Mke wangu anapenda kuwasiliana na Ex wake

Mke wangu anapenda kuwasiliana na Ex wake

Yaani we we jamaa unamoyo kweli anakiri bado uko naye ningemwambia sasa hivi fungasha nenda kampe kwa Uhuru zaidi
 
Ndugu wazazi siku hizi wanachoangalia maslahi unaweza kuongea na wakwe zako badae wanakuzunguka ndoa za sasa sio salama hata kidogo,yanayokukuta wewe mim yashanikuta fanya maamuzi magumu au kubali uletewe kimwi nyumbani,bora ulivyogundua kuliko ungepata maradhi mngeanza kusukumiana wewe wewe,
Kaka ulipatwa na nn
 
Habari zenu ndugu zangu, jamaa na marafiki zangu,

Hoja iko hivi, nina mke ambaye nimedumu naye kwa mwaka karibu wa 10 na Mungu kanijalia watoto kadhaa.

Ki ukweli tunaishi vizuri mno ni mnyenyekevu, msafi na ni mzuri mno.
Ila miaka miwili tu baada ya kumuoa nilibaini namba moja ambayo alikuwa haja isave ila ilikuwa ndiyo namba ambayo ilikuwa imepigwa mara nyingi sana.

Nilimbana mpaka akaja akakiri kuwa huyo ndiye aliyekuwa Ex boy friend wake.
Kidume nikampiga marufuku lakini ameendelea kuwasiliana naye mpaka mwezi uliopita licha ya kufikisha mpaka kwa wazee mara kadhaa kwa sababu hiyo.

Sasa najua kuna wataalamu wa mambo ya mahusiano humu ambao mnaweza kunisaidia nifanyaje kwa sababu ki ukweli naelekea kuachana naye kwa sasa.
Mrejesho upoje na hao watoto nakwambia sio wako mkuuu


Umeliwa kichwa na miguu 😅😅
 
Acha wivu usio na tija hebu nikupe mfano mimi nilikuwa na mpenzi wa shule sekondari akiitwa Mariamu huyu binti alinipenda sana kiasi marehemu mama yake mzazi aliamua kumuhamisha shule kwenda sekondari ya jamhuri Dodoma.Siku ambayo alikuja kuniaga jioni sikuwepo aliacha picha nyumbani huku akilia kwa uchungu mnoooo.Mie nilivyofika nikaambiwa alfajiri nikaenda kwao bila kuogopa nikamkuta Mariamu anajiandaa aende Dodoma nikamuita alikuja kwangu akanikumbatia huku akilia kuwa atanimis ndipo mama yake akasema Dezoizo mwanangu anakupenda sana naomba kamwe usije ukamuacha.Kifupi mimi na Mariamu tuliachana na kwa sasa ni kama best friend na sikuwahi kumtafuna na ameolewa now na mume wake alikuwa ananieekea wivu sana sema akawa anaambiwa na Mariamu kuwa hatuna mapenzi ila nimebaki kama mtu muhimu katika maisha yake.Punguza wivu ila moment zinamfanya mkeo amkumbuke na wala hakuna mahusiano tena kama ilivyo mimi na Mariamu.
 
Mtoa mada. Point ninayoiona hapa ni mke wako angeacha kuwasiliana na x wake maana wewe hupendi.ila hizi negativity za kuconnect et kwamba kuwasiliana na x wako ni mambo ya mapenzi nakataa.mimi shahidi nimeolewa na ninampenda sana mume wangu kuliko kitu chochote hapa duniani ila kuwasiliana x wangu sioni shida. Nawasiliana naye vizuri tu na tunaheshimiana sana.kuachana haimaanishi kwamba ndio kuwa maadui noo eti hadi ndo mnuniane sijui nini woiiìii.nimeolewa na ameoa pia but kusalimiana na kuongea mambo ya kimaisha tunafanya hivyo na hakuna mambo ya mapenzi.so tusikariri eti kwamba kuwasiliana na x ni mapenzi au sijui unampenda zaidi ya uliyenae sasa maana sio kweli. Muhimu ni Heshima iwepo.yaani kama ni tabia ya mtu kucheat atacheat tu hata kwa hao wengine ambao sio x.so unaweza mzuia kwa x kumbe yuko kwingine.
Dada ni sawa ulichosema ila naona kwenye mahusiano.
Jua nini mwenzio hakipendi sawa.
Kama mwenzio hapendi uwasiliane na ex wako basi futa namba zao na uwaambie kuwa mwenzangu hapendi kuwasiliana na nyie maex wangu so msinitafute.
Futa namba zo maisha ya endless.
Kwani wewe maex wako sio ulikuwa unazini nal kabla ya kukutana na mmeo au la?????????
 
Huyo ex wako unawasiliana nae sana kwasababu zipi? kuna biashara gani mnafanya? Umezaa nae kwamba unampa taarifa za maendeleo ya Mtoto wake? Kilichokuwa kinawaunganisha ni Mapenzi hayapo tena kila Mtu amemove on hayo mawasiliano tena ya nn? Wewe kwako sio tatizo je unafikiri yule Mke wa huyo ex wako akilijuwa hilo nae atakuwa katika position gani?
Hapo unatafuta matatizo ya kujitakia katika Ndoa yako, hakuna Mwanaume anaekubali ujinga wa kiasi hicho na ukiona Mumeo amekubali hilo juwa nae ni Mume Bwege au yupo hatua 10 mbele yako!!!
Lazima atakuwa anawasiliana nao bila mumewe kujua , hio lazima.
 
Wala hakuna matatizo ninayitafutia ndoa yangu mpendwa.mpaka nasema yes I do nilikuwa na akili zangu timamu.Nimempenda mme wangu from my heart na niliahidi kuwa mwaminifu kwake hadi kifo kitutenganishe.haya mawasiliano ya x nimekupa sababu hapo juu.hatuna mtoto nae.kisalimiana na kuongea life mimi sioni shida.hakuna mapenzi na haitakuja tokea. We respect each other.ni ujinga tu na watu wasiojiamini kuona shida mwezie kuongea na x mambo ya kawaida mradi tu mipaka isivukwe.narudia tena kuachana sio uadui na pia kama ni tabia ya mtu kucheat hata upambane nae vipi atacheat tu.kama sio kwa x basi kwa mwingine, tena katika ulimwengu huu wa sasa ambao mke wa mtu na pete zake juu mwanaume kumtongoza haoni shida ni mara chache sana mwanamke utakuta atacheat na X.wengi wanacheat na watu wanameet nao kazini ama kwenye pilikapilika za maisha.
Mmeo anajua kuwa unaongea na ex zako??.
 
Wanawake kuwasiliana na ma ex zao ni kutafuta vitombo tu hakuna la ziada. Naongea km mwanamke na ukweli ndio huo mvimbe mpasuke! Hivi km uyo ex anakupenda angekuacha au ungemuacha?!! Sasa mawasiliano ya nini?! Umezaa nae unataka umpe maendeleo ya mtoto?? Mkeo anagawa papa na iyo unayosema mitoto yako ongozana nayo kwa mkemia mkuu.

Wanandoa km unaona maex muhimu kuwasiliana nao kwanini usingeoa/kuolewa nae??! Ebu tulizeni vipapa na dyudyu mtaacha watoto yatima kwa kuendekeza matapishi
Umeona ee
 
Wala hakuna matatizo ninayitafutia ndoa yangu mpendwa.mpaka nasema yes I do nilikuwa na akili zangu timamu.Nimempenda mme wangu from my heart na niliahidi kuwa mwaminifu kwake hadi kifo kitutenganishe.haya mawasiliano ya x nimekupa sababu hapo juu.hatuna mtoto nae.kisalimiana na kuongea life mimi sioni shida.hakuna mapenzi na haitakuja tokea. We respect each other.ni ujinga tu na watu wasiojiamini kuona shida mwezie kuongea na x mambo ya kawaida mradi tu mipaka isivukwe.narudia tena kuachana sio uadui na pia kama ni tabia ya mtu kucheat hata upambane nae vipi atacheat tu.kama sio kwa x basi kwa mwingine, tena katika ulimwengu huu wa sasa ambao mke wa mtu na pete zake juu mwanaume kumtongoza haoni shida ni mara chache sana mwanamke utakuta atacheat na X.wengi wanacheat na watu wanameet nao kazini ama kwenye pilikapilika za maisha.
Moja ya mambo ambayo yatakuharibia mahusiano yako ya sasa au ndoa yako ni wewe kuendelea kuwasiliana na X wako kwa kigezo kuwa hamkuachana kwa kugombana. Bila kujali sababu ya kuachana na X wako mwanamke unatakiwa kuacha kabisa kuwasiliana na X wako, hata akifiwa acha kiherehere cha kumpost kumuambia pole au kwenda. Narudi huyo mtu ni X achana naye, najua mtaanza kusema kwanini nimetaja wanawake tu, nikwakua nyie mnaweza kumsamehe mwanaume anayeendelea kuchat na X wake.

Lakini sisi hatuwezi (wengi wetu ikiwemo mimi) hii ni kwasababu wanaume tunajuana, tunajua mambo ambayo tunayafanya tukikutana na ma X wetu hivyo wake zetu au wapenzi wetu wakiendelea kuwasiliana na ma X wao basi tunajua wanafanya yaleyale. Sasa wewe endelea kuwasiliana naye eti sijui mambo ya kikazi, sijui hatukugombana, sijui tunabiashara tunafanya pamoja, sijui hiki na kile.

Narudia hamtakiwa kuwa maadui ila hamtakiwi kuwa marafiki, kuna nini umekisahau huko, kwamba kama maisha yako hayawezi kwenda bila kuwasiliana na X wako basi hata hayo mahusiano ni ngumu kwenda. Kuna mazingira mengine yanalazimisha kuwasiliana naye labda kazi kwamba ni lazima muonane kazini ila kama unaweza kumuepoka mkimbie atakuharibia tu.

Najua ushaanza kusema “Mbona yeye anawasiliana na X wake?” Iko hivi kama anawasiliana na X wake uamuzi ni wako kumuacha au kumsamehe, najua umemsamehe na pengine hata hujali sana. Lakini kumbuka yeye akikuona unawasiliana na X wako naye ataamua kukuacha au kukusamehe, sasa hapo ndiyo kunakua na kamtihani, huwezi kumlazimisha akusamehe kwakua wewe ulimsamehe? Hapana maisha hayako hivyo kusamehe ni moyo na wanaume wengi hatuna hiyo mioyo.
 
Akili zangu zinanipeleka huko kwa zaidi ya 80% na ndiyo maana nafikiria kumpiga chini.ila nikiwaza watoto ndo nachanganyikiwa kabisa
Acha kuwaza sana inawezekma ata hao watoto sio wakwako.
 
Habari zenu ndugu zangu, jamaa na marafiki zangu,

Hoja iko hivi, nina mke ambaye nimedumu naye kwa mwaka karibu wa 10 na Mungu kanijalia watoto kadhaa.

Ki ukweli tunaishi vizuri mno ni mnyenyekevu, msafi na ni mzuri mno.
Ila miaka miwili tu baada ya kumuoa nilibaini namba moja ambayo alikuwa haja isave ila ilikuwa ndiyo namba ambayo ilikuwa imepigwa mara nyingi sana.

Nilimbana mpaka akaja akakiri kuwa huyo ndiye aliyekuwa Ex boy friend wake.
Kidume nikampiga marufuku lakini ameendelea kuwasiliana naye mpaka mwezi uliopita licha ya kufikisha mpaka kwa wazee mara kadhaa kwa sababu hiyo.

Sasa najua kuna wataalamu wa mambo ya mahusiano humu ambao mnaweza kunisaidia nifanyaje kwa sababu ki ukweli naelekea kuachana naye kwa sasa.
Hapa ni wazi kuwa humridhishi kitandani
 
Yanii huyo Jamaa anamlaaaa hadi leoo..Kubali au kataaa..!! Na kamaa sio tigo sijuii.. Wee mwanamke ushaolewa Ex wa nin..!?? Babaa fukuzaa liendee kwa ex wakee
📌📌📌 me ni Mwanamke na nassuport hii fukuzia mbali
 
Kama una uwezo iba namba ya uyo Ex wake....mtafute mchimbe bonge la biti muulize kama ashawahi kutolewa malinda...mjambishe aswaaaa then mfuate mkeo naye mjambishe mwambie huoni hasara kuua mtu...mwambie utampoteza kwenye uso wa dunia uyo ex wake kma bomu lilopiga hiroshima kuwa hutaacha ata vumbi la kuzika
🤣🤣mbona heroshima na nagasaki
 
Habari zenu ndugu zangu, jamaa na marafiki zangu,

Hoja iko hivi, nina mke ambaye nimedumu naye kwa mwaka karibu wa 10 na Mungu kanijalia watoto kadhaa.

Ki ukweli tunaishi vizuri mno ni mnyenyekevu, msafi na ni mzuri mno.
Ila miaka miwili tu baada ya kumuoa nilibaini namba moja ambayo alikuwa haja isave ila ilikuwa ndiyo namba ambayo ilikuwa imepigwa mara nyingi sana.

Nilimbana mpaka akaja akakiri kuwa huyo ndiye aliyekuwa Ex boy friend wake.
Kidume nikampiga marufuku lakini ameendelea kuwasiliana naye mpaka mwezi uliopita licha ya kufikisha mpaka kwa wazee mara kadhaa kwa sababu hiyo.

Sasa najua kuna wataalamu wa mambo ya mahusiano humu ambao mnaweza kunisaidia nifanyaje kwa sababu ki ukweli naelekea kuachana naye kwa sasa.
Blaza ..Unagongewa..Na inavyoonekana mke huwezi kumtenganisha na jamaa
 
Habari zenu ndugu zangu, jamaa na marafiki zangu,

Hoja iko hivi, nina mke ambaye nimedumu naye kwa mwaka karibu wa 10 na Mungu kanijalia watoto kadhaa.

Ki ukweli tunaishi vizuri mno ni mnyenyekevu, msafi na ni mzuri mno.
Ila miaka miwili tu baada ya kumuoa nilibaini namba moja ambayo alikuwa haja isave ila ilikuwa ndiyo namba ambayo ilikuwa imepigwa mara nyingi sana.

Nilimbana mpaka akaja akakiri kuwa huyo ndiye aliyekuwa Ex boy friend wake.
Kidume nikampiga marufuku lakini ameendelea kuwasiliana naye mpaka mwezi uliopita licha ya kufikisha mpaka kwa wazee mara kadhaa kwa sababu hiyo.

Sasa najua kuna wataalamu wa mambo ya mahusiano humu ambao mnaweza kunisaidia nifanyaje kwa sababu ki ukweli naelekea kuachana naye kwa sasa.
Oi tunaomba mrejesho , imekuwaje bro
 
Mwenye tatizo ni wewe. Nani kakwambia uchunguze chunguze simu ya mkeo? Usingekuwa na kihere here cha kuigusa gusa wala usingefika hapa. Mwache arudi mme mwenzako akafaidi wewe urudi kupiga puli!
Serikali nyingi duniani zinachunguza simu za wapinzani wao na watumishi wao kujua uaminifu wao, asije kuletewa UKIMWI nyumbani bure, msitetee prostitution ukahaba hapa.
 
Achana nae aende kwa huyo x wake maana hajitambui. Una mkaza vizuri lakini!?

Joseverest unalala sana siku hizi, tatizo nini mkuu!?
Hata ukimkaza vizuri mzinzi au prostitute hawezi kuridhika hata umpe nini, au huenda huyo jamaa alikuwa anamlawiti naye kazoea na mume hawezi kumwambia, lazma wanarudiana.
 
Acha wivu usio na tija hebu nikupe mfano mimi nilikuwa na mpenzi wa shule sekondari akiitwa Mariamu huyu binti alinipenda sana kiasi marehemu mama yake mzazi aliamua kumuhamisha shule kwenda sekondari ya jamhuri Dodoma.Siku ambayo alikuja kuniaga jioni sikuwepo aliacha picha nyumbani huku akilia kwa uchungu mnoooo.Mie nilivyofika nikaambiwa alfajiri nikaenda kwao bila kuogopa nikamkuta Mariamu anajiandaa aende Dodoma nikamuita alikuja kwangu akanikumbatia huku akilia kuwa atanimis ndipo mama yake akasema Dezoizo mwanangu anakupenda sana naomba kamwe usije ukamuacha.Kifupi mimi na Mariamu tuliachana na kwa sasa ni kama best friend na sikuwahi kumtafuna na ameolewa now na mume wake alikuwa ananieekea wivu sana sema akawa anaambiwa na Mariamu kuwa hatuna mapenzi ila nimebaki kama mtu muhimu katika maisha yake.Punguza wivu ila moment zinamfanya mkeo amkumbuke na wala hakuna mahusiano tena kama ilivyo mimi na Mariamu.
Hakuna kitu kinachounguza mapenzi ya wanaume hasa mume kama mwanamke kuwasiliana na ex-wake, wanawake na wanaume makini wanaliewa Hili vizuri sana, sio kwa tafsiri Yako hii, tafsiri yake ya ndani ni kwamba mmoja hajamove on na maisha yake na hiyo ni hatari kwa ndoa.

Kwa wanaume hii inaweka doa kubwa sana katika ndoa, mwanamke usilogwe ukafanya mawasiliano na ex mume akajua. Anaweza akakwambia amekuelewa baada ya kumpa maelezo lakini huwa Kuna kuwa na turn off ya hali ya juu sana katika ndoa baada ya hapo.
 
Back
Top Bottom