why I said I won't kneel before her.
Usitumie nguvu kuomba msamha, hata akitamka kukusamehe haitasaidia. Chamsingi hapo jipe mda ili hasira zake zipoe, endelea na maisha huku ukimtumia jumbe za kuonesha bado unampenda, baada ya siku za usoni atakusamehe. Mwache ajifunze ya dunia ili pia ajue nini wanamme wanahitaji.Wakuu nawasalimu,
Niko katika hali hii kwa sasa.
Ni kweli nilimkosea mke wangu. Nilifanya dhambi kama binadamu wengine wafanyavyo dhambi. Nimejutia kosa langu na nikaamua kumuomba msamaha mke wangu ili maisha yaendelee.
Jambo la kushangaza ni kuwa mke wangu huyu wa ujanani amekataa kunisamehe. ametoa mashariti kadhaa ili niweze kupata msamaha wake. Mashariti hayo ni haya.
1. Jumapili hii twende kanisani nikaombe msamaha mbele ya kanisa.
2. Turekodi mkanda wa video ili hata watu wengine ambao hawatakuwepo kanisani waweze kuona tukio hilo hapo badae.
3. Amesema pia nikiwa namuomba msahama mbele ya kanisa nimuite mama na wala siyo mke huku nikiwa nimepiga magoti.
Wakuu, nimefikiri sana swala hili. Nia hasa ya mke wangu ni nini. Hivi ndivyo msamaha unavyoobwa?
Nimejiuliza tena kwani atapungukiwa nini kama atanisamehe tukiwa wawili tu bila kamera?
Nilichopanga ni hiki , nataka kugoma kufanya kitendo hiki. Ninagoma kwa sababu nataka kulinda utu wangu. Kufanya dhambi au kumkosea mke wangu hakuondoi utu wangu hata kidogo.
Siko tayari kuuza utu wangu kwa gharama ya kulinda ndoa. Utu huwekwa na Mungu ndani ya mtu. Kuuza utu wako kwa mtu ni kumfanya mtu huyo kuchukua nafasi ya Mungu katika maisha yako. Siko tayari.
Msamaha una misingi yake. Moja ya misingi hiyo ni kulindiana heshima.Msahama ni upendo .Upendo haudhalilishi wengine.
Kama ndoa ni ndoano , basi ndoano hii haitaninasa.
Haaaaa haaaaaaUkiomba huo msamaha utakuwa umejiondoa rasmi kwenye jumuiya ya Mabaharia Tanzania
Mrejesho?? Jumapili ndio hii
What do you mean brother?challenges which face people who marry girls instead of daughters.
huwezi jua the other side story...huwezi jua hilo kosa....kuna makosa mtu akilitamka hadi shetani anakukana kuwa hahusiki ..kitu extra ordinary
Tena mafurushi yasio bebekaHaya ni mafurushi makubwa
Ukiwakuta kwa wake zao utazani nyau kamwagiwa majiWapo wengi tu walioambiwa hivyo msidhani hizi kauli zenu za humu zinatutisha tunajua mnajifurahisha tu humu