Mke wangu ananinyima tendo la ndoa bila sababu ya msingi

Mke wangu ananinyima tendo la ndoa bila sababu ya msingi

Mkuu mnafeligi wapi, Kiufupi acha kumuomba omba mzigo- jifanye umemuelewa, Anza kuchelewa kurudi muda usiwe specific, Na kila ukirudi piga maji, lala upande tofauti.

Jipokeleshe simu fake nje usiku mara moja moja, lazima atakuuliza, Akikuuliza mwambie rafiki yako ana msala hivyo anaomba ushauri.

Haitachukua siku 10 nyingine bila kumbandua, na akikupa piga kweli kweli.
 
Ukiona mwanamke pasua kichwa unamuoa wa nini?
Kulala kwenye kochi a reflect, akishindw hilo arudi kwa baba yake aangqlie ustaarabu mwingine. .

umeolewa Demi , kweli utamvimbia bwana wako kwa kulala kwenye kochi?
Inategemea na sababu. Mtu hawezi nyimwa tendo bila sababu ya msingi, wakae chini wazungumze.
Mimi ni pasua kichwa kama utaleta ubabe usio kuwa na maana, na ukiniambia nirudi kwa baba yangu kabla hujamaliza sentensi nipo getini, naondoka sibebi chochote na usiponifata ndo imetoka hiyo.

Kila anayefanya kosa na ajishushe.
 
Siku kumi tu unalialia mtoto wa kiume?

Anyway fanya hivi
Options..
1. Ongea nae ujue shida nini (a.k.a mpe nafasi)
2. Mtoe kwenye mahesabu kuwa busy na mambo yako, ukiona vipi toa talaka.

Nataka nikwambie kuwa mtu ambae hujazaliwa nae usimlazimishe kumpenda au akupende
 
kuna mambo ni huzuni na yanasikitisha kweli,
Hiyo familia inaongozwa na mke sio wewe
wewe ni dhaifu sana
 
Umeambiwa tengua kauli yako kwanza! Sasa umekwama wapi mpaka unashindwa kutengua kauli ili upewe haki yako?
 
Basi ataenjoy sana pia kama ni hivyo!!

Maana napotea mtaani after 26 days
Hizo nne zilizobaki nikirudi ni mwendo wa matank ya mahaba na kumsikiliza anachotaka na mitoko full..
Basi tutaendana. Maana tutakuwa tunakaa wote siku chache. Maana inachosha eti kukaa na mtu kila siku hata safari hapati .
 
Inategemea na sababu. Mtu hawezi nyimwa tendo bila sababu ya msingi, wakae chini wazungumze.
Mimi ni pasua kichwa kama utaleta ubabe usio kuwa na maana, na ukiniambia nirudi kwa baba yangu kabla hujamaliza sentensi nipo getini, naondoka sibebi chochote na usiponifata ndo imetoka hiyo.

Kila anayefanya kosa na ajishushe.
Kwa hiyo unajisifu kwa kiburi? Zama hizi hakuna wanawake ni wafanyabishara wanaojivika kilemba cha kutaka kuolewa.
 
Mwanangu rapcha umeimba hili goma leo ndo nimejua kuwa wanawake ni watu wa ajabu mno can you imagine leo ni siku ya 11 wife ananinyima tendo la ndoa bila sababu ya msingi.

Sasa leo nimeamua kuchachamaa bado wife amekaza. Daaah, kiukweli roho imeniuma sana let me summarize:

Mimi: Mama, naomba haki yangu basi

Wife: Kwanza tengua kauli yako ya juzi uliyosema

Mimi: Kimya kinanitawala mawazo yanachukua nafasi kichwani mwangu palepale hisia za mahaba zinanitoka na kuona sasa huyu mwanamke kuna kitu kinamtia kiburi kwa hasira naamua kuropoka oya mama mtu mimi naona nikamwambie babaako hili unalonifanyia tuone mzee wako atachukua uamuzi gani

Wife: Anacheka kwa dharau halafu kanasema “wewe mara ya mwisho si ulisema utatoka nje ya ndoa? Sasa babaangu ukamwambie wa nini?”

Mimi: Hasira zinanijaa namwambia oya mimi nimekuchoka mwanangu, kama vipi tuachane tu kwasababu haiwezekani nakuomba haki yangu halafu wewe unachukulia poa tu

Wife: Ananiangalia usoni kama sekunde 30 halafu anasema bila ya maandishi toa karatasi (talaka) niende nayo nyumbani (tena kwa kujiamani kabisa)

Mimi: Moyoni gadhabu Inanijia kitanda chote cha moto naamua Bora nishuke nikalale kwenye kochi maana kuendelea kulala naye kitanda kimoja naona itakuwa ni hatari kwa afya yake maana naweza nikampa kipondo heavy alafu kesho anipe shida kwenye matibabu

Waungwana mpaka hapo nyie mnaonaje huyu shemeji yenu, kuna usalama kwenye hii ndoa yenye mwaka mmoja na miezi 10??
Badirisha mfumo wako wa maisha unayoishi nae huyo mkeo saiz anaona unauhitaji mkubwa sana kwake sasa ondoa huo uhitaji wa sex kwake hudumia familia yako vzr piga nae story tu ukifika muda wa kulala ww nenda kalale kimya usiombe kitu
Ila unavyokuwa unaomba omba kila siku madhara yake ni makubwa sana ataanza kukuendesha kisa uchi wake
Ikitokea kakunyima mwez mzima tambua kuna mwanaume mwenzio anapiga hapo
 
Mtachezewa sana na unanukia usingo mama kwa dalili hizo.
Mwaka wa 17 huu na bado nipo. Ndoa ni maelewano so anajua kabisa kwamba sishabikii kuwa kwenye ndoa kivile. Kama anaitaka tutulizane, kama haitaki tuvurugane.
 
Basi tutaendana. Maana tutakuwa tunakaa wote siku chache. Maana inachosha eti kukaa na mtu kila siku hata safari hapati .
Kwanza kukaa wote sehemu moja muda wote inaanza kuwafanya wote muwe jinsia moja. Japo mkijiangalia kila mmoja ana kikojoleo chake na havifanani lakini ndio hivyo havisisimuani tena mapenzi sio hisia bhana,, Mapenzi ni mvuto huo mvuto ukipotea tu hakuna la ziada tena..
 
Back
Top Bottom