Jamaa maisha yake ni magumu, imagine hela ya kula anaacha buku 2,Kuna mengi maybe una pesa so alifata pesa maisha mazur hvo au family ilimforce sababu kama hzo
Na hii ndo the source ya ugomvi wote huoJamaa maisha yake ni magumu, imagine hela ya kula anaacha buku 2,
Labda huyo binti alidhani anaolewa na tajiri sasa alipokuja mjini akakuta jamaa bado ni mtafutaji ndio akaanza visa....
Kwa jinsi ulivyo eleza, hakukubali. Ila alilazimika kuolewa na wewe kwa sababu ya mazingira. Ila ndugu yangu uache ushamba...hayo mambo ya kununua mbuzi kwenye gunia yamepitwa na wakati. Hapo hakuna ndoa, na ukiendelea kung'ang'ania utajilaumu baadae.Daah sasa alikubali vipi kuolewa na Mimi.
hii ni bonge la mistake, kwenda kuoa kijijini kwenu halafu bado hukuoa bikra ulijichanganya, ukikuta demu wa kijijini below 20 yrs siyo bikra usioe, kwann hukumuuliza mkuu, kama angekua bikra ni kawaida kugomea mbususu zile siku za mwanzo kwasababu bado anakua na maumivu ya kutolewa bikra, yaani kwao akiona giza linaingia anawaza mgegedo utakuaje, lakin after 1 week unaanza kupewa mzigo wote maana anakua ashazoeaHapana hakuwa bikra
Mpandishe cheo awe Bi MkubwaWasalamu wakuu.
Ni hivi, huyu binti kanichosha.
Tukiwa kitandani usiku ana vitimbi sio poa. Nikimgusa au kumtomasa ananitolea kauli za ajabu. Mara utasikia “wewe hebu niache”, mara “mambo gani hayo mi sitaki”.
Wakati mwingine nikimshika anaukamata Mkono wangu na kuurusha kutoka kwenye mwili. Nambembeleza sana lakini wapi naambulia Mzungu wa Nne!!
Imefika muda namwambia you are not romantic hata kidogo eti kunipa utamu mpaka ajisikie mwenyewe ndo utasikia haya leo tufanye sasa.
Juzi nilimtumia meseji nzuri ya Mahaba jinsi ninavyoikubali K yake huku nikimuelekeza jinsi ya kufinyia kwa ndani binti akanijibu "Hivi wewe ni mjinga umechanganyikiwa" aisee nilichoka kabisa.
Hapa nilipo Sina hamu tena.
Huyu binti ni mke wangu niliyemtolea mahari. Kwa lugha nyepesi ananinyima unyumba au kunipangia siku za kunipa.
Nafikiria kumrudisha kwao maana hata kuzaa aliniambia atazaa baada ya Miaka miwili eti hawezi kuingia kwenye Ndoa na kukimbilia kuzaa.
Pia heshima yake kwangu ni ndogo Sana. Anapenda kunibishia ndani ya nyumba hatusikilizani. Muda mwingi yupo busy anachat na Mama ake na Ndugu zake wengine. Anapenda kutoa Siri za ndani kwetu yaani nikikwama kidogo tayari kashamwambia mama ake au dada ake "Hela yenyewe hamna leo kaniachia 2000" 😭😭[/B]
Kabla sijachukua maamuzi magumu tafadhali naomba mnishauri; vipi kuna mke kweli hapa au napoteza muda?
Demi kama demiHuyo ni chaguo lako. Pambana ndugu.
Jitafutie mchepuko lkn usimuonyeshee. Usimuombe unyumba wala usimguse. .yaani kuwa busy tu...kama hajasurender sijui
Kuna kitu alitarajia kwako (labda maisha bomba) sasa amekutana na maisha ya kawaida. Hivyo haoni raha ya maisha na ww tena.Daah sasa alikubali vipi kuolewa na Mimi.
Hapo mwisho umetaja ukweli wenyewe. Huyo si wa kujenga familia. Yupo kwako kimaslahi na ndio maana anakwambia hana haraka ya kuzaa. Hataki kujifunga na wewe kwa mtoto sababu hana ndoto za kuzeeka na wewe.Nasisitiza,,, acheni kuoa wakuu,,, malalamiko yamekuwa mengi sana mbona..
Sasa wew unanyimwa unyumba,,, ujue kuna mwana huko anapewa yote hadi tiGo rusha...
Halafu pia vip unajiweza kiuchumi.!?? Au ndio tia maji tia maji hapakuchi panakucha kidogo chetu kikubwa cha bakhresa.
Nidhamu italetwa na pesa.... Hilo la unyumba pia linaweza letwa...
Ila bila kupepesa macho,,, Mkuu hupendwi.
Ulifeli hata kabla haujaanza. Hayo unayoyaona sasa ndo matokeo! Msingi wa ndoa unajengwa kabla haujaingia sio ukishaingia, lazima mwanamke ajue una msimamo dhabiti otherwise hatakuheshimu.Wasalamu wakuu.
Ni hivi, huyu binti kanichosha.
Tukiwa kitandani usiku ana vitimbi sio poa. Nikimgusa au kumtomasa ananitolea kauli za ajabu. Mara utasikia “wewe hebu niache”, mara “mambo gani hayo mi sitaki”.
Wakati mwingine nikimshika anaukamata Mkono wangu na kuurusha kutoka kwenye mwili. Nambembeleza sana lakini wapi naambulia Mzungu wa Nne!!
Imefika muda namwambia you are not romantic hata kidogo eti kunipa utamu mpaka ajisikie mwenyewe ndo utasikia haya leo tufanye sasa.
Juzi nilimtumia meseji nzuri ya Mahaba jinsi ninavyoikubali K yake huku nikimuelekeza jinsi ya kufinyia kwa ndani binti akanijibu "Hivi wewe ni mjinga umechanganyikiwa" aisee nilichoka kabisa.
Hapa nilipo Sina hamu tena.
Huyu binti ni mke wangu niliyemtolea mahari. Kwa lugha nyepesi ananinyima unyumba au kunipangia siku za kunipa.
Nafikiria kumrudisha kwao maana hata kuzaa aliniambia atazaa baada ya Miaka miwili eti hawezi kuingia kwenye Ndoa na kukimbilia kuzaa.
Pia heshima yake kwangu ni ndogo Sana. Anapenda kunibishia ndani ya nyumba hatusikilizani. Muda mwingi yupo busy anachat na Mama ake na Ndugu zake wengine. Anapenda kutoa Siri za ndani kwetu yaani nikikwama kidogo tayari kashamwambia mama ake au dada ake "Hela yenyewe hamna leo kaniachia 2000" 😭😭[/B]
Kabla sijachukua maamuzi magumu tafadhali naomba mnishauri; vipi kuna mke kweli hapa au napoteza muda?
Wasalamu wakuu.
Ni hivi, huyu binti kanichosha.
Tukiwa kitandani usiku ana vitimbi sio poa. Nikimgusa au kumtomasa ananitolea kauli za ajabu. Mara utasikia “wewe hebu niache”, mara “mambo gani hayo mi sitaki”.
Wakati mwingine nikimshika anaukamata Mkono wangu na kuurusha kutoka kwenye mwili. Nambembeleza sana lakini wapi naambulia Mzungu wa Nne!!
Imefika muda namwambia you are not romantic hata kidogo eti kunipa utamu mpaka ajisikie mwenyewe ndo utasikia haya leo tufanye sasa.
Juzi nilimtumia meseji nzuri ya Mahaba jinsi ninavyoikubali K yake huku nikimuelekeza jinsi ya kufinyia kwa ndani binti akanijibu "Hivi wewe ni mjinga umechanganyikiwa" aisee nilichoka kabisa.
Hapa nilipo Sina hamu tena.
Huyu binti ni mke wangu niliyemtolea mahari. Kwa lugha nyepesi ananinyima unyumba au kunipangia siku za kunipa.
Nafikiria kumrudisha kwao maana hata kuzaa aliniambia atazaa baada ya Miaka miwili eti hawezi kuingia kwenye Ndoa na kukimbilia kuzaa.
Pia heshima yake kwangu ni ndogo Sana. Anapenda kunibishia ndani ya nyumba hatusikilizani. Muda mwingi yupo busy anachat na Mama ake na Ndugu zake wengine. Anapenda kutoa Siri za ndani kwetu yaani nikikwama kidogo tayari kashamwambia mama ake au dada ake "Hela yenyewe hamna leo kaniachia 2000" 😭😭[/B]
Kabla sijachukua maamuzi magumu tafadhali naomba mnishauri; vipi kuna mke kweli hapa au napoteza muda?
Wasalamu wakuu.
Ni hivi, huyu binti kanichosha.
Tukiwa kitandani usiku ana vitimbi sio poa. Nikimgusa au kumtomasa ananitolea kauli za ajabu. Mara utasikia “wewe hebu niache”, mara “mambo gani hayo mi sitaki”.
Wakati mwingine nikimshika anaukamata Mkono wangu na kuurusha kutoka kwenye mwili. Nambembeleza sana lakini wapi naambulia Mzungu wa Nne!!
Imefika muda namwambia you are not romantic hata kidogo eti kunipa utamu mpaka ajisikie mwenyewe ndo utasikia haya leo tufanye sasa.
Juzi nilimtumia meseji nzuri ya Mahaba jinsi ninavyoikubali K yake huku nikimuelekeza jinsi ya kufinyia kwa ndani binti akanijibu "Hivi wewe ni mjinga umechanganyikiwa" aisee nilichoka kabisa.
Hapa nilipo Sina hamu tena.
Huyu binti ni mke wangu niliyemtolea mahari. Kwa lugha nyepesi ananinyima unyumba au kunipangia siku za kunipa.
Nafikiria kumrudisha kwao maana hata kuzaa aliniambia atazaa baada ya Miaka miwili eti hawezi kuingia kwenye Ndoa na kukimbilia kuzaa.
Pia heshima yake kwangu ni ndogo Sana. Anapenda kunibishia ndani ya nyumba hatusikilizani. Muda mwingi yupo busy anachat na Mama ake na Ndugu zake wengine. Anapenda kutoa Siri za ndani kwetu yaani nikikwama kidogo tayari kashamwambia mama ake au dada ake "Hela yenyewe hamna leo kaniachia 2000" 😭😭[/B]
Kabla sijachukua maamuzi magumu tafadhali naomba mnishauri; vipi kuna mke kweli hapa au napoteza muda?
Urudishiwe ng'ombe wako na mbuzi kivipi wakati wewe ndo ume mkataaNimeshamrudisha kwao. Namsubiri kurudishiwa ng'ombe wangu na mbuzi basi.
Ameoa mtu ambaye hawajuaniMkuu kila action ina consequences zake
Sasa hayo unayokutana nayo sasa ni matokeo ya action zako mwenyewe. Unaweza vipi kuoa mtu ambae humjui kabisa??
Yeye ndo anakataa kutoa unyumba. Mimi namrudisha kwasababu ameshindwa kutimiza matakwa ya Ndoa.Urudishiwe ng'ombe wako na mbuzi kivipi wakati wewe ndo ume mkataa
Sent using Jamii Forums mobile app