Mke wangu ananinyima tendo la ndoa bila sababu ya msingi

Mke wangu ananinyima tendo la ndoa bila sababu ya msingi

Wengi mmeingia kwenye ndoa mkiwa bado hamjakomaa akili.

Yaani bado hamuwafahamu wanawake ni watu wa aina gani.

Hapo sasa ngoja nikuambie, kinachoendelea hapo kwenye ndoa yako ni kwamba mkeo anataka kukuendesha tu kwa vyovyote na wewe hujui hili suala.

Ngoja ataanza kukuendesha kwenye vitu vingine pia; siku akikuzidi hela na wewe utakapokuwa umepata tatizo la kazi ndio utalala njaa. Yani yeye tamaa yake ipo kwenye kukuendesha tu.

Nakushauri ishi na mkeo kwa akili sana japo sio wanawake wote wapo hivyo.

Na nyie ambao bado hamjaoa, angalieni na chunguzeni tabia za mnaoenda kuwaoa ni wanawake positive au ni negative ili kuepukana na mambo kama haya yasiyo na msingi. Mkipata mwanamke positive huwezi kukuta mambo yoyote ya ajabu na matukio ya visa
Hujawahi kujua tabia ya mtu awe mke au mume inabadilishwa kulingana na mnavoishi? Mke hubadilika kulingana na matendo ya mume, na kwa mume vivyo hivyo,
 
Mbn kama shida ilianzia kwako???
Mwanangu rapcha umeimba hili goma leo ndo nimejua kuwa wanawake ni watu wa ajabu mno can you imagine leo ni siku ya 11 wife ananinyima tendo la ndoa bila sababu ya msingi.

Sasa leo nimeamua kuchachamaa bado wife amekaza. Daaah, kiukweli roho imeniuma sana let me summarize:

Mimi: Mama, naomba haki yangu basi

Wife: Kwanza tengua kauli yako ya juzi uliyosema

Mimi: Kimya kinanitawala mawazo yanachukua nafasi kichwani mwangu palepale hisia za mahaba zinanitoka na kuona sasa huyu mwanamke kuna kitu kinamtia kiburi kwa hasira naamua kuropoka oya mama mtu mimi naona nikamwambie babaako hili unalonifanyia tuone mzee wako atachukua uamuzi gani

Wife: Anacheka kwa dharau halafu kanasema “wewe mara ya mwisho si ulisema utatoka nje ya ndoa? Sasa babaangu ukamwambie wa nini?”

Mimi: Hasira zinanijaa namwambia oya mimi nimekuchoka mwanangu, kama vipi tuachane tu kwasababu haiwezekani nakuomba haki yangu halafu wewe unachukulia poa tu

Wife: Ananiangalia usoni kama sekunde 30 halafu anasema bila ya maandishi toa karatasi (talaka) niende nayo nyumbani (tena kwa kujiamani kabisa)

Mimi: Moyoni gadhabu Inanijia kitanda chote cha moto naamua Bora nishuke nikalale kwenye kochi maana kuendelea kulala naye kitanda kimoja naona itakuwa ni hatari kwa afya yake maana naweza nikampa kipondo heavy alafu kesho anipe shida kwenye matibabu

Waungwana mpaka hapo nyie mnaonaje huyu shemeji yenu, kuna usalama kwenye hii ndoa yenye mwaka mmoja na miezi 10??
 
Mkuu sio anakunyima huyo tayari ashapata njemba inayomkuna vizuri Mimi Kuna mke wa mtu aliniambia jamaa yake akitaka utelezi anamwambia ana bled akija kwangu ananipa sasa mkuu pole sana na huko mbele Kuna shida zaidi yaani kwa ufupi mwanamke Hana hisia na wewe tena
 
Kama watu wanakunywa maziwa huku hawafugi, unafeli wapi mkuu?
 
Tafuta ka demu ka kupiga mzigo achana na huyo boya.mwanzoni nilivyooa nilikumbana na shida hii sana,nikawa nachepuka jambo ambalo hata mimi nilikuwa silipendi ,basi nikawa na side chick,ili fika wakati nikawa nagegeda beki tatu.Akawa anasema sikupi mzigo,Wala hata sihangaiki naye sana,alivyogundua napiga beki tatu kanishitaki nikawaambia watu nanyimwa unyumba.tokea hapo akawa anatoa haleti longo longo nyingi.
 
Ukiona mkeo ameanza kukunyima unyumba jua huyo ana mchepuko, fanya maamuzi mapema kabla tatizo halijawa sugu
 
Back
Top Bottom