Mke wangu ananilazimisha nimuombe msamaha mbele ya Kanisa

kosa lilianzia hapo kuomba msamaha
 
Mwanaume haombi msamaha. Mwanaume akigundua amekosea katika matendo yake utaona tu amejirekebisha
 
Pengine labda anataka kumpiga tukio baya Sana akirudia kosa la dhambi yake ishi kimachale machale na huyu mke wako wewe ndo unamjua mkeo akili zake zipoje all in all kanisani usiende
 
Mkeo
anatakiwa akuombe msamaha hapo kanisani kwa kukuambia huu ujinga,na arekodiwe kwa kumbukumbu ya baadae
 

Anaamini kwa kufanya hivyo ndio hutarudia kuchepuka tena ? πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Halafu itakuwa ni ndoa changa ukute kama sijakosea.

Be a man bana!

Mpaka hapo ameonesha amekutawala. Kubadili asili ya kanuni mtapata tabu sana.
Mwanaume ukipoteza nafasi na sauti yako kwenye ndoa baaasi !
 
Kwan umelikosea kanisa, mwambie atulie km hataki kukusamehe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…