Mke wangu anapenda kuwasiliana na Ex wake

Mke wangu anapenda kuwasiliana na Ex wake

Achana nae aende kwa huyo x wake maana hajitambui. Una mkaza vizuri lakini!?

Joseverest unalala sana siku hizi, tatizo nini mkuu!?

hawa wadudu hawanaga fomula mkuu

unaweza kuwa unamkaza vizuri tu na bado akimuona men hb anakazwa naye

unaweza kuwa na hela na ukakaziwa na mwendesha mkokoteni

yaani kifupi,ni tabu tu

uombe tu umpate aliyestaarabika
 
Ndugu, kuachana siyo uadui, wanawasiliana mambo ya kawaida tu. Hata mimi nawasiliana na Ex zangu nyingi zimeolewa ila hatujawah kuzungumzia mapenzi zaidi ya mambo ya kimaisha. Tuliachana kwa amani na kuna leo na kesho hatuwezi kuwa maadui, kujuliana hali ni kawaida tu. Jambo la msingi ni kujiheshmu, otherwise kuwasiliana na Ex syo tatizo. Kua basi, umwache mkeo wa ndoa ya miaka 10 kisa wanasalimiana na Ex ni utoto.
Kuna vitu vingi sna baadh ya wanaume mkioa mnaviacha,Mpka mtu anawasilian na ex wake ndani hakuko salama,kunavitu umemss alafu kwako unachukulia poa,Kwa mwenzio haviko poa labda humkuni akakunika,labda humkojoz anavyotaka,unampa zawadi,unatoka nae mitoko y maana,Huna gubu?wengine kitu kidog ataongea miez 6 anaon bora awasilian na ex wake acheke,Kuacha mke sio tiba jiulize sehem gan umepwaya
Kwa maelezo yako basi hao wanandoa hawaendani. Kwani ndoa ni lazima? kama imefeli, imefeli tu.
 
Mwenye tatizo ni wewe. Nani kakwambia uchunguze chunguze simu ya mkeo? Usingekuwa na kihere here cha kuigusa gusa wala usingefika hapa. Mwache arudi mme mwenzako akafaidi wewe urudi kupiga puli!
Usijifiche kwenye jani la mti kwa kuficha sura ingali mwili wote unaonekana ndugu,hizi simu za wanawake wetu ni za kupekua hata kutwa mara tatu
 
Kwanza kata makofi huyo mke halafu mrudishe kwao kwa muda, pili ongea na huyo ex wake mpige mkwara au ikiwezekana mfuate muonane uso kwa uso umpige mkwara wa maana baada ya hapo msubiri mkeo arudi na wazee wake na uwaeleze kila kitu usikubali arudi bila mtu mzima wa kumsindikiza ili ukoo wao wote uone upumbavu wake. Baadae abadilishe line ya simu na siku ukigundua anaendelea mtimue. Achana na kupima DNA itakuongezea maumivu sana. Kitanda akizai haramu
 
Habari zenu Ndugu zangu,jamaa na marafiki zangu.

Hoja iko hivi, nina mke ambaye nimedumu naye kwa mwaka karibu wa 10 na Mungu kanijalia watoto kadhaa.
Ki ukweli tunaishi vizuri mno.ni mnyenyekevu,msafi na ni mzuri mno.
Ila miaka miwili tu baada ya kumuoa nilibaini namba moja ambayo alikuwa haja isave ila ilikuwa ndiyo namba ambayo ilikuwa imepigwa mara nyingi sana.
Nilimbana mpaka akaja akakiri kuwa huyo ndiye aliyekuwa Ex boy friend wake.
Kidume nikampiga marufuku lakini ameendelea kuwasiliana naye mpaka mwezi uliopita Licha ya kufikisha mpaka kwa wazee mara kadhaa kwa sababu hiyo.
Sasa najua kuna wataalamu wa mambo ya mahusiano humu ambao mnaweza kunisaidia nifanyaje kwa sababu ki ukweli naelekea kuachana naye kwa sasa
Huyo sio mke wako kimahaba, ni kama mpangaji nyumbani kwako, ukweli ni kwamba mzazi mwenzio unayemuita mkeo ana mahaba ya kweli na boyfriend wa siku zote! Achana nae au kaa nae just mlee watoto. "Hakuna revenge kwa mtu anayetembea na mkeo zaidi ya kumuacha aende nae".
 
Kwani wewe na huyo jamaa nani alianza kufanya nae mapenzi? Kama ni yeye basi kuna kitu anapata kwake ambacho hapati kwako. Ukijua mpatie ataacha
 
Hapo mkuu huna mtoto hata mmoja...watoto wote ni wa hilo njemba.....DNA ihusike mapemaa
 
Hapendi kunyonywa papuchi
Hapendi kunyonywa papuchi[emoji52][emoji52][emoji52]
Nahis ata ulivyokosea aliruka kimasihara
Chukua sim yake mtumie jamaa sms ya kumtest 'waga unaniridhisha kuliko mme wng'
Iwe mida ambayo unajua atajibu haraka
 
mkuu samahani umeanza kwa kusema mnyenyekevu lakn mpk hapo sijaona huo unyenyekev wake kabisa
 
Muwa hauwezi kuwa mkongojo kaka na yai halipondewi embe
Fukuza huyo kashakuwa kimburu
 
Wewe toka umuoe hujawahi hata siku moja kuwasiliana na ex wako hata siku moja mkuu?
 
Wengi wanakushauri uachane nae
Na katika thread nyingi za mapenz wengi huwa wanashauri uachane na ulie nae

Ila kiukweli jifikirie wewe kama wewe na jione wewe na maisha yako
Kaanza kuwasiliana nae miaka yote uko nae
Atakama anatoka nae huna uwakika sana
Dunia ya sasa imeharibika sana
Ukisema upige chini jiulize utapata alie mtulivu zaidi yake????, dunia ya saiv imepiga kona enzi hizi sio kama za zaman, ukiachana nae leo utatamani kurudiana nae baada ya miez 6. Maana utaona kila ki2 kiko upside down kwako

Kama unataka kuachana nae ni bora ukapata mtu unaeamini sanasana kuwa mnaendana
 
10yrs umpige chini real? man up bwana mtafute uyo ex na mkeo chukua fimbo mchape kama mwanao mind that usimpige mchape miguuni
 
Hivi kweeli unashindwa mkataza au??!! Jitafakari upya mkuu, kuna shida mahali na kuna uwezekano mkubwa mkeo sio mwaminifu
True,sio muaminifu at all,au yawezekana ni wale waliokuwa wanataka kuolewa ili ajenge jina kuwa na yeye kaolewa,kwahiyo kaolewa na mtu asiempenda as a result sasa hivi anamkumbuka ex wake,ni matatizo,yako mengi sana haya majanga kwenye hii dunia..
 
Back
Top Bottom