Mke wangu ananilazimisha nimuombe msamaha mbele ya Kanisa

Mke wangu ananilazimisha nimuombe msamaha mbele ya Kanisa

Yan katika ushauri wa kisenge ulio omba ndoo huu hapaa

Huyu manamke kakupimaaa weeeee, kukuchezee weeee, hushahii ndo huo. Wewe ndiye mwanaume pekee aliyewahi kuambiwaaa hvyoo toka dunia iumbwe

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji56][emoji56][emoji56]
Wapo wengi tu walioambiwa hivyo msidhani hizi kauli zenu za humu zinatutisha tunajua mnajifurahisha tu humu
 
Kanisa gani kwanza tuanzie hapo, maana unaweza kuta ni kanisa la familia a.k.a wapendwa, baba mchungaji mama mweka hadhina watoto waumini
 
Mimi mpaka nijue kosa ndiyo niseme kama mke yuko sahihi au la!
 
Wakuu nawasalimu,

Niko katika hali hii kwa sasa.

Ni kweli nilimkosea mke wangu. Nilifanya dhambi kama binadamu wengine wafanyavyo dhambi. Nimejutia kosa langu na nikaamua kumuomba msamaha mke wangu ili maisha yaendelee.

Jambo la kushangaza ni kuwa mke wangu huyu wa ujanani amekataa kunisamehe. ametoa mashariti kadhaa ili niweze kupata msamaha wake. Mashariti hayo ni haya.

1. Jumapili hii twende kanisani nikaombe msamaha mbele ya kanisa.

2. Turekodi mkanda wa video ili hata watu wengine ambao hawatakuwepo kanisani waweze kuona tukio hilo hapo badae.

3. Amesema pia nikiwa namuomba msahama mbele ya kanisa nimuite mama na wala siyo mke huku nikiwa nimepiga magoti.

Wakuu, nimefikiri sana swala hili. Nia hasa ya mke wangu ni nini. Hivi ndivyo msamaha unavyoobwa?

Nimejiuliza tena kwani atapungukiwa nini kama atanisamehe tukiwa wawili tu bila kamera?

Nilichopanga ni hiki , nataka kugoma kufanya kitendo hiki. Ninagoma kwa sababu nataka kulinda utu wangu. Kufanya dhambi au kumkosea mke wangu hakuondoi utu wangu hata kidogo.

Siko tayari kuuza utu wangu kwa gharama ya kulinda ndoa. Utu huwekwa na Mungu ndani ya mtu. Kuuza utu wako kwa mtu ni kumfanya mtu huyo kuchukua nafasi ya Mungu katika maisha yako. Siko tayari.

Msamaha una misingi yake. Moja ya misingi hiyo ni kulindiana heshima.Msahama ni upendo .Upendo haudhalilishi wengine.

Kama ndoa ni ndoano , basi ndoano hii haitaninasa.
Katika ndoa za kikristo vitu 2 vinaweza kusababisha watu watengane

1. Kifo
2. Uzinzi

Ukishaenda kukiri kanisani kwamba umezini mbele ya watu anakuwa amepata go ahead ya nyie kuachana.. na assume ndo dhambi uliyofanya. Inawezekana anataka muachane ili asionekane ana makosa ndo anataka kutumia hiyo njia.
 
Wakuu nawasalimu,

Niko katika hali hii kwa sasa.

Ni kweli nilimkosea mke wangu. Nilifanya dhambi kama binadamu wengine wafanyavyo dhambi. Nimejutia kosa langu na nikaamua kumuomba msamaha mke wangu ili maisha yaendelee.

Jambo la kushangaza ni kuwa mke wangu huyu wa ujanani amekataa kunisamehe. ametoa mashariti kadhaa ili niweze kupata msamaha wake. Mashariti hayo ni haya.

1. Jumapili hii twende kanisani nikaombe msamaha mbele ya kanisa.

2. Turekodi mkanda wa video ili hata watu wengine ambao hawatakuwepo kanisani waweze kuona tukio hilo hapo badae.

3. Amesema pia nikiwa namuomba msahama mbele ya kanisa nimuite mama na wala siyo mke huku nikiwa nimepiga magoti.

Wakuu, nimefikiri sana swala hili. Nia hasa ya mke wangu ni nini. Hivi ndivyo msamaha unavyoobwa?

Nimejiuliza tena kwani atapungukiwa nini kama atanisamehe tukiwa wawili tu bila kamera?

Nilichopanga ni hiki , nataka kugoma kufanya kitendo hiki. Ninagoma kwa sababu nataka kulinda utu wangu. Kufanya dhambi au kumkosea mke wangu hakuondoi utu wangu hata kidogo.

Siko tayari kuuza utu wangu kwa gharama ya kulinda ndoa. Utu huwekwa na Mungu ndani ya mtu. Kuuza utu wako kwa mtu ni kumfanya mtu huyo kuchukua nafasi ya Mungu katika maisha yako. Siko tayari.

Msamaha una misingi yake. Moja ya misingi hiyo ni kulindiana heshima.Msahama ni upendo .Upendo haudhalilishi wengine.

Kama ndoa ni ndoano , basi ndoano hii haitaninasa.
Usitumie nguvu kuomba msamha, hata akitamka kukusamehe haitasaidia. Chamsingi hapo jipe mda ili hasira zake zipoe, endelea na maisha huku ukimtumia jumbe za kuonesha bado unampenda, baada ya siku za usoni atakusamehe. Mwache ajifunze ya dunia ili pia ajue nini wanamme wanahitaji.
 
Ukiomba huo msamaha utakuwa umejiondoa rasmi kwenye jumuiya ya Mabaharia Tanzania
 
Nawwza nikasema hapo huna mke. Hapo kanisani ndiyo kuna jamaa anayekuchapia mkeo, a fruit does not fall far from a tree.
Na ukiendelea kumlazimisha abadili uamuzi basi jua yatakukuta ya yule tajiri wa kizungu mdachi aliyekutwa ameuawa nchini Kenya au utakutwa na yawakutayo wale wajifanyiao vidume wa kuoa wanawake wa Kimachame,
 
Kuomba msamaha huku unachukuliwa video siyo jambo la siku moja, hapo ni sawa na kuendelea kuomba msamaha milele.
 
Back
Top Bottom