Mke wangu ananitesa na kuninyanyasa sina raha na ndoa sijui nifanyaje

We nawe. . .
Hapigwi wakati huo tu.Anapigwa kila mara.Sasa huko kutokuridhishwa ndio sababu tosha ya kumpiga mumewe? Whatever happened to couples talking and discussing things in a civilised manner?
 
wakapime wote... wakikuta wako fiti aje ajaribu kumpa kazi ya kiume then aobserve signals za circuit kama bado zina noise hapo sasa itakua mambo ni mengine....
hahahaha
atajuaje,maana kwa hawa hataakitoka kulala na mtu ukitest ni mpya huitaji kuadd girisi wala mafuta mazito
 
We nawe. . .
Hapigwi wakati huo tu.Anapigwa kila mara.Sasa huko kutokuridhishwa ndio sababu tosha ya kumpiga mumewe? Whatever happened to couples talking and discussing things in a civilised manner?

hivi lizzy maana ya dharau unaijua.....? mwanamke akikudharau anakumbuka weakness yako saa zote bwana,,,,...! ndo maana namwambia ajaribu kurectify kwanza hapo... kama sio hapo ndio aangalie ustaarabu mwingine....! tf anakuita huko kwanza amesemma hujamvalisha mtoto diaper... fanya fasta asije akakugonga na gari... si unajua sisi wanaume hua hatushiki mwiko kupiga....!?
 
hahahaha
atajuaje,maana kwa hawa hataakitoka kulala na mtu ukitest ni mpya huitaji kuadd girisi wala mafuta mazito

basi atumie kinga halafu ampe n'genyo la kufa mtu uone kama hata mwambia "....eeeh baba watoto ulikua wapi siku zoteee eeeeeh jamaani mmmh.....!!!?" na heshima itaanza siku hiyo hiyo...!
 
njoo calabash tukupe mbinu za medani
 
mpm kwanza na umuulize maswali ya muhimu kabla hamjaanza kudate umenisoma..!? usije ukajikuta unamrudia abusive wako..! nimechoka sasa:yawn:

I trust him totally; kwa style hiyo he will make a very good hussie! LOL
 
ungekuwa mwanamke ningekushushia madongo, ila kwa vile ni mwanamume, vumilia tu after all ur gender imetuumiza sana; sio mbaya tukipata pa kulipizia kisasi.
 
we jamaa **** kweli yaani'unampelekea ngumi ya pua'mara kibao'mara unakata mtama'mwisho unachukua juu kwa juu mpaka kitandani'unampelekea moto pale kudadadeki unamgeuza kaa samaki&&wee vipi?
 
Maumivu ya kichwa huanza polepole! Mwishowe hupelekea kifo.
 
wewe ni she au he? Maana siku hizi kuna ndoa za lesbians na gays!
Nifahamishe kabla sijakupa ushauri.
 
we jamaa **** kweli yaani'unampelekea ngumi ya pua'mara kibao'mara unakata mtama'mwisho unachukua juu kwa juu mpaka kitandani'unampelekea moto pale kudadadeki unamgeuza kaa samaki&&wee vipi?

mwana kweli wewe mgiriki na meli yako watu hawazamii hovyo hovyo.... hii kali sana
 
We nawe. . .
Hapigwi wakati huo tu.Anapigwa kila mara.Sasa huko kutokuridhishwa ndio sababu tosha ya kumpiga mumewe? Whatever happened to couples talking and discussing things in a civilised manner?

wanaume wa mara wakisoma hii thread wanatukana tu hawa washenzi wamekosa cha kuandika hawana adabu awajui kupigwa ni moja ya Nguzo muhimu kwenye ndoa
mi sisijasema
 
basi atumie kinga halafu ampe n'genyo la kufa mtu uone kama hata mwambia "....eeeh baba watoto ulikua wapi siku zoteee eeeeeh jamaani mmmh.....!!!?" na heshima itaanza siku hiyo hiyo...!

hahahahahahaha

Haya bana,mpaka anatoka nje ujue kuna jambo mkuu,ok kama anatatizo la kuto kumsababisha mweza aone utamu wa kuolewa basi yambidi atumia VIAGRA nadhani hiyo ni kiboko ya mwanamke asiyemwamini mme ktk angahizo
 
hahahahahahaha

Haya bana,mpaka anatoka nje ujue kuna jambo mkuu,ok kama anatatizo la kuto kumsababisha mweza aone utamu wa kuolewa basi yambidi atumia VIAGRA nadhani hiyo ni kiboko ya mwanamke asiyemwamini mme ktk angahizo

kumbe dawa unazijua mwanangu....! yani hapo ni kumpa kazi huyo dada ambayo hatakuja kuisahau...! na ukishaona kua tatizo ilikua ni kazi..! sasa kila mechi hakikisha unakua na wachezaji wa akiba wengi sana hata maviroba na madude yote yani hakikisha mpaka awe anakupigia simu ofisini sio kua uwahi kurudi kuwaangalia watoto atakwambia..."nilikua nimekumiss jamani mme wangu mmmh unakuja saa ngapi....?" na jamaa achomekee vipi seminar huendi tena atapata jibu hili..."aaah wale jamaa wamesema fund haitoshi kwa hiyo wamesema watatuambia kama wakiandaa tena...." hapo jua umekamata ndege mjanja kwenye tundu bovu....! sasa upige kazi hadi umpe ujauzito na dogo akizaliwa unamuita JUHUDI.....!
 
Siku nyingine akirudi amekunywa kidogo, mchokoze halafu akudunde.......
Akienda kulala, we washa jiko la mkaa, kaliweke chumbani, wewe lala sebuleni. ukumbuke kufunga madirisha ya chumbani.

Ukifanikiwa usiache kuja kunishukuru.

Wewe unamshauri mwenzako kuua una akili kweli wewe?
 

Mchuzi wa bata chukua ma pointi hayo!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…