Ndugu wazazi siku hizi wanachoangalia maslahi unaweza kuongea na wakwe zako badae wanakuzunguka ndoa za sasa sio salama hata kidogo,yanayokukuta wewe mim yashanikuta fanya maamuzi magumu au kubali uletewe kimwi nyumbani,bora ulivyogundua kuliko ungepata maradhi mngeanza kusukumiana wewe wewe,Alishaenda hadi kwa wazazi...
Ndo ivo mkuu! Ukitaka kuishi kwa amani kwenye ndoa, ione simu ya mpenzi/ mwenzi wako kama JENEZA. Ishike pale tu inapobidi. Other wise, touch it at your own peril!Akili au tope
Ngoja ukuwe ndo utayajuwa kwa sasa endelea kula chakula cha foleni.Hili ndo tatizo la kuomba msaada mbele za watoto wadogo
Wanawake siku hizi wamepoteza radha na niwao wanaotumaliza nguvu za kiume kila siku stress,we unaangaika kumuhudumia wenzio wanakula inauma sana omba isikukute tu ila kiukweli inakela na kutuweka majaribuni tu,either humkazi vzr au ana mtt wake kati ya hao wanao au yote ni majibu
chukua hatua
Sio suluhisho hilo kwani inavyo onekana huyo mwanamke ameisha ikariri namba ya x wake kichwaniSasa miaka 10 ya pamoja umuache kisa ex? Chukua line vunja vunja msajilie nyingine problem solved.
Ila huyu wa dodoma sasa. Tena udhunguni. MuulizeLakin sishangai maana wanaume wa dar lazima msaidiwe kugonga kidogo maana hizo biskut na chips haziwez kaz kabisa
Dawa mtest na dole gumba 07%-#%%%ukiona kimya ujue ndio anacho fuata mwage udelele.mpaka ali ya hewa ibadirkeHabari zenu Ndugu zangu,jamaa na marafiki zangu.
Hoja iko hivi, nina mke ambaye nimedumu naye kwa mwaka karibu wa 10 na Mungu kanijalia watoto kadhaa.
Ki ukweli tunaishi vizuri mno.ni mnyenyekevu,msafi na ni mzuri mno.
Ila miaka miwili tu baada ya kumuoa nilibaini namba moja ambayo alikuwa haja isave ila ilikuwa ndiyo namba ambayo ilikuwa imepigwa mara nyingi sana.
Nilimbana mpaka akaja akakiri kuwa huyo ndiye aliyekuwa Ex boy friend wake.
Kidume nikampiga marufuku lakini ameendelea kuwasiliana naye mpaka mwezi uliopita Licha ya kufikisha mpaka kwa wazee mara kadhaa kwa sababu hiyo.
Sasa najua kuna wataalamu wa mambo ya mahusiano humu ambao mnaweza kunisaidia nifanyaje kwa sababu ki ukweli naelekea kuachana naye kwa sasa
Habari zenu Ndugu zangu,jamaa na marafiki zangu.
Hoja iko hivi, nina mke ambaye nimedumu naye kwa mwaka karibu wa 10 na Mungu kanijalia watoto kadhaa.
Ki ukweli tunaishi vizuri mno.ni mnyenyekevu,msafi na ni mzuri mno.
Ila miaka miwili tu baada ya kumuoa nilibaini namba moja ambayo alikuwa haja isave ila ilikuwa ndiyo namba ambayo ilikuwa imepigwa mara nyingi sana.
Nilimbana mpaka akaja akakiri kuwa huyo ndiye aliyekuwa Ex boy friend wake.
Kidume nikampiga marufuku lakini ameendelea kuwasiliana naye mpaka mwezi uliopita Licha ya kufikisha mpaka kwa wazee mara kadhaa kwa sababu hiyo.
Sasa najua kuna wataalamu wa mambo ya mahusiano humu ambao mnaweza kunisaidia nifanyaje kwa sababu ki ukweli naelekea kuachana naye kwa sasa
[emoji3] [emoji3]Namkaza vizuri tubmkubwa
[emoji3] [emoji3]Duh wewe ni rofa namba moja afadhar hata wale marofa wa mkapa wana kaunafuu kidogo
Mimi demu wangu tu akipigiwa cm then nikajua kuwa hiyo cm ni ya mwana ume huwa namzaba makof na ndo inakuwa mwisho wa kujuana
Pima na DNA za hao watoto [emoji54] [emoji54] [emoji125] [emoji125]
Unaweza kweli ukapiga mkwara Wa aina hiyo kwa jamaa halafu baada ya wiki akakutana na watu wasiojulikana wakamtoa roho,unaenda jela hivi hivi na hata hujahusika.Kama una uwezo iba namba ya uyo Ex wake....mtafute mchimbe bonge la biti muulize kama ashawahi kutolewa malinda...mjambishe aswaaaa then mfuate mkeo naye mjambishe mwambie huoni hasara kuua mtu...mwambie utampoteza kwenye uso wa dunia uyo ex wake kma bomu lilopiga hiroshima kuwa hutaacha ata vumbi la kuzika