Mke wangu anapenda kuwasiliana na Ex wake

Mke wangu anapenda kuwasiliana na Ex wake

Mkeo anaweza asiwe anafanya kitu kibaya sema wewe tu wivu wako ndio unaokusukuma kumuhisi vibaya...
Ujue huwa nashindwa kuelewa kitu kimoja. Kwa mfano we hupendi mpenzi wako avute sigara maana harufu ya mdomo wake mkiwa faragha inakukera, kisha akaamua kuacha kwa heshima yako, kunakuwa na tofauti gani na swala la kwamba yeye anakereka kuona unawasiliana na mwanaume mwengine kwa dhahiri ama kwa siri na amekuomba uache hilo swala for more than once isipokuw tu umekuwa mkaidi hutaki kuacha?
 
Kama angekuwa hafanyi chochote ya nini kung'ang'ania mawasiliano ambayo yameleta sintofahamu mara kadhaa kwenye ndoa
Hiki ndio kijisababu chao wanatumiaga mkuu, yani imeniuma kama ni mimi vile. Utaskia wasiwasi wako tu amna kitu na ukikomaa ataanza kukwambia humuamini. I been there i know the hell how it feels ila ushauri to kama watoto wako na umri mzuri kick that woman to the curbs.

At least for once in a lifetime na umpotezee haswa no calls wala hata kumtumia sh.mia mbovu na umpe ultimatum kwamba you won't put up with that mis-behaviour again maana wewe ni mume na si vinginevyo hivyo siku akijiona yupo tayari kuishi katika principles za ndoa iliyo na uaminifu then akujulishe. For now asepe kwao akajifunze tena nini maana ya mume na ndoa! Nasisitiza usimtumie hata mia mbovu mnyooshe kama ruler ajue tofauti ya kuwa single na kwenye ndoa.

That thing is called emotional infidelity, some people take it too far to the extent they start cheating. Sio huyo wako tu bali wanawake wengi wana hio tabia mkuu kaza moyo then fanya nachokushauri.
 
Acha kumchunguza Mkeo. Tena sahau simu yake. Kabla ya kumuacha jiulize je kwa Miaka hiyo 10 hujawah chepuka?

Kama hujawah muache.

Pili, hawezi kuwasiliana na Ex wake kama kweli umemtendea haki, unampenda na kumjali.

Huyo ni mali yako na usidanganywe humu ndani ukamuacha. Mke si wa kitandani tu. Mke ni hao watoto, na uzeeni.

Usitegemee atatokea Mke mwingine mzuri kama huyo. Mwite mkeo mweleze akutunzie heshima. Atakuelewa
Amtunzie heshima kwa kugongwa nje
 
Pole sana mkuu

Nilkuwa nagombana sana na ex wangu kwa tabia kama hiyo ya mke wako.

Cha msingi mpe muda ajitafakari ikiwezekana muache aende akarudiane nae labda bado wanapendana.
Tabia ya kipuuzi sana, vipi aliiacha ama uliamua kumuacha tu?
 
Angekua ni dem ningeshaur mle tigo af achana nae,ila kama ni mke,daah,ngum sana maana watoto watapata shida,..sasa we cha msing,..ujue wanawake wana huruma sana,so kama anampenda sana huyo x kuliko wew hata ufanyaje hawez mtoa akilin,ila ataweza mtoa akilin kama akiamua yeye,so ili umfanye aamue hivyo fanya haya
1.play victim.yaan mfanye akuonee huruma,we mwite kwa upole mwambie hiv,mkewangu najua unampenda sana x wako kuliko mim,ila namii nakupenda sana,na stak kukuacha,so we endelea kua na mahusiano na huyo jamaa,siku ukichoka utanambia,..halaf unasepa,usimpe mda wa ku explain,we ondoka na usiongelee hii kitu teena,na punguza kucheka cheka,yaan fanya mgomo barid,ila mpe anachotaka,bt sio sex,akitaka sex mwambie hujiskii,ila ongeen cheken kama kawaida,ishi maisha kawaida yan,kama unadem pemben chepuka kisir sir uwe unapunguza ngale..afta 3months utakuja nambia,ataomba msamaha na hatorudia tena.
 
Kama una uwezo iba namba ya uyo Ex wake....mtafute mchimbe bonge la biti muulize kama ashawahi kutolewa malinda...mjambishe aswaaaa then mfuate mkeo naye mjambishe mwambie huoni hasara kuua mtu...mwambie utampoteza kwenye uso wa dunia uyo ex wake kma bomu lilopiga hiroshima kuwa hutaacha ata vumbi la kuzika
unaweza kumuona live ukajifia bure...unakuta mitoto yote inafana nae
 
Ndugu, kuachana siyo uadui, wanawasiliana mambo ya kawaida tu. Hata mimi nawasiliana na Ex zangu nyingi zimeolewa ila hatujawah kuzungumzia mapenzi zaidi ya mambo ya kimaisha. Tuliachana kwa amani na kuna leo na kesho hatuwezi kuwa maadui, kujuliana hali ni kawaida tu. Jambo la msingi ni kujiheshmu, otherwise kuwasiliana na Ex syo tatizo. Kua basi, umwache mkeo wa ndoa ya miaka 10 kisa wanasalimiana na Ex ni utoto.

mleta mada anasema kabsa uongo umezidi kwake ila pia makatazo katka mambo yanayo hatarisha ndoa yapo ,hiili limekua janga watu kusto achana kabsaa je na takwimu za wanandoa kutoka inje na wapenzi wao zina zidi kupanda,apige na chini tuu kwa kua hajui maana ya ndoa
 
Wengi wanakushauri uachane nae
Na katika thread nyingi za mapenz wengi huwa wanashauri uachane na ulie nae

Ila kiukweli jifikirie wewe kama wewe na jione wewe na maisha yako
Kaanza kuwasiliana nae miaka yote uko nae
Atakama anatoka nae huna uwakika sana
Dunia ya sasa imeharibika sana
Ukisema upige chini jiulize utapata alie mtulivu zaidi yake????, dunia ya saiv imepiga kona enzi hizi sio kama za zaman, ukiachana nae leo utatamani kurudiana nae baada ya miez 6. Maana utaona kila ki2 kiko upside down kwako

Kama unataka kuachana nae ni bora ukapata mtu unaeamini sanasana kuwa mnaendana

mkuu heshma ndo kwa mwanamke ndo tunacho kiitaji sisi wanaume achana na swala la upendo koz upendo n kama bahari samtaimz una panda samtaimz unashukaa ila heshma ikisumishwa hushnda upendo
 
Ndugu, kuachana siyo uadui, wanawasiliana mambo ya kawaida tu. Hata mimi nawasiliana na Ex zangu nyingi zimeolewa ila hatujawah kuzungumzia mapenzi zaidi ya mambo ya kimaisha. Tuliachana kwa amani na kuna leo na kesho hatuwezi kuwa maadui, kujuliana hali ni kawaida tu. Jambo la msingi ni kujiheshmu, otherwise kuwasiliana na Ex syo tatizo. Kua basi, umwache mkeo wa ndoa ya miaka 10 kisa wanasalimiana na Ex ni utoto.
Ushaambiwa kitu hicho mwenzio hakipendi una utoto kiasi gani kutokuelewa kwamba swala unaliliona dogo linamkosesha raha na uhuru mume wako. How the https://jamii.app/JFUserGuide can't you understand you spouse feelings yet just ignore it!!!
 
Ndugu, kuachana siyo uadui, wanawasiliana mambo ya kawaida tu. Hata mimi nawasiliana na Ex zangu nyingi zimeolewa ila hatujawah kuzungumzia mapenzi zaidi ya mambo ya kimaisha. Tuliachana kwa amani na kuna leo na kesho hatuwezi kuwa maadui, kujuliana hali ni kawaida tu. Jambo la msingi ni kujiheshmu, otherwise kuwasiliana na Ex syo tatizo. Kua basi, umwache mkeo wa ndoa ya miaka 10 kisa wanasalimiana na Ex ni utoto.
basi haukuwakaza vizuri
 
Back
Top Bottom