Joka katika ubora wake
Huyu siyo baharia, baharia kama baharia hakai namna hiiHuyu mke Lengo lake Siyo jema, usijekuta kuna baharia kamwambia akufanyie hivyo ili amseti kama anampenda haswa,
Kuna madhara haya ukikubali masharti yake;
1.Kudhalilika fika
2.Kumpoteza mke
3.Kugeuzwa mke humo ndani
4.Kupoteza ubaharia wako
5.Kupoteza utu wako kwa ajili ya mapenzi
6.Kuwa kichaa
Hili ni kweli sikutaka tu kulisema hapo awali.
Ndio kosa alilomfanyia? Mimi nilijua labda alichepuka[emoji3][emoji3][emoji3] kama alisema mbele ya kanisa ni vizuri kauli akaifutie huko huko
Ya maziwa au ya rangi.Chai
Hii ya rangiYa maziwa au ya rangi.
Wakuu nawasalimu,
Niko katika hali hii kwa sasa.
Ni kweli nilimkosea mke wangu. Nilifanya dhambi kama binadamu wengine wafanyavyo dhambi. Nimejutia kosa langu na nikaamua kumuomba msamaha mke wangu ili maisha yaendelee.
Jambo la kushangaza ni kuwa mke wangu huyu wa ujanani amekataa kunisamehe. ametoa mashariti kadhaa ili niweze kupata msamaha wake. Mashariti hayo ni haya.
1. Jumapili hii twende kanisani nikaombe msamaha mbele ya kanisa.
2. Turekodi mkanda wa video ili hata watu wengine ambao hawatakuwepo kanisani waweze kuona tukio hilo hapo badae.
3. Amesema pia nikiwa namuomba msahama mbele ya kanisa nimuite mama na wala siyo mke huku nikiwa nimepiga magoti.
Wakuu, nimefikiri sana swala hili. Nia hasa ya mke wangu ni nini. Hivi ndivyo msamaha unavyoobwa?
Nimejiuliza tena kwani atapungukiwa nini kama atanisamehe tukiwa wawili tu bila kamera?
Nilichopanga ni hiki , nataka kugoma kufanya kitendo hiki. Ninagoma kwa sababu nataka kulinda utu wangu. Kufanya dhambi au kumkosea mke wangu hakuondoi utu wangu hata kidogo.
Siko tayari kuuza utu wangu kwa gharama ya kulinda ndoa. Utu huwekwa na Mungu ndani ya mtu. Kuuza utu wako kwa mtu ni kumfanya mtu huyo kuchukua nafasi ya Mungu katika maisha yako. Siko tayari.
Msamaha una misingi yake. Moja ya misingi hiyo ni kulindiana heshima.Msahama ni upendo .Upendo haudhalilishi wengine.
Kama ndoa ni ndoano , basi ndoano hii haitaninasa.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Huyu siyo baharia, baharia kama baharia hakai namna hii
Nenda nae kanisani,
Muombe msamaha na yote anayotaka uyafanye,
Hii itafanya upime ujinga wa mkeo,ujinga wa viongozi wa kanisa,
Halafu ukisha Fanya anayotaka tangaza hapo hapo kuachana nae mbele ya hao hao anaotaka waone unavyomuomba msamaha
Niwe mke wa pili? Daah eti umbo namba nane[emoji3][emoji3] hujaacha tu matusiNjoo uwe mke wangu uone moto wangu.
Na umbo lako namba nane hilo. Umbo tamu. Walahi utanilaumi kama ukileta upuuzi
Inawezekana kafanya makosa makubwa sana alafu humu watu wanampa kichwa[emoji3][emoji3][emoji3] inawezekana mtaa mzima unajua uovu wake,, mke lazima ampeleke mbele ya kadamnasi ili apate amani ya moyo na amwamini tena.. mbona siku ya harusi walienda humohumo kanisani.Heheheeee....Hivi naanzaje kumwambia mume wangu hayo mambo ya kuniomba msamaha mbele ya kanisa? Khaaa...Nikishamsamehe mie inatosha saaana.