Mke wangu ananinyima uroda! Nifanyeje?

Mke wangu ananinyima uroda! Nifanyeje?

Jamani kishasema anapewa sababu kibao inaelekea ashalizungumzia na sababu zishatolewa sio moja nyingi tu!

Na mnaohimiza akaongee ikiwa jibu alilopewa ni kuwa hakuana tatizo isipokuwa kazi zinamzidia ; ukipiga mahesabu hapo kuna house help na shemeji!

Hebu msaidieni acheni kujibu kijuu juu!
 
u know what, bro, huna sanaa ya mapenzi. mapenzi (ngono) hayaombwi kama unavyoomba msaada. mapenzi ni kujengewa mazingira tu na huja otomatikale. alikuvumilia akona inatosha. umefanya mapenzi kama fomula. anajua ni lini unataka, staili unayotaka, muda hadi ukojoe, maneno usemayo, eneo la tukio, n.k. ikibidi zama chumvini, mkojoleshe, hiyo ndio raha ya mwanamke-kukojoa. usijifanye mstaarabu sana. be a bit rough in the game. inatosha kwa sasa
 
Kingi; uc-generalise wengine hawapendi machejo na ukija rough kwa wengine ni turn off; nadhani mkuu anataka kujau ni wapi aanzie kutatua tatizo lake nami naamini tataizo halianzii wakatai GAME nahihi kuna vitu vingi vinavyoamabatana nalo hapo!
 
Kingi; uc-generalise wengine hawapendi machejo na ukija rough kwa wengine ni turn off; nadhani mkuu anataka kujau ni wapi aanzie kutatua tatizo lake nami naamini tataizo halianzii wakatai GAME nahihi kuna vitu vingi vinavyoamabatana nalo hapo!

kama ulikuwa hujui, asilimia 90 ya masuala ya kuharibika kwa mahusiano huanzia hapo ndoani. wewe unadhani kama hakuridhishwa na mumewe na kupata mwingine atahangaika nae? kama ni tatizo nje ya mapenzi angesema na tungejua



ona anachosema
Mimi na mke wangu tumekuwa katika ndoa yapata miaka mi 3 sasa! Hali ilikuwa ni nzuri kwani tulikiuwa tunakula tunda kila siku angalau asubuhi kamoja na jioni kabla ya kulala kamoja!

Siku hizi hali imebadilika kwani hataki tena na huwa naboreka sana pale anaponijibu eti "nasikia usingizi, tutafanya asubuhi (lakini asubuhi ikifika oooh ngoja nifanye usafi, mara kwanza watoto niwaandalie chai) mpaka siku inapita! Mara ooh nimechoka, sina hamu, sijisikii kufanya, wewe unataka kila siku, kwani umesikia hii ni pipi? etc"...

Roho inaniuma sana mpaka nimeamua kumwangalia tu kwani najua nikimuomba tunda la roho nitapewa majibu na sababu hizo hapo juu na mwisho wake tuanze kugombana bure...

Mimi sasa hivi 'feelings' zinanisumbua sana na sijawahi kutembea nnje ya ndoa ila kwa tabia yake hiyo nashawishika kwenda nnje kitu ambacho nadhani sio kizuri!

Je, bora tuendelee kuishi kama kaka na dada? au nitafute 'kajumba' kadogo huko nnje niwe napunguza taratibu?

Je, nikitoka nnje ya ndoa nitakuwa nimemkosea mke wangu? Nifanyeje ili niweze kumshawishi mwandani wangu ili tuwe tunakula tunda kama zamani?

@Mchango wako unahitajika (true story)!
 
pape waone wazee wa mkeo, hasa mama yake, mweleze kinachotokea, anaweza kusaidia
 
Hali ilikuwa ni nzuri kwani tulikiuwa tunakula tunda kila siku angalau asubuhi kamoja na jioni kabla ya kulala kamoja!

wewe unataka kila siku, kwani umesikia hii ni pipi? etc"...

Inawezekana imemkinai🙄! Jaribu kumpa muda halafu mtoke na style tofauti na frequency tofauti!

On a serious note, unadhani kwa nini ameilinganisha na pipi?
 
ni pm nitakupa ushauri, nitamfunda atafundika, usihofu Pape, mimi ni mtaalam kwa wanawake wenye tabia kama hizo

wajameni bwabwa bado yupo?? na kumbe ni mtaalamu wa kuwafunda wakinamama?
mh!😕
 
Hizo tabia mimi nazijua, ukiona mkeo anakunyima uroda wa mbele, maana yake anataka kuliwa tigo, na wewe kichwa maji, bado hujamuelewa tu!!!
 
Jino kwa jino, Na ww mnyime, akishajua hilo hatakunyima tena, so mtakuwa mnapena!
 
Hizo tabia mimi nazijua, ukiona mkeo anakunyima uroda wa mbele, maana yake anataka kuliwa tigo, na wewe kichwa maji, bado hujamuelewa tu!!!

bwabwa hujambo?
umefunda wangapi?
mbona dada yako hujamfunda juu ya yule mmewe?
 
Hizo tabia mimi nazijua, ukiona mkeo anakunyima uroda wa mbele, maana yake anataka kuliwa tigo, na wewe kichwa maji, bado hujamuelewa tu!!!


Na ulaaniwe kabisa, ushindwe na ulegee, huyo shetani anayekutuma nenda kwa watumishi wa Mungu wakamkemee,,,,, watu kama nyie ndo mnaifanya dunia inaadhibiwa kila siku na majangwa,
 
Kam ulioa ili ule tunda,basi najua unajua nivipi umshawishi ili ule hilo tunda!!
 
mzee kama unapiga bao moja asubuhi na moja jioni, naona bado hujaqualify kushauriwa utafute nyumba ndogo! mzee hizo nyumba ndogo bao minimum ni kuanzia sita ndio zitakuheshimu, vinginevyo utaishia kuchunwa na ukiondoka zinasawazsha mambo na serengeti boyz! believe me

sasa hudo si mkeo bali naona labda demu tu. kama ni mke labda ulichukua bureeeeeeeeeeee, manake kama ulitoa mahari na bado unalizwa, pole sana.

ni hivi bro mpe huyo my wife wako black and white na umuambie tayari una appoinment na nyumba ndogo kesho yake kama ataendeleza uchoyo wa hiyo kitu, tandika makofi ya kutosha na kesho yake chukua housegirl na uendelee naye hadi ashibe kisha unaoa kabisa, fuuuuuul stoooooooooooop!

atakula faida ya kibri yake
 
Jamani kwa mwanamke au aliyewahi kuwa mwanamke au aliyekuwa transformed kuwa mwanamke anaelewa kuwa hakuna kitu kibaya kama mtu kujihisi unatumika kama chombo cha kumstarehesha mwanaume. Kwamba hakuna mapenzi... tendo la ndoa linafanyika kama duty.

Ni vizuri tukumbuke mapenzi hayaanzii kitandani, muonyeshe mwenzio unampenda kwa kauli na vitendo, wengine hata kujuliana hali hakupo lakini anataka cha asubuhi na jioni! Ongea nae vizuri, joke, kiss, msifie, mkumbushe jinsi unavyompenda nk kabla ya kukimbilia kuomba unachoamini ni haki yako ya kuzaliwa!

Asante sana,

Annina
 
pape kuwa mwangalifu na bwabwa hilo lisikuharibie mke

Kwani bwabwa ni mtu mume au mtu mke? Kama ni mtu mke hawezi kuharibu mke, wanawake wanajuana na ni rahisi kuambiana mambo haya
 
mimi nimefunga kabisa kwani napiga hata mwezi bila kuona ndani sasa nikipata fikira basi sina tabu juwa nakwenda kuoga tu nikirudi nimemaliza sina hata hamu nae,

kwani nimelalamika sana naona haijalishi nami nimeweka mbinde kwangu sitowi, nasubiri mshindi yeye hataki nami sitaki, zaidi sabuni na mafuta tena ukipata ya nazi ndio mwisho
 
Back
Top Bottom