Mkonowatembo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,107
- 1,012
Kaka ulipatwa na nnNdugu wazazi siku hizi wanachoangalia maslahi unaweza kuongea na wakwe zako badae wanakuzunguka ndoa za sasa sio salama hata kidogo,yanayokukuta wewe mim yashanikuta fanya maamuzi magumu au kubali uletewe kimwi nyumbani,bora ulivyogundua kuliko ungepata maradhi mngeanza kusukumiana wewe wewe,
Mrejesho upoje na hao watoto nakwambia sio wako mkuuuHabari zenu ndugu zangu, jamaa na marafiki zangu,
Hoja iko hivi, nina mke ambaye nimedumu naye kwa mwaka karibu wa 10 na Mungu kanijalia watoto kadhaa.
Ki ukweli tunaishi vizuri mno ni mnyenyekevu, msafi na ni mzuri mno.
Ila miaka miwili tu baada ya kumuoa nilibaini namba moja ambayo alikuwa haja isave ila ilikuwa ndiyo namba ambayo ilikuwa imepigwa mara nyingi sana.
Nilimbana mpaka akaja akakiri kuwa huyo ndiye aliyekuwa Ex boy friend wake.
Kidume nikampiga marufuku lakini ameendelea kuwasiliana naye mpaka mwezi uliopita licha ya kufikisha mpaka kwa wazee mara kadhaa kwa sababu hiyo.
Sasa najua kuna wataalamu wa mambo ya mahusiano humu ambao mnaweza kunisaidia nifanyaje kwa sababu ki ukweli naelekea kuachana naye kwa sasa.
Dada ni sawa ulichosema ila naona kwenye mahusiano.Mtoa mada. Point ninayoiona hapa ni mke wako angeacha kuwasiliana na x wake maana wewe hupendi.ila hizi negativity za kuconnect et kwamba kuwasiliana na x wako ni mambo ya mapenzi nakataa.mimi shahidi nimeolewa na ninampenda sana mume wangu kuliko kitu chochote hapa duniani ila kuwasiliana x wangu sioni shida. Nawasiliana naye vizuri tu na tunaheshimiana sana.kuachana haimaanishi kwamba ndio kuwa maadui noo eti hadi ndo mnuniane sijui nini woiiìii.nimeolewa na ameoa pia but kusalimiana na kuongea mambo ya kimaisha tunafanya hivyo na hakuna mambo ya mapenzi.so tusikariri eti kwamba kuwasiliana na x ni mapenzi au sijui unampenda zaidi ya uliyenae sasa maana sio kweli. Muhimu ni Heshima iwepo.yaani kama ni tabia ya mtu kucheat atacheat tu hata kwa hao wengine ambao sio x.so unaweza mzuia kwa x kumbe yuko kwingine.
Lazima atakuwa anawasiliana nao bila mumewe kujua , hio lazima.Huyo ex wako unawasiliana nae sana kwasababu zipi? kuna biashara gani mnafanya? Umezaa nae kwamba unampa taarifa za maendeleo ya Mtoto wake? Kilichokuwa kinawaunganisha ni Mapenzi hayapo tena kila Mtu amemove on hayo mawasiliano tena ya nn? Wewe kwako sio tatizo je unafikiri yule Mke wa huyo ex wako akilijuwa hilo nae atakuwa katika position gani?
Hapo unatafuta matatizo ya kujitakia katika Ndoa yako, hakuna Mwanaume anaekubali ujinga wa kiasi hicho na ukiona Mumeo amekubali hilo juwa nae ni Mume Bwege au yupo hatua 10 mbele yako!!!
Mmeo anajua kuwa unaongea na ex zako??.Wala hakuna matatizo ninayitafutia ndoa yangu mpendwa.mpaka nasema yes I do nilikuwa na akili zangu timamu.Nimempenda mme wangu from my heart na niliahidi kuwa mwaminifu kwake hadi kifo kitutenganishe.haya mawasiliano ya x nimekupa sababu hapo juu.hatuna mtoto nae.kisalimiana na kuongea life mimi sioni shida.hakuna mapenzi na haitakuja tokea. We respect each other.ni ujinga tu na watu wasiojiamini kuona shida mwezie kuongea na x mambo ya kawaida mradi tu mipaka isivukwe.narudia tena kuachana sio uadui na pia kama ni tabia ya mtu kucheat hata upambane nae vipi atacheat tu.kama sio kwa x basi kwa mwingine, tena katika ulimwengu huu wa sasa ambao mke wa mtu na pete zake juu mwanaume kumtongoza haoni shida ni mara chache sana mwanamke utakuta atacheat na X.wengi wanacheat na watu wanameet nao kazini ama kwenye pilikapilika za maisha.
Neno hilo linaonyesha hauna 100% uhakika kama anajua mumeo.kujua am sure anajua
Umeona eeWanawake kuwasiliana na ma ex zao ni kutafuta vitombo tu hakuna la ziada. Naongea km mwanamke na ukweli ndio huo mvimbe mpasuke! Hivi km uyo ex anakupenda angekuacha au ungemuacha?!! Sasa mawasiliano ya nini?! Umezaa nae unataka umpe maendeleo ya mtoto?? Mkeo anagawa papa na iyo unayosema mitoto yako ongozana nayo kwa mkemia mkuu.
Wanandoa km unaona maex muhimu kuwasiliana nao kwanini usingeoa/kuolewa nae??! Ebu tulizeni vipapa na dyudyu mtaacha watoto yatima kwa kuendekeza matapishi
Moja ya mambo ambayo yatakuharibia mahusiano yako ya sasa au ndoa yako ni wewe kuendelea kuwasiliana na X wako kwa kigezo kuwa hamkuachana kwa kugombana. Bila kujali sababu ya kuachana na X wako mwanamke unatakiwa kuacha kabisa kuwasiliana na X wako, hata akifiwa acha kiherehere cha kumpost kumuambia pole au kwenda. Narudi huyo mtu ni X achana naye, najua mtaanza kusema kwanini nimetaja wanawake tu, nikwakua nyie mnaweza kumsamehe mwanaume anayeendelea kuchat na X wake.Wala hakuna matatizo ninayitafutia ndoa yangu mpendwa.mpaka nasema yes I do nilikuwa na akili zangu timamu.Nimempenda mme wangu from my heart na niliahidi kuwa mwaminifu kwake hadi kifo kitutenganishe.haya mawasiliano ya x nimekupa sababu hapo juu.hatuna mtoto nae.kisalimiana na kuongea life mimi sioni shida.hakuna mapenzi na haitakuja tokea. We respect each other.ni ujinga tu na watu wasiojiamini kuona shida mwezie kuongea na x mambo ya kawaida mradi tu mipaka isivukwe.narudia tena kuachana sio uadui na pia kama ni tabia ya mtu kucheat hata upambane nae vipi atacheat tu.kama sio kwa x basi kwa mwingine, tena katika ulimwengu huu wa sasa ambao mke wa mtu na pete zake juu mwanaume kumtongoza haoni shida ni mara chache sana mwanamke utakuta atacheat na X.wengi wanacheat na watu wanameet nao kazini ama kwenye pilikapilika za maisha.
Acha kuwaza sana inawezekma ata hao watoto sio wakwako.Akili zangu zinanipeleka huko kwa zaidi ya 80% na ndiyo maana nafikiria kumpiga chini.ila nikiwaza watoto ndo nachanganyikiwa kabisa
Hapa ni wazi kuwa humridhishi kitandaniHabari zenu ndugu zangu, jamaa na marafiki zangu,
Hoja iko hivi, nina mke ambaye nimedumu naye kwa mwaka karibu wa 10 na Mungu kanijalia watoto kadhaa.
Ki ukweli tunaishi vizuri mno ni mnyenyekevu, msafi na ni mzuri mno.
Ila miaka miwili tu baada ya kumuoa nilibaini namba moja ambayo alikuwa haja isave ila ilikuwa ndiyo namba ambayo ilikuwa imepigwa mara nyingi sana.
Nilimbana mpaka akaja akakiri kuwa huyo ndiye aliyekuwa Ex boy friend wake.
Kidume nikampiga marufuku lakini ameendelea kuwasiliana naye mpaka mwezi uliopita licha ya kufikisha mpaka kwa wazee mara kadhaa kwa sababu hiyo.
Sasa najua kuna wataalamu wa mambo ya mahusiano humu ambao mnaweza kunisaidia nifanyaje kwa sababu ki ukweli naelekea kuachana naye kwa sasa.
📌📌📌 me ni Mwanamke na nassuport hii fukuzia mbaliYanii huyo Jamaa anamlaaaa hadi leoo..Kubali au kataaa..!! Na kamaa sio tigo sijuii.. Wee mwanamke ushaolewa Ex wa nin..!?? Babaa fukuzaa liendee kwa ex wakee
🤣🤣mbona heroshima na nagasakiKama una uwezo iba namba ya uyo Ex wake....mtafute mchimbe bonge la biti muulize kama ashawahi kutolewa malinda...mjambishe aswaaaa then mfuate mkeo naye mjambishe mwambie huoni hasara kuua mtu...mwambie utampoteza kwenye uso wa dunia uyo ex wake kma bomu lilopiga hiroshima kuwa hutaacha ata vumbi la kuzika
Blaza ..Unagongewa..Na inavyoonekana mke huwezi kumtenganisha na jamaaHabari zenu ndugu zangu, jamaa na marafiki zangu,
Hoja iko hivi, nina mke ambaye nimedumu naye kwa mwaka karibu wa 10 na Mungu kanijalia watoto kadhaa.
Ki ukweli tunaishi vizuri mno ni mnyenyekevu, msafi na ni mzuri mno.
Ila miaka miwili tu baada ya kumuoa nilibaini namba moja ambayo alikuwa haja isave ila ilikuwa ndiyo namba ambayo ilikuwa imepigwa mara nyingi sana.
Nilimbana mpaka akaja akakiri kuwa huyo ndiye aliyekuwa Ex boy friend wake.
Kidume nikampiga marufuku lakini ameendelea kuwasiliana naye mpaka mwezi uliopita licha ya kufikisha mpaka kwa wazee mara kadhaa kwa sababu hiyo.
Sasa najua kuna wataalamu wa mambo ya mahusiano humu ambao mnaweza kunisaidia nifanyaje kwa sababu ki ukweli naelekea kuachana naye kwa sasa.
Oi tunaomba mrejesho , imekuwaje broHabari zenu ndugu zangu, jamaa na marafiki zangu,
Hoja iko hivi, nina mke ambaye nimedumu naye kwa mwaka karibu wa 10 na Mungu kanijalia watoto kadhaa.
Ki ukweli tunaishi vizuri mno ni mnyenyekevu, msafi na ni mzuri mno.
Ila miaka miwili tu baada ya kumuoa nilibaini namba moja ambayo alikuwa haja isave ila ilikuwa ndiyo namba ambayo ilikuwa imepigwa mara nyingi sana.
Nilimbana mpaka akaja akakiri kuwa huyo ndiye aliyekuwa Ex boy friend wake.
Kidume nikampiga marufuku lakini ameendelea kuwasiliana naye mpaka mwezi uliopita licha ya kufikisha mpaka kwa wazee mara kadhaa kwa sababu hiyo.
Sasa najua kuna wataalamu wa mambo ya mahusiano humu ambao mnaweza kunisaidia nifanyaje kwa sababu ki ukweli naelekea kuachana naye kwa sasa.
Serikali nyingi duniani zinachunguza simu za wapinzani wao na watumishi wao kujua uaminifu wao, asije kuletewa UKIMWI nyumbani bure, msitetee prostitution ukahaba hapa.Mwenye tatizo ni wewe. Nani kakwambia uchunguze chunguze simu ya mkeo? Usingekuwa na kihere here cha kuigusa gusa wala usingefika hapa. Mwache arudi mme mwenzako akafaidi wewe urudi kupiga puli!
Hata ukimkaza vizuri mzinzi au prostitute hawezi kuridhika hata umpe nini, au huenda huyo jamaa alikuwa anamlawiti naye kazoea na mume hawezi kumwambia, lazma wanarudiana.Achana nae aende kwa huyo x wake maana hajitambui. Una mkaza vizuri lakini!?
Joseverest unalala sana siku hizi, tatizo nini mkuu!?
Hakuna kitu kinachounguza mapenzi ya wanaume hasa mume kama mwanamke kuwasiliana na ex-wake, wanawake na wanaume makini wanaliewa Hili vizuri sana, sio kwa tafsiri Yako hii, tafsiri yake ya ndani ni kwamba mmoja hajamove on na maisha yake na hiyo ni hatari kwa ndoa.Acha wivu usio na tija hebu nikupe mfano mimi nilikuwa na mpenzi wa shule sekondari akiitwa Mariamu huyu binti alinipenda sana kiasi marehemu mama yake mzazi aliamua kumuhamisha shule kwenda sekondari ya jamhuri Dodoma.Siku ambayo alikuja kuniaga jioni sikuwepo aliacha picha nyumbani huku akilia kwa uchungu mnoooo.Mie nilivyofika nikaambiwa alfajiri nikaenda kwao bila kuogopa nikamkuta Mariamu anajiandaa aende Dodoma nikamuita alikuja kwangu akanikumbatia huku akilia kuwa atanimis ndipo mama yake akasema Dezoizo mwanangu anakupenda sana naomba kamwe usije ukamuacha.Kifupi mimi na Mariamu tuliachana na kwa sasa ni kama best friend na sikuwahi kumtafuna na ameolewa now na mume wake alikuwa ananieekea wivu sana sema akawa anaambiwa na Mariamu kuwa hatuna mapenzi ila nimebaki kama mtu muhimu katika maisha yake.Punguza wivu ila moment zinamfanya mkeo amkumbuke na wala hakuna mahusiano tena kama ilivyo mimi na Mariamu.